Balozi sefue yupo smart kidogo na huyo judge mstaafu nae yupo fiti natumaini majeshi yatakuwa na mwondoko mpya baada ya ripoti zao.
Hili ni swali zuri sana. Kulijibu sharti uwe makini. Katika hali ya kawaida kama Bosi siyo mlevi wa kuabudiwa, ni mdadisi na si mvivu wa kusoma na kutembelea maeneo yake na kukagua kazi hakuna atakayedhubutu kuchukua rushwa. Lakini akiwa ni mtu mzubao anayependa kusifiwa, kupokea zawadi za hapa na pale, kuandaliwa sherehe na mapambio, anaweza asipokee rushwa lakini akaruhusu walioko chini yake wakapokea rushwa kwa niaba yake tena kwa wingi mnoo. Wa aina hii huweka sahihi document bila hata kuzipitia na bila kujua kilichopo ndani ya document anayoweka sahihi kwa sababu tu imeletwa kwake na mfanyakazi fulani anayempenda au anayemwamini. Hapo ukiongezeka ufuska basi tena.
Huo uzoefu wao umeshindwa kufanya kazi walipokuwa kazini, wameshachoka ndio wakaririshe watu philosophy za zamani!Kazi wanazopewa wazee wetu wastaafu sio ajira as such ni kazi za muda mfupi, na zinahitaji watu wazoefu, hakuna ubaya wowote kwenye kuwapa hizo kazi, hawachukui ajira ya mtu, tutumie uzoefu wao kwa maslahi ya Taifa
Ni sawa tuu maana hana makando kando na Rais hapangiwi washauri..Rais Samia ni wazi sasa anamuamini Balozi Sefue na ndiye kamchagua mwenyekiti wa TPDC na Msaidizi wa mwenyekiti wa tume maalumu ya kumshauri kwenye mabadiliko ya majeshi yetu.
Busara imetumika kwenye viongozi wa hiyo kamati. Mmoja ni jaji mkuu mstaafu na mwingine ni Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu. Hizo ndio kazi zao. Who else would someone wish zaidi ya hao? Kama hao hawana busara za kumshauri kiongozi mkuu wa nchi, basi hali yetu ni tete.
Maswali murua sana hayo!..Wajumbe wengine wa Tume / Kamati hiyo ni kina nani?
..Na hadidu za rejea za Tume / Kamati ni zipi?
..Je, kuna mtu yeyote toka UPINZANI yuko ktk tume hiyo, maana wao ndio wamechagiza iwepo.
Nakubaliana na wewePamoja na kwamba nipo nyutro vitu vingi, lakini Balozi Sefue ni mojawapo ya senior citizen wetu ambao wana akili na busara na kufanya maamuzi kwa kiasi. He does not possess extreme behaviour. Lakini pia anajua nini ambacho dunia inataka.
Sefue ni sampuli ya Balozi Mahiga.
Bado hazijawekwa wazi. Kama una maoni yako juu ya composition na hadidu za rejea, basi toa kupitia channels au hata mitandao kama huu hapa...Wajumbe wengine wa Tume / Kamati hiyo ni kina nani?
..Na hadidu za rejea za Tume / Kamati ni zipi?
..Je, kuna mtu yeyote toka UPINZANI yuko ktk tume hiyo, maana wao ndio wamechagiza iwepo.
Yaan huwezi ishi bila chuki, msirithi chuki jamani.Alimpotosha JK mambo mengi sn huyu mzee
Wewe ndio mkewe???U'r wrong
Labda kwa kumuona kwenye tv
Hiyo sio Permanent and pensionable role. It is a timely duty. Vijana hatuwezi hiyo kazi. Bado tuna mihemko.Labda upo sahihi lakini unaonaje Hawa wazee wetu tukiwapumzisha ?
Watu wana wivuKazi wanazopewa wazee wetu wastaafu sio ajira as such ni kazi za muda mfupi, na zinahitaji watu wazoefu, hakuna ubaya wowote kwenye kuwapa hizo kazi, hawachukui ajira ya mtu, tutumie uzoefu wao kwa maslahi ya Taifa
Sijui wanataka wapewe BAVICHAHiyo sio Permanent and pensionable role. It is a timely duty. Vijana hatuwezi hiyo kazi. Bado tuna mihemko.
Mkuu ni kwanini umechelea kumtaja au kumpendekeza Kibatala?Ngoja tujazie nyama ili kamati ya Raisi ipate vichwa stahiki. Napendekeza Prof Haji Semboja huyu ni mchumi lakini amekuwa mshauri kwa miaka mingi kuhusu maboresho ya Polisi kwa hiyo ana uzoefu wa kutosha
Yupo Ndugu wakili msomi Peter Madeleka huyu ni wakili na amekuwa kwenye harakati za kuhimiza maboresho ya jeshi letu la polisi na yeye alikuwa polisi.
Yupo Ndg Albert Shelukindo huyu ni Security consultant na amewahi kuhudumu kwenye jeshi la polisi la uingereza japo kwa sasa yupo sekta binafsi kama Security Executives, Watu kutoka TLS hata Hosea ana madini mengi kuhusu utendaji wa polisi, TAWLA, Hata IGP mstaafu Saidi Mwema atafaa kuwa ndani ya kamati.
Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
MumeoYaan huwezi ishi bila chuki, msirithi chuki jamani.
Hizi chuki ni za nini hasa?? Alimpotosha nini?
Tz kila mtu anahisi ana akili sana. We jamaa ni KILAZA.
Ni mambo ya hovyo snMpaka kifo
... Dr. Bashiru Ally? The shortest serving Chief Secretary in history.Watu wana wivu
Wako radhi sijui apewe yule KMK wa Magu
When it comes to experience inabidi kuheshimu baadhi ya watu
Rais Samia ni wazi sasa anamuamini Balozi Sefue na ndiye kamchagua mwenyekiti wa TPDC na Msaidizi wa mwenyekiti wa tume maalumu ya kumshauri kwenye mabadiliko ya majeshi yetu.