kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Chelsea alivyofungwa 4-1 maneno yakawa meengi!Kumbe chealsea ni afadhali kidogo maana hata mechi ya kwanza walifungwa 3 - 0 tu nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ilikosa ladha, Bayern walicheza Kama wako mazoeziniWalipofunga goli la saba niliona amepoteza furaha ghafla.
Ilikuwa dhariri kubwa sana kwa kocha wa Barcelona.
Mpaka na ubora wa Bayern hata uchovu wa Barcelona maana wametoka kwenye ligi hivi karibuni wakiwa na uchovu mkubwa Bayern wamemaliza ligi muda mrefu sana hivyo kulikuwa na udhaifu huo pia.Mechi ilikosa ladha, Bayern walicheza Kama wako mazoezini