Je, Barcelona wamestahili kipigo dhidi ya Bayen Munich?

Je, Barcelona wamestahili kipigo dhidi ya Bayen Munich?

QUOTE="msomi uchwara, post: 36356233, member: 459677"]
Barca walistahili hiki kipigo
[/QUOTE]
Wakajpange upya
 
"Hawakutani na timu kutoka Bundes liga, wanakutana na timu bora kabisa ulimwenguni Barcelona"

- Vidal -

Majibu akayapata
 
Unapigwa nane alafu usema haustahili...., Kwahio nani anastahili
 
Majamaa hayana huruma kabisa yale [emoji23][emoji23] na kama zingeongezwa dakika tano nadhani tungekuwa tunazungumzia goli kumi,,, kiufupi wametudhalilisha ila sio kesi ndio soka hilo
Hans Flick mwenyewe alijikuta anakosa furaha kwa jinsi alivyowadhalilisha Barcelona na vijana wake walikuwa hawataki utani walikuwa wanapiga tu.
 
Uingereza, Spain, Italy sijui wapi huko promo tu ndo huwa zinawabeba, lakini kiuhalisia mpira uko Ujerumani

Mi nafuatiliaga ligi zote, ikiwemo Bundesliga.

Natamani siku Man City akutane na hawa jamaa muone atakavopigwa
 
Shaka inakuja..
Siioni tena Barcelona ikijenga Academy Yao kama ilivyokua Desturi na hatimaye Kuwa na kikosi Kilichokua kikiogopwa kila kilipo tua,

Barcelona ya leo ni ya Kuzama mfukoni kupigana vikumbo na Man City, PSG kuokota wachezazi ambao wakija una kazi ya kulazimisha au kubadili mfumo...

Timu ya taifa nayo ni hivyo hivyo,
Hawa jamaa walilewa sifa..

German ya Leo ni Matokeo na Mpango mkakati wa Mwaka 1994, baada ya kuaibishwa kwenye World Cup...

Kujenga Timu kwa Mapambano ya nje Si hela tuu hasa kama hukuishi kwa salfasa hio..
Wasilazimishe kuwaiga Madrid,
Los Bancos wao hawanaga mfumo, wapo frexible kulingana na mchezaji anayempata, Wapo kipesa/kimapato zaidi..
Lengo na jukumu lao kubwa ni Ndoo na Sehemu ya Mapato ya Taifa kwa kujaza wachezaji wakubwa/maarufu, hawanaga subira.

Barca lengo lao ni Ndoo, na kutengeneza mfumo mzuri wa National team, No Wonder kifo cha Barcelona indirect way ni kifo Spanish NT.
Wanahitaji mda, Na kweli walifanya hivyo wakafanikiwa, wakajenga Club, wakajenga NT.

Unapo amini katika mfumo...
Lazima uwekeze katika rasilimali watu, utumie mda Kutengeneza mfumo, Unapomleta mchezaji Tayari na mfumo wake Anaharibu kila kitu..

Angalia iliyokua partnership ya Xavi, Iniesta na Messi, njoo uangalie ya leo..
Ujerumani waliaibishwaje huo mwaka?
 
Shaka inakuja..
Siioni tena Barcelona ikijenga Academy Yao kama ilivyokua Desturi na hatimaye Kuwa na kikosi Kilichokua kikiogopwa kila kilipo tua,

Barcelona ya leo ni ya Kuzama mfukoni kupigana vikumbo na Man City, PSG kuokota wachezazi ambao wakija una kazi ya kulazimisha au kubadili mfumo...

Timu ya taifa nayo ni hivyo hivyo,
Hawa jamaa walilewa sifa..

German ya Leo ni Matokeo na Mpango mkakati wa Mwaka 1994, baada ya kuaibishwa kwenye World Cup...

Kujenga Timu kwa Mapambano ya nje Si hela tuu hasa kama hukuishi kwa salfasa hio..
Wasilazimishe kuwaiga Madrid,
Los Bancos wao hawanaga mfumo, wapo frexible kulingana na mchezaji anayempata, Wapo kipesa/kimapato zaidi..
Lengo na jukumu lao kubwa ni Ndoo na Sehemu ya Mapato ya Taifa kwa kujaza wachezaji wakubwa/maarufu, hawanaga subira.

Barca lengo lao ni Ndoo, na kutengeneza mfumo mzuri wa National team, No Wonder kifo cha Barcelona indirect way ni kifo Spanish NT.
Wanahitaji mda, Na kweli walifanya hivyo wakafanikiwa, wakajenga Club, wakajenga NT.

Unapo amini katika mfumo...
Lazima uwekeze katika rasilimali watu, utumie mda Kutengeneza mfumo, Unapomleta mchezaji Tayari na mfumo wake Anaharibu kila kitu..

Angalia iliyokua partnership ya Xavi, Iniesta na Messi, njoo uangalie ya leo..
Spain ya 2005 to 2010 iliwasaidia sana Barcelona academy nyingi zilizalisha wachezaji wenye vipaji vikubwa sana ikiwemo La Masia.

Sasa hivi Spain ni kama wamepoteana tena hawaibui tena vipaji vipya ambavyo vitaishi muda mrefu.
 
Tamati kivipi?
Kama Ni ligi ya Spain bado wataendelea kupokezana na Real Madrid, Ila kwa UEFA walikuwa wamekwisha tangia mwaka 2013 walipopigwa 7-0 na Bayern
Next season Atletico atakuwa serious title contender.
 
jamaa anaondoka
IMG-20200815-WA0008.jpg
 
Ngoja nisome comments Nicheke[emoji38][emoji1787]

Sio kwa VITASA vile vya jana
 
Hii team tunaizungumzia saa ngap wadau... maana walichomfanya barcelona ni hatari...

Yaan wanashinda lakin kocha wao bado anapga kelele wakaze dah...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] Yule kocha mkatili Sana, VIJANA wanafunga yeye hashangilii Wala Nini.

Anazidi kuwasisitiza wawaongezee dozi[emoji38]
 
A
Anko kila nikiutafuta usingizi namwona muller, Lewandowski, alaba, coutinho ndo anakuja kwa fujo Karibu na Macho yangu... Sijawahi fadhaika kama hivi tangu nianze kucheki football [emoji17][emoji17]
[emoji12]Ulkutana na KICHAPO heavy
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] Yule kocha mkatili Sana, VIJANA wanafunga yeye hashangilii Wala Nini.

Anazidi kuwasisitiza wawaongezee dozi[emoji38]
Walipofunga goli la saba niliona amepoteza furaha ghafla.

Ilikuwa dhariri kubwa sana kwa kocha wa Barcelona.
 
Back
Top Bottom