waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 349
- Thread starter
- #101
QUOTE="msomi uchwara, post: 36356233, member: 459677"]
Barca walistahili hiki kipigo
[/QUOTE]
Wakajpange upya
Barca walistahili hiki kipigo
[/QUOTE]
Wakajpange upya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hans Flick mwenyewe alijikuta anakosa furaha kwa jinsi alivyowadhalilisha Barcelona na vijana wake walikuwa hawataki utani walikuwa wanapiga tu.Majamaa hayana huruma kabisa yale [emoji23][emoji23] na kama zingeongezwa dakika tano nadhani tungekuwa tunazungumzia goli kumi,,, kiufupi wametudhalilisha ila sio kesi ndio soka hilo
kama vita walikupa mkono sasa huko si mnakula mwezi na wiki moja kabisaHata CLUB chetu cha Simba kingefungwa n BM kwa leo lakina wasingefungwa mabao 8
Ujerumani waliaibishwaje huo mwaka?Shaka inakuja..
Siioni tena Barcelona ikijenga Academy Yao kama ilivyokua Desturi na hatimaye Kuwa na kikosi Kilichokua kikiogopwa kila kilipo tua,
Barcelona ya leo ni ya Kuzama mfukoni kupigana vikumbo na Man City, PSG kuokota wachezazi ambao wakija una kazi ya kulazimisha au kubadili mfumo...
Timu ya taifa nayo ni hivyo hivyo,
Hawa jamaa walilewa sifa..
German ya Leo ni Matokeo na Mpango mkakati wa Mwaka 1994, baada ya kuaibishwa kwenye World Cup...
Kujenga Timu kwa Mapambano ya nje Si hela tuu hasa kama hukuishi kwa salfasa hio..
Wasilazimishe kuwaiga Madrid,
Los Bancos wao hawanaga mfumo, wapo frexible kulingana na mchezaji anayempata, Wapo kipesa/kimapato zaidi..
Lengo na jukumu lao kubwa ni Ndoo na Sehemu ya Mapato ya Taifa kwa kujaza wachezaji wakubwa/maarufu, hawanaga subira.
Barca lengo lao ni Ndoo, na kutengeneza mfumo mzuri wa National team, No Wonder kifo cha Barcelona indirect way ni kifo Spanish NT.
Wanahitaji mda, Na kweli walifanya hivyo wakafanikiwa, wakajenga Club, wakajenga NT.
Unapo amini katika mfumo...
Lazima uwekeze katika rasilimali watu, utumie mda Kutengeneza mfumo, Unapomleta mchezaji Tayari na mfumo wake Anaharibu kila kitu..
Angalia iliyokua partnership ya Xavi, Iniesta na Messi, njoo uangalie ya leo..
Spain ya 2005 to 2010 iliwasaidia sana Barcelona academy nyingi zilizalisha wachezaji wenye vipaji vikubwa sana ikiwemo La Masia.Shaka inakuja..
Siioni tena Barcelona ikijenga Academy Yao kama ilivyokua Desturi na hatimaye Kuwa na kikosi Kilichokua kikiogopwa kila kilipo tua,
Barcelona ya leo ni ya Kuzama mfukoni kupigana vikumbo na Man City, PSG kuokota wachezazi ambao wakija una kazi ya kulazimisha au kubadili mfumo...
Timu ya taifa nayo ni hivyo hivyo,
Hawa jamaa walilewa sifa..
German ya Leo ni Matokeo na Mpango mkakati wa Mwaka 1994, baada ya kuaibishwa kwenye World Cup...
Kujenga Timu kwa Mapambano ya nje Si hela tuu hasa kama hukuishi kwa salfasa hio..
Wasilazimishe kuwaiga Madrid,
Los Bancos wao hawanaga mfumo, wapo frexible kulingana na mchezaji anayempata, Wapo kipesa/kimapato zaidi..
Lengo na jukumu lao kubwa ni Ndoo na Sehemu ya Mapato ya Taifa kwa kujaza wachezaji wakubwa/maarufu, hawanaga subira.
Barca lengo lao ni Ndoo, na kutengeneza mfumo mzuri wa National team, No Wonder kifo cha Barcelona indirect way ni kifo Spanish NT.
Wanahitaji mda, Na kweli walifanya hivyo wakafanikiwa, wakajenga Club, wakajenga NT.
Unapo amini katika mfumo...
Lazima uwekeze katika rasilimali watu, utumie mda Kutengeneza mfumo, Unapomleta mchezaji Tayari na mfumo wake Anaharibu kila kitu..
Angalia iliyokua partnership ya Xavi, Iniesta na Messi, njoo uangalie ya leo..
Sawa Bayern walkwepo but ukwel ni kwamba walijipanga vzurkwa hyo bayern wao walicheza na mashabiki na hawakuwepo dunian kipind cha korona
Next season Atletico atakuwa serious title contender.Tamati kivipi?
Kama Ni ligi ya Spain bado wataendelea kupokezana na Real Madrid, Ila kwa UEFA walikuwa wamekwisha tangia mwaka 2013 walipopigwa 7-0 na Bayern
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] Yule kocha mkatili Sana, VIJANA wanafunga yeye hashangilii Wala Nini.Hii team tunaizungumzia saa ngap wadau... maana walichomfanya barcelona ni hatari...
Yaan wanashinda lakin kocha wao bado anapga kelele wakaze dah...
[emoji38][emoji38][emoji38]Wajerumani sio watu.Wale jamaa wana roho ngumu aisee si uliona muller alivyokua anacheka yani kama yupo mazoezini
[emoji12]Ulkutana na KICHAPO heavyA
Anko kila nikiutafuta usingizi namwona muller, Lewandowski, alaba, coutinho ndo anakuja kwa fujo Karibu na Macho yangu... Sijawahi fadhaika kama hivi tangu nianze kucheki football [emoji17][emoji17]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa anaondokaView attachment 1537837
Walipofunga goli la saba niliona amepoteza furaha ghafla.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] Yule kocha mkatili Sana, VIJANA wanafunga yeye hashangilii Wala Nini.
Anazidi kuwasisitiza wawaongezee dozi[emoji38]
Goli 8 si mchezoTamati kivipi?
Kama Ni ligi ya Spain bado wataendelea kupokezana na Real Madrid, Ila kwa UEFA walikuwa wamekwisha tangia mwaka 2013 walipopigwa 7-0 na Bayern