Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,111
Yani mpira umeisha nimeganda kwenye kiti nashindwa hata kuinuka, kweli nlijua tutapigwa ila sio goli nyingi namna ileUmuonee Huruma Barcelona ilihali UMEMFUMANIA chumbani kwako?!!weeee...ukimuacha,mwakani atakuja kukunanihii mbele ya Watoto wako๐๐๐