waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 349
- Thread starter
- #21
Hiyo ni kawaida kwenye sokaNadhani mlikua mnasmkia tu bayern ngoja, leo mmepewa msiba ambao mtaulia mwaka mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kawaida kwenye sokaNadhani mlikua mnasmkia tu bayern ngoja, leo mmepewa msiba ambao mtaulia mwaka mmoja
Barcelona mzee
Kwahyo wanaungana na man u?Jumbe Brow post: 36353597 said:Zama Zao Zimekwisha.....
Golden Boys Kina Xavi,Iniesta et al,are no longer there......
Waweke Nguvu Tena Katika La Masia.....
Lenye Mwanzo Halikosi...............
Alamsiki.
Unachekesha wachekeshaji ndugu tuache kuchanganya maji na mafuta me nadhan simba angekula hata 12 maana BM ni kama mbwa mwitu mzeeHata CLUB chetu cha Simba kingefungwa n BM kwa leo lakina wasingefungwa mabao 8
Ukiipata utatuambia mkuu tunakusubrNipo kwa Google natafuta hii Bayen Munich siioni.
Sasahivi ana shekiHari mbaya vigingi kila sehemu mpaka kayumba hayumbi tena
Mzee unawakosea adabu washabiki wa arsenane ngoja wajeBarcelona ni asernal iliyo changamka
Google wamewahifadhi kwa ajili ya usalama wao. InavyosemekanaNipo kwa Google natafuta hii Bayen Munich siioni.
😁😁😁Mzee unawakosea adabu washabiki wa arsenane ngoja waje
Kwahyo ndo wameisha hvyo auZama Zao Zimekwisha.....
Golden Boys Kina Xavi,Iniesta et al,are no longer there......
Waweke Nguvu Tena Katika La Masia.....
Lenye Mwanzo Halikosi...............
Alamsiki.
Mpira umemkataa walimjaza bichwa wakamuita GOAT lakini leo ndio tumejua walimaanisha ile GOAT ya "mee mee mee"Messi astafu mpira tu na Barca ijipange upyaaa...!!
MadhubutiBayern wana kikosi imara sana. Mi ni shabiki Sana wa barcelona ila hakukua na namna yoyote tungeweza kushinda dhidi ya bayern, kwa maoni yangu nadhani timu ambayo ingeweza kuleta upinzani kwa bayern ni liverpooll
Golden Boy Messi Has Reached At The Mountaintop....Messi astafu mpira tu na Barca ijipange upyaaa...!!