Je, Barcelona wamestahili kipigo dhidi ya Bayen Munich?

Je, Barcelona wamestahili kipigo dhidi ya Bayen Munich?

OTE="Scars, post: 36353656, member: 427454"]
Mpira umemkataa walimjaza bichwa wakamuita GOAT lakini leo ndio tumejua walimaanisha ile GOAT ya "mee mee mee"
[/QUOTE]
Kwahyo jamaa kaisha
 
OTE="Scars, post: 36353656, member: 427454"]
Mpira umemkataa walimjaza bichwa wakamuita GOAT lakini leo ndio tumejua walimaanisha ile GOAT ya "mee mee mee"
Kwahyo jamaa kaisha[/quote]

Lakini uchebe na tatoo bado vipo.....kwaiyo hajaisha kiivyo[/Quote]
 
Kwangu mimi mechi iliisha kabla haijaanza, kitu pekee kilichofanya niangalie mechi ni ile Imani ya kishabiki kwamba mpira unadunda ila kiuhalisia wale wajerumani ni moto wa kuotea mbali
Germany Machine.....

Wajerumani Wana Historia ya KUPIGA vipigo vya mbwa mwizi pale ukijilegeza......
Bayern Ina historia hiyo....
National Team Ina historia hiyo.......

Pale Maracana,Brazil ililambwa 7....Kocha wa Ujerumani Anawaambia baaaasiiiii eee IMEEE....IMEEE imetoshaaaa!!
 
Germany Machine.....

Wajerumani Wana Historia ya KUPIGA vipigo vya mbwa mwizi pale ukijilegeza......
Bayern Ina historia hiyo....
National Team Ina historia hiyo.......

Pale Maracana,Brazil ililambwa 7....Kocha wa Ujerumani Anawaambia baaaasiiiii eee IMEEE....IMEEE imetoshaaaa!!
Majamaa hayana huruma kabisa yale 😂😂 na kama zingeongezwa dakika tano nadhani tungekuwa tunazungumzia goli kumi,,, kiufupi wametudhalilisha ila sio kesi ndio soka hilo
 
Majamaa hayana huruma kabisa yale 😂😂 na kama zingeongezwa dakika tano nadhani tungekuwa tunazungumzia goli kumi,,, kiufupi wametudhalilisha ila sio kesi ndio soka hilo
Umuonee Huruma Barcelona ilihali UMEMFUMANIA chumbani kwako?!!weeee...ukimuacha,mwakani atakuja kukunanihii mbele ya Watoto wako😁😁😁
 
Mchezo robo fainal UEFA champion league wa Barcelona dhidi ya Bayern Munich.

Tumeshuhudia Barcelona wakionyesha kiwango dhaifu na kisicho ridhisha kwa kuruhusu nyavu zao kutikiswa Mara nane(8) dhidi ya mawili(2).

Swali kwenu je corona imechangia au ni ubovu wa kikosi na mbinu hafifu za Mwalimu?
IMG-20200815-WA0005.jpg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom