Je, Barcelona wamestahili kipigo dhidi ya Bayen Munich?

Je, Barcelona wamestahili kipigo dhidi ya Bayen Munich?

.....sure,and beyond ELASTIC LIMIT IS...breaking....

Golden Boys Xavi,Iniesta and others are no longer there,they have to rearranging themselves at La Masia!!
Kiukweli barca wamefika tamati japokuwa hatuwezi kujua wamejipanga vipi siku za mbeleni, LA masia sioni kama Bado Ina impact Tena kwenye soka Lao maana ndio iliwafanya watambe kwa kiasi fulani kwenye misimu iliyopita lakini pia hata usajili wanaofanya kwa Sasa hauleti positive impact kwenye timu zaidi ya misifa tu isiyokuwa na faida
Shaka inakuja..
Siioni tena Barcelona ikijenga Academy Yao kama ilivyokua Desturi na hatimaye Kuwa na kikosi Kilichokua kikiogopwa kila kilipo tua,

Barcelona ya leo ni ya Kuzama mfukoni kupigana vikumbo na Man City, PSG kuokota wachezazi ambao wakija una kazi ya kulazimisha au kubadili mfumo...

Timu ya taifa nayo ni hivyo hivyo,
Hawa jamaa walilewa sifa..

German ya Leo ni Matokeo na Mpango mkakati wa Mwaka 1994, baada ya kuaibishwa kwenye World Cup...

Kujenga Timu kwa Mapambano ya nje Si hela tuu hasa kama hukuishi kwa salfasa hio..
Wasilazimishe kuwaiga Madrid,
Los Bancos wao hawanaga mfumo, wapo frexible kulingana na mchezaji anayempata, Wapo kipesa/kimapato zaidi..
Lengo na jukumu lao kubwa ni Ndoo na Sehemu ya Mapato ya Taifa kwa kujaza wachezaji wakubwa/maarufu, hawanaga subira.

Barca lengo lao ni Ndoo, na kutengeneza mfumo mzuri wa National team, No Wonder kifo cha Barcelona indirect way ni kifo Spanish NT.
Wanahitaji mda, Na kweli walifanya hivyo wakafanikiwa, wakajenga Club, wakajenga NT.

Unapo amini katika mfumo...
Lazima uwekeze katika rasilimali watu, utumie mda Kutengeneza mfumo, Unapomleta mchezaji Tayari na mfumo wake Anaharibu kila kitu..

Angalia iliyokua partnership ya Xavi, Iniesta na Messi, njoo uangalie ya leo..
 
Shaka inakuja

Siioni tena Barcelona ikijenga Academy Yao kama ilivyokua Desturi na hatimaye Kua na kikosi Kilichokua kikiogopwa kila kilipo tua,

Barcelona ya leo ni ya Kuzama mfukoni kupigana vikumbo na Man City, PSG kuokota wachezazi ambao wakija una kazi ya kulazimisha au kubadili mfumo.
Uko sahihi Sana bro..... Barca wameingia kwenye mtego wa Madrid bila kujua angalia wachezaji kama dembele na griezman yani Imekuwa tabu Sana kwao kuingia kwenye kikosi na kufanya vyema maana hawajazoea mfumo wa uchezaji wa barca hata kocha awe mzuri vipi ni ngumu kwake kuwatumia hivyo inakua ni hasara tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpira umemkataa walimjaza bichwa wakamuita GOAT lakini leo ndio tumejua walimaanisha ile GOAT ya "mee mee mee"
 
Afu watu wakaanzaga kuleta zile siasa za wakina utopolo kwamba Barcelona anabaniwa kubeba laliga angali Madrid anabebwa, haya mmeona timu yenu ilivyombovu. Ukiwa unakikosa bora cha kuchukua ligi kuu huwezi pigwa goli nane kwenye champions.
 
Mchezo robo fainal UEFA champion league wa Barcelona dhidi ya Bayern Munich.

Tumeshuhudia Barcelona wakionyesha kiwango dhaifu na kisicho ridhisha kwa kuruhusu nyavu zao kutikiswa Mara nane(8) dhidi ya mawili(2).

Swali kwenu je corona imechangia au ni ubovu wa kikosi na mbinu hafifu za Mwalimu?
Ndiyo maana wanamtaka CR7 akawapige tafu, hali ni ngumu.
 
IMG_3211.jpg
 
Hata hiki kikosi cha sasa chenye udhaifu mwingi walau chenyewe kilijitutumua kwa bayern kikaishiabkufungwa 4-1
Namaanisha kikosi cha Sasa ama vilivyopita, maana kwa kikosi cha Sasa Bado naiona Chelsea Ina udhaifu mkubwa zaidi ya barca Kuanzia kiufundi hadi mbinu za mchezaji mmojammoja
 
Barca wana mambo ya kitoto sana

Better bayern kawapiga

Waanze na moja
 
Kiukweli barca wamefika tamati japokuwa hatuwezi kujua wamejipanga vipi siku za mbeleni, LA masia sioni kama Bado Ina impact Tena kwenye soka Lao maana ndio iliwafanya watambe kwa kiasi fulani kwenye misimu iliyopita lakini pia hata usajili wanaofanya kwa Sasa hauleti positive impact kwenye timu zaidi ya misifa tu isiyokuwa na faida
Tamati kivipi?
Kama Ni ligi ya Spain bado wataendelea kupokezana na Real Madrid, Ila kwa UEFA walikuwa wamekwisha tangia mwaka 2013 walipopigwa 7-0 na Bayern
 
Back
Top Bottom