Je, biashara ya mochwari binafsi inaruhusiwa?

Je, biashara ya mochwari binafsi inaruhusiwa?

Wakuu ukigoogle utaona huko mambele hii ni biashara ya kawaida kabisa.

Kwa hapa kwetu sheria zikoje?. Je, sheria zinaruhusu mtu binafsi kuwa na mochwari binafsi?

Naomba mwenye abc za uhalali wa biashara hii, mchanganuo wa mahitaji n.k atuwekee hapa.
Yah inaruhusiwa hii hapa kwetu pia nina ushaidi kuna jamaa mmoja alinigusia hii kitu saivi naona anapambania ujenzi.
 
Ahsante mkuu,haikuishia hapo mtoto wangu wa kwanza alifariki Iringa,nilipata uhamisho Toka Mbeya aliugua numonia nikiwa mgeni,niliiosha maiti mwenyewe!,Uoga Tena hapo utoke wapi mkuu!,Mungu fundi.

Aisee, pole sana.
 
Wakuu ukigoogle utaona huko mambele hii ni biashara ya kawaida kabisa.

Kwa hapa kwetu sheria zikoje?. Je, sheria zinaruhusu mtu binafsi kuwa na mochwari binafsi?

Naomba mwenye abc za uhalali wa biashara hii, mchanganuo wa mahitaji n.k atuwekee hapa.
Mkuu hata mimi nilitamani sana hii kitu maana hii biashara yangu ya majeneza nikiongeza na kumiliki mortuary nahisi ntapiga hela sana
 
nchi inahitaji vijana wenye maono kama wewe!. ila tu subiria sisiemu itoke madarakani najua hatutakuwepo sio vibaya ukaacha hiyo idea kwa vizazi vyako warithishane hadi kizazi cha kumi huko
 
🤣usichojua kiumbe aliye hai ndo hatarishi zaidi
Ni sahihi kabisa, hata mimi hapo sijalenga kuwa mauza uza yatatoka kwa hiyo miili atakayoihifadhi, bali yatatoka kwa hawa binadamu wanaopenda kusafiri kwa ungo.. Labda watakuwa wanakuja kuwalaki😁😁
 
nchi inahitaji vijana wenye maono kama wewe!. ila tu subiria sisiemu itoke madarakani najua hatutakuwepo sio vibaya ukaacha hiyo idea kwa vizazi vyako warithishane hadi kizazi cha kumi huko
🤝🤝
 
Una akili kubwa Sana

Ila nikuambie kitu. Ukiwa na wazo zuri wanasiasa wanaliua hilo wazo na baadae unanyimwa vibali.

Baadae unakuta familia za wanasiasa wanaanzisha huo mradi.


Kuna mtu aliomba vibali alinyimwa Ila tetesi zilizopo familia ya mwanasiasa mmoja maarufu wanataka kuanza mradi wa private mortuary.
 
Ni sahihi kabisa, hata mimi hapo sijalenga kuwa mauza uza yatatoka kwa hiyo miili atakayoihifadhi, bali yatatoka kwa hawa binadamu wanaopenda kusafiri kwa ungo.. Labda watakuwa wanakuja kuwalaki😁😁
Hamna mauza uza yoyote ambayo yatatokea I was there for years.
 
Good idea ila kikubwa pesa, nipo kwnye biashara za vifaa vha viwandani
Cold room za ukubwa kma wa mochuary anda 75m+
Cost zinakua kubw kidgo kwnye maintenance za mashine ma generator
Hasara nyngine ndogo ndogo ndo ni kama kutolipwa na mteja au mwili kutelekezwa
 
Back
Top Bottom