From what I know!!!
Bikra ni very thin layer ambayo mwanamke huwanayo kwenye uchi wake, hivyo mwanamke anapokuwa anafanya kazi za nguvu, au mazoezi ya nguvu kuna uwezekano mkubwa wa kupotea kwa layer hiyo.
Kwa maana nyengine mwanamke bikra ni mwanamke ambaye hajakazwa tu over.
Bikra haina maana kitu kama lile govi tunalokuwa nalo sisi wanaume kabla kutahiriwa ambalo mtu unaliona wazi wazi.
Kuna hali tofauti kwa wanawake,
kwa wale wanawake ambao hawajawahi kukazwa lkn wanafanya kazi za nguvu basi siku ukikutana nae waweza sema ameshagongwa sana kumbe la ila tu ile leya imepotea ila km mwanaume ni mzoefu ktk mambo haya lazima utamgundua mwanamke ambaye ndio mara ya kwanza kumegwa.
Hali inakuwa tofauti kwa mwanamke ambaye ni hajawahi kazwa halafu hafanyi kazi za nguvu mfano wanawake wa pwani lazima ile layer atakuwa nayo.
Yanini kumuliza mkeo habari za ubikra??? Unapewa majibu mazuri pia huyataki unataka majibu gani??? Usiulize maswali halafu ukawa nayo mwenyewe km NECTA utafeli