Sasa unapinga na nimekuwekea Muujiza huu wa kwanza na ipo mingi.Nimecheka πππ sana kubali tu Muhammad hakuwahi kuwa na muujiza ukaonekana
Hili weka sawa ili tuendelee na debate, maana kule kwa arkumuti na jiwe alilolichukua Kwenye nyumba ya Allah na kulinyea ulinikimbiaKingine katika hii nada nilichosahau ni kuwa Mijuiza hufanywa na Mitume tu peke Yao, mtu wa kawaida hafanyi Miujiza ni ushirikina na Mazingaombwe.
Sijafanikiwa na siwezi kufanikiwa. Nilijaribu kujifunza na kusoma nikaona kama kuna mambo ambayo hayafikiriki natakiwa kuyajua, nikachoka.Wewe umefanikiwa?
Ulisahau nilikupa kazi gani ? Sijawahi kukimbia shida unaandika ujinga na uongo mpaka unapelekea kupuuzwa.Hili weka sawa ili tuendelee na debate, maana kule kwa arkumuti na jiwe alilolichukua Kwenye nyumba ya Allah na kulinyea ulinikimbia
Nyinyi haoooo teh teh teh teh safyiiUlisahau nilikupa kazi gani ? Sijawahi kukimbia shida unaandika ujinga na uongo mpaka unapelekea kupuuzwa.
Contaminations za kiduniawhy not now ikawa zamani nikwamba nguvu hupotea au kunamaagano nyuma yake
pole kwa maswali mengi
Kisai si kila kitu ni ushikina kuna nguvu za asili ambazo huendelezwa kupitia mazoeziUshirikina si Hirizi tu. Hata hayo aliyo yataja Mshana Jr yanaingia katika Ushirikina.
Twende kwa uhalisia na mifano. Miujiza inayofanywa kwa njia ambazo hutumii hirizi na mfano wa hayo, unaijuaje na msingi wake ni ni ?
Nakuelewa vizuri kiongozi wangu. Ila hapa mtoa mada amegusia kuhusu Miujiza.Kisai si kila kitu ni ushikina kuna nguvu za asili ambazo huendelezwa kupitia mazoezi
Nilikuuliza swali moja ukakimbia , je ni kweli alkurmti alienda kwenye nyumba ya Allah akalichukua jiwe mnalolibusu akaenda kulifanya jiwe la chooni analinyea badae mkamuonga mkalirudisha maka na leo ndio manalibusu? Ukakimbia nakukukuta hukuUlisahau nilikupa kazi gani ? Sijawahi kukimbia shida unaandika ujinga na uongo mpaka unapelekea kupuuzwa.
Ndiyo maana nikakwambia umesahau kazi niliyo kupa ? Nilikutaka kwanza uthibitishe yukio Hilo la hiyo uliye mtaja, ukakimbia hapa unakuja kujisahaulisha. Hapo hapo unataka kujadiliana na Mtu kama Mimi. Tengeneza uwezo wako wa kumbukumbu kwanza, una uwezo mdogo sana.Nilikuuliza swali moja ukakimbia , je ni kweli alkurmti alienda kwenye nyumba ya Allah akalichukua jiwe mnalolibusu akaenda kulifanya jiwe la chooni analinyea badae mkamuonga mkalirudisha maka na leo ndio manalibusu? Ukakimbia nakukukuta huku
Kiri hazipo , alafu usubirie nitakavyo kukipuaHizi habari za hiyo mtu ulizipata wapi ? Hujaonyesha jambo Hilo.
Kijana akili huna. Nimekuuliza habari umezipata wapi unanilazimisha niseme hazipo. Hiki nini ? Wewe ziweke hapa uone nitakacho kufanya.Kiri hazipo , alafu usubirie nitakavyo kukipua
Post hapa sema hazipo
Sema hazipo kwanzaKijana akili huna. Nimekuuliza habari umezipata wapi unanilazimisha niseme hazipo. Hiki nini ? Wewe ziweke hapa uone nitakacho kufanya.
Nasubiri jibu la swali langu.
Huu utoto Sasa unaniletea. Ukiwa huwezi kujadiliana jambo. Usisumbue watu.Sema hazipo kwanza
Najua nachofanya , na najua waislamu kujadili naoHuu utoto Sasa unaniletea. Ukiwa huwezi kujadiliana jambo. Usisumbue watu.
Jibu swali nililo kuuliza.
mkuu hilo unalolitaka haliwezekani ktk hali ya kawaidaToka kujielewa kwangu mimi nimependa sana kurahisisha kazi ila kama tujuavyo mashine zinaturahisishia kazi ila sidhani kama inazidi miujiza najua kuna wataalamu wengi humu waje watueleze
mimi binafsi napenda miujiza ya kunyanyua vitu bila kushika ni jinsi gani nitafanya hili bila kutumia majini au dawa fulaani yaani mimi kama mimi as human
hahahhhNimecheka πππ sana kubali tu Muhammad hakuwahi kuwa na muujiza ukaonekana
ngoja nimsake huyoMtafute ISSY SIMPSON youtube atakufundisha kufanya miujiza ikiwemo ku-move objects with your mind.
duuhmkuu hilo unalolitaka haliwezekani ktk hali ya kawaida
mimi sikuleta mada ya dini humu umekazania mitume wanausikaje humu dogoSasa unapinga na nimekuwekea Muujiza huu wa kwanza na ipo mingi.
Kingine katika hii nada nilichosahau ni kuwa Mijuiza hufanywa na Mitume tu peke Yao, mtu wa kawaida hafanyi Miujiza ni ushirikina na Mazingaombwe.