Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #41
mhh sawasawaContaminations za kidunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mhh sawasawaContaminations za kidunia
haukuitwa uje kutoa risala hukuZa kuambiwa changanya na za kwako...
Niliwahi sikia kuwa Muhammad hakuwa na kivuli,Na alikuwa na harufu nzuri bila kutumia unyunyu na pia mbu alikuwa hawezi kumng'ata..huwenda ndio miujiza yenyeww hiyoNimecheka [emoji23][emoji23][emoji23] sana kubali tu Muhammad hakuwahi kuwa na muujiza ukaonekana
Hadith Sahih zinasema alikuwa mpaka ana chawaNiliwahi sikia kuwa Muhammad hakuwa na kivuli,Na alikuwa na harufu nzuri bila kutumia unyunyu na pia mbu alikuwa hawezi kumng'ata..huwenda ndio miujiza yenyeww hiyo
Unazungumzia jiwe gani ni hili jiwe la Al kahaba lenye urefu wa futi 42 na upata futi 36 ndio jamaa alilichukua akalipeleka chooni kwake akawa anasugulia miguu yake akisha kuoga?Nilikuuliza swali moja ukakimbia , je ni kweli alkurmti alienda kwenye nyumba ya Allah akalichukua jiwe mnalolibusu akaenda kulifanya jiwe la chooni analinyea badae mkamuonga mkalirudisha maka na leo ndio manalibusu? Ukakimbia nakukukuta huku
Sasa kama unajua kwanini unakiuka adabu za mjadala ? Nimeanza kukuuliza swali langu hujajinu, unakuja kulazimisha nijibu swali lako. Huu si utaratibu wa kimjadala.Najua nachofanya , na najua waislamu kujadili nao
Nimekutaka kitu rahisi Kiri sema haipo wala arkumuti hajulikani
Dogo unatafuta ukweli au unataka kupoteza muda ? Kajadiliane na watoto wenzako kama hutaki ukweli.mimi sikuleta mada ya dini humu umekazania mitume wanausikaje humu dogo
nonsenseDog unatafuta ukweli au unataka kupoteza muda ? Kajadiliane na watoto wenzako kama hutaki ukweli.
Nimeamua kukusaidia kukupa ukweli unataka kuleta utoto ?
Miujiza hufanywa na Mitume na Manabii peke Yao, kitu ambacho Mitume na Manabii hawapo kwa Sasa hivi.
Muhammad aliona kupatwa kwa JuaQuran 54
1
Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
Naenda na wewe taratibu ,nataka utamke weweSasa kama unajua kwanini unakiuka adabu za mjadala ? Nimeanza kukuuliza swali langu hujajinu, unakuja kulazimisha nijibu swali lako. Huu si utaratibu wa kimjadala.
Sasa twende kama unavyotaka. Sijawahi kusikia jina Hilo ndiyo nalisikia kwako kwa mara ya kwanza.
Kingine huwezi kunilazimisha nikiri juu ya mtu huyo wakati sijui.
Sasa usipoteze muda nachotaka ujibu swali langu. Habari za Mtu huyu umezipata wapi ? Kwenye kitabu gani na jina la muandishi wa kitabu hicho ni nani ?
Unanipotezea muda, unaruka ruka. Hujamaliza Moja unarukia lingine. Hili pia la vijiwe vinane itabidi uje kulithubitisha, wewe umeviona wapi na habari hizi umezipata wapi ? Maliza kwanza la swali nililo kuuliza.Naenda na wewe taratibu ,nataka utamke wewe
Nini kilitokea mpaka Leo hii jiwe limebaki vi kokoto vi 8?
Sitaki kukutafunia kamsome huyu mwambaUnanipotezea muda, unaruka ruka. Hujamaliza Moja unarukia lingine. Hili pia la vijiwe vinane itabidi uje kulithubitisha, wewe umeviona wapi na habari hizi umezipata wapi ? Maliza kwanza la swali nililo kuuliza.
Kazi yangu nimemaliza. Uongo haukupeleki popote.
Nitaendelea kujadiliana na wewe ukishajibu swali nililo kuuliza.
Hoja yako hapo Iko wapi ?Sitaki kukutafunia kamsome huyu mwamba
Abu Tahir al-Qarmati
Nimemaliza kaziHoja yako hapo Iko wapi ?
Inapendeza.Nimemaliza kazi