Je, binadamu wapo katika hatari ya kutoweka kwenye uso wa Dunia?

dinosaurs walikuwa na maumbile makubwa kwahiyo mahitaji yao ya kiikolojia yalikuwa makubwa pia(haswa chakula)

hivyo walipata tabu sana
Ulisema pia hizo Asteroids zilileta milipuko.

Kama Dinosaurs walishindwa kuhimili milipuko ya Asteroids, Je viumbe wengine waliwezaje kuhimili hiyo milipuko ya Asteroids?

Au hao viumbe wengine walikuwa hawashiki moto?
 
Ulisema pia hizo Asteroids zilileta milipuko.

Kama Dinosaurs walishindwa kuhimili milipuko ya Asteroids, Je viumbe wengine waliwezaje kuhimili hiyo milipuko ya Asteroids?

Au hao viumbe walikuwa hawashiki moto?
mlipuko ulikuwa karibu tu na eneo la tukio

sehemu zingine zilipata madhara tofauti
 
Top of the food chain = more vulnerable.

Eneo walilokuwepo Dinosaurs ndiyo kulikuwa na impact kubwa zaidi kwahiyo wengi waliangamia na wachache waliobaki wakashindwa kubadilika kuendana na mazingira ikilinganishwa na spishi ndogo na zenye ustahimilivu ambazo ziliweza kuishi na baadaye kustawi katika Dunia baada ya kutoweka kwa Dinosaurs.

Dinosaurs waliosalia eneo lao lilikuwa tayari limeathirika na kuna limited resources hivyo walihimili kwa muda mfupi na wao wakapotea kabisa.
 
Niletee kwanza orodha ya species zote zilizowahi kuwepo duniani na kipindi zilichoishi ili niweze kukuchambulia.
Mimi siwezi kukuletea hizo species zote zilizowahi kuwepo duniani. Maana ni nyingi sana na nyingine bado hata hazijfahamika kama zipo.

Hapa mada imejikita kwenye hawa dinosaurs.

Ilikuwaje wao tu watoweke kutokana na hizo athari za Asteroids?

Je viumbe wengine waliwezaje ku survive hizo athari za Asteroids?

Kama viumbe wengine waliweza ku survive athari za Asteroids, Dinosaurs walishindwaje?
 
Hata Biblia imezungumzia kuhusu mwisho wa Dunia.
 
ili tokea mass extinction spicies kadha wa kadha ambazo zilishindwa kuadapt mazingira mapya zilipotea akiwemo dinouser
 
Sasa kama huwezi unatakaje mimi nikuletee orodha ya viumbe wote waliokuwepo kabla ya ajali ya kimondo na baada ya ajali!!?

Kwanza tambua kuwa walioangamia si dinosaurs tu. Viumbe wengi waliangamia. Na kilichochangia hasa kuangamia kwao ni baridi iliyofuatia baada ya mlipuko. Pengine ufanye utafiti juu ya athari za baridi inayotokea baada ya mlipuko mkubwa kama wa Volcano, Kimondo au wa nyuklia.
 
Mungu ni Mwema ,haitopotea tutaishi mpaka mwisho wa dunia...mambo ya dayanasori ni myths tu.
 
dunia nzima
Lakini kulingana na mleta mada amesema kwamba hizo Asteroids hazikuanguka eneo lote la dunia.

Kwamba zilianguka baadhi ya sehemu tu.

Sasa kama Dinosaurs walikuwepoDunia nzima. Na hizo Asteroids zilianguka baadhi ya sehemu tu, Inakuwaje sasa Dinosaurs wote duniani walipotea?

Kama Dinosaurs walikuwepo dunia nzima na hizo Asteroids zilianguka baadhi ya sehemu tu, Kwa nini Dinosaurs wa maeneo ambayo Asteroids hazikuanguka na wao walitoweka?

Kama Dinosaurs wa maeneo ambayo Asteroids hazikuanguka walitoweka, Viumbe wengine waliwezaje kuhimili athari za Asteroids wakaendelea kuwepo?
lakini wao waliathirika zaidi kwasababu ya maumbile
Lakini ulisema kwamba Asteroids zilianguka baadhi ya sehemu tu. Na dinosaurs walikuwepo dunia nzima.

Sasa ilikuwaje Dinosaurs wa maeneo mengine ya mbali na eneo la mlipuko na wao wakafa?
kuna dinosaurs walibaki ambao inasemekana waligeuka kuwa ndege wa hivi leo
Ina maana Dinosaurs walianza mabadiliko ya kuwa ndege baada ya hiyo milipuko ya Asteroids?

Au hata kabla ya hiyo milipuko walikuwa wakibadilika na kuwa ndege?
nadhani ni wale wadogo dogo, ambao ni omnivores na scavengers
 
ili tokea mass extinction spicies kadha wa kadha ambazo zilishindwa kuadapt mazingira mapya zilipotea akiwemo dinouser
Hizo species zingine ziliwezaje ku adapt mazingira?

Zili adapt mazingira kivipi maana kulikuwa na athari za Asteroids duniani na hiyo milipuko iliathiri dunia sana?
 
Viumbe wengi waliangamia wapi hao?

Hawa viumbe walio survive, waliwezaje ku survive?

Na hao viumbe waliotoweka, Walishindwaje ku survive?
 
Mkuu unavyo wabana kila pembe utadha hao dinozo walikuwa wa kwako.
 
asteroid ni moja tu. ila ilileta maafa makubwa dunia nzima kama matetemeko ya ardhi na milipuko ya volcano

mageuzi ni mchakato endelevu, hata sasa tunapitia mageuzi. dinosaurs walifanana sana na ndege, walikuwa endothermic, walikuwa na manyoya, walitaga nk
 
Hizo species zingine ziliwezaje ku adapt mazingira?

Zili adapt mazingira kivipi maana kulikuwa na athari za Asteroids duniani na hiyo milipuko iliathiri dunia sana?
yaani ukiambiwa mass extinction elewa, maana yake zidi asilimia 75 ya spicies zote zilizokwepo miaka hiyo zilitoweka na saivi hazipo,

hizo 25 zilizobaki ni kwasababu maalum zilizo wa favour mfano spicies zenye viumbe wadogo ndege nk, spicies ambazo zinaweza kula vyakula vya aina tofauti tofauti, spicie zilizokua zinakaa ndani ya maji, na zingine zilibahatika kutokana na ukanda zinapopatikana ambapo hapakua na madhara makubwa sana

spicie zingine zilizopo sasa ni kutokana na evolution ya hizo zilizokwepo

huyo dinosaur ni mojawapo tu ya wahanga ambae yeye ni famous ila spicie zilitoweka karibu zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…