Je, binadamu wapo katika hatari ya kutoweka kwenye uso wa Dunia?

Je, binadamu wapo katika hatari ya kutoweka kwenye uso wa Dunia?

Kama hayo mawe makubwa yali lipuka na kuangamiza dinosaurs wote duniani, Je kulikuwa hakuna viumbe wengine wowote duniani au kulikuwa hakuna hata mimea?

Je viumbe wengine na binadamu walikujaje kuwepo tena duniani?

Na walitokea wapi, maana kumbuka hayo mawe yalilipua kila kitu.

Sasa binadamu aliwezaje kuwepo duniani na alitokea wapi?

Maana dunia ilikuwa imelipuliwa na hayo mawe makubwa.
Mawe hayakuangamiza wanyama wa kale. Matokeo ya huo mgongano ndo yaliangamiza hivyo viumbe. Ni wadudu wadogo sana na bacteria na micro org ndo vingesurvive baada ya hili tukio kama lilitokea.

Chukulia dunia kama chumba kikubwa kilichojengwa katikati ya hewa na mionzi isiyosapoti maisha.

Chumba kina madirisha ya kioo na AC inayosaidia kuchuja hewa safi mnayovuta wewe na mkeo na wanao na Vioo vinazuia sumu, mionzi na kemikali iliyopo nje isiingie ndani.

Mmekaa zenu mkivuta hewa likatupwa jiwe sijui na nani huko na kuvunja kioo, mionzi ikaharibu AC, mtakufa wote humo ndani sio kwa kugongwa na jiwe.
 
asteroid ni moja tu. ila ilileta maafa makubwa dunia nzima kama matetemeko ya ardhi na milipuko ya volcano
Kama Asteroid ni moja tu na ilileta maafa makubwa dunia nzima, Viumbe wengine duniani waliwezaje kuhimili hayo maafa waka survive hadi leo?

Dinosaurs walishindwaje ku survive?

Au hizo athari za Asteroids ziliwa athiri dinosaurs 🦕tu wakatoweka?

Mbona tembo🐘 hawaku toweka na wao wana maumbile makubwa?

Kwamba Dinosaurs ndio walikuwa viumbe legelege wakashindwa ku survive?
mageuzi ni mchakato endelevu, hata sasa tunapitia mageuzi. dinosaurs walifanana sana na ndege, walikuwa endothermic, walikuwa na manyoya, walitaga nk
Ulisema kwamba dinosaurs walikuwa dunia nzima.

Kama Dinosaurs walikuwa dunia nzima na asteroid ilikuwa moja tu, na ili anguka eneo moja tu.

Inakuwaje sasa Asteroid moja iliyo anguka eneo moja, iwatoweshe Dinosaurs dunia nzima?

Kwa nini hiyo Asteroid moja iliyo anguka eneo moja, Haiku watowesha Viumbe wengine wote dunia nzima?
 
yaani ukiambiwa mass extinction elewa, maana yake zidi asilimia 75 ya spicies zote zilizokwepo miaka hiyo zilitoweka na saivi hazipo,
Asilimia 75 ya species zipi hizo?

Zitaje hizo species.
hizo 25 zilizobaki ni kwasababu maalum zilizo wa favour mfano spicies zenye viumbe wadogo ndege nk, spicies ambazo zinaweza kula vyakula vya aina tofauti tofauti,
Mbona tembo 🐘 wana maumbile makubwa na wanakula mimea tu ila wali survive?

Hao Dinosaurs 🦕 walikuwa wanakula nini hadi washindwe ku survive?
spicie zilizokua zinakaa ndani ya maji, na zingine zilibahatika kutokana na ukanda zinapopatikana ambapo hapakua na madhara makubwa sana

spicie zingine zilizopo sasa ni kutokana na evolution ya hizo zilizokwepo
Hapo juu umesema 75% ya species zilitoweka.

Hiyo asilimia 25 ya viumbe ilifanya evolution kutoka kwa viumbe gani waliokuwepo, Kama asilimia 75 walitoweka?

huyo dinosaur ni mojawapo tu ya wahanga ambae yeye ni famous ila spicie zilitoweka karibu zote
Zitaje hizo species zingine.
 
Mawe hayakuangamiza wanyama wa kale. Matokeo ya huo mgongano ndo yaliangamiza hivyo viumbe. Ni wadudu wadogo sana na bacteria na micro org ndo vingesurvive baada ya hili tukio kama lilitokea.

Chukulia dunia kama chumba kikubwa kilichojengwa katikati ya hewa na mionzi isiyosapoti maisha.

Chumba kina madirisha ya kioo na AC inayosaidia kuchuja hewa safi mnayovuta wewe na mkeo na wanao na Vioo vinazuia sumu, mionzi na kemikali iliyopo nje isiingie ndani.

Mmekaa zenu mkivuta hewa likatupwa jiwe sijui na nani huko na kuvunja kioo, mionzi ikaharibu AC, mtakufa wote humo ndani sio kwa kugongwa na jiwe.
Kama Asteroids zilikuwa na athari mbaya za kufanya Dinosaurs wawe extinct, viumbe wengine wali survive vipi hizo athari?

Je viumbe kama tembo, twiga, faru n.k hawakuwepo kwa wakati huo?
 
We kubali tu hii nadharia hukubaliani nayo maana kila jibu unalopewa maswali ndiyo yanazidi. 😁
Sasa mkuu unataka tukubali tu bila maswali, evidences na logic?

Kwenye hii dunia hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, uchunguzi, udadisi na majaribio zaidi.

Kuna mambo mengi bado hayafahamiki na hayana majibu ya kueleweka.

Hivyo huwezi kuhitimisha mambo hayo kwa kutoa majibu ya kinadharia tu.
 
Kama Asteroid ni moja tu na ilileta maafa makubwa dunia nzima, Viumbe wengine duniani waliwezaje kuhimili hayo maafa waka survive hadi leo?

Dinosaurs walishindwaje ku survive?

Au hizo athari za Asteroids ziliwa athiri dinosaurs 🦕tu wakatoweka?

Mbona tembo🐘 hawaku toweka na wao wana maumbile makubwa?

Kwamba Dinosaurs ndio walikuwa viumbe legelege wakashindwa ku survive?

Ulisema kwamba dinosaurs walikuwa dunia nzima.

Kama Dinosaurs walikuwa dunia nzima na asteroid ilikuwa moja tu, na ili anguka eneo moja tu.

Inakuwaje sasa Asteroid moja iliyo anguka eneo moja, iwatoweshe Dinosaurs dunia nzima?

Kwa nini hiyo Asteroid moja iliyo anguka eneo moja, Haiku watowesha Viumbe wengine wote dunia nzima?
Tembo walikuwa bado hawajakuwapo.
 
Asilimia 75 ya species zipi hizo?

Zitaje hizo species.

Mbona tembo 🐘 wana maumbile makubwa na wanakula mimea tu ila wali survive?

Hao Dinosaurs 🦕 walikuwa wanakula nini hadi washindwe ku survive?

Hapo juu umesema 75% ya species zilitoweka.

Hiyo asilimia 25 ya viumbe ilifanya evolution kutoka kwa viumbe gani waliokuwepo, Kama asilimia 75 walitoweka?


Zitaje hizo species zingine.
nani amesema tembo wali kuwepo kipindi cha dinouser ? au umejitungia ?

hizo asilimia 75 hata nikikutajia hautazijua kwakua haupo deep, wewe mjue tu dinouser inatosha
 
Viumbe wengi waliangamia wapi hao?

Hawa viumbe walio survive, waliwezaje ku survive?

Na hao viumbe waliotoweka, Walishindwaje ku survive?
Unaelewa athari za kipindi cha baridi kinachotokea baada ya mlipuko mkubwa wa Volcano, kimondo na nyuklia? Unatakiwa kuelewa kwanza hili ili uelewe kwa nini baadhi ya viumbe walisurvive na wengine hawakusurvive.
 
nani amesema tembo wali kuwepo kipindi cha dinouser ? au umejitungia ?
Thibitisha kwamba hawakuwepo.

Kama viumbe wengine hawakuwepo duniani kipindi cha Dinosaurs na baada ya Asteroids kuanguka dinosaurs wakatoweka, Sasa hiyo evolution uliyoisema ilitokana na viumbe gani waliokuwepo?
hizo asilimia 75 hata nikikutajia hautazijua kwakua haupo deep, wewe mjue tu dinouser inatosha
 
Mimi sidhani kama kuna mawe makubwa yalianguka duniani.

Hizi ni stori tu, zisizo na uthibitisho wowote. Ni stori zisizo na logic.
Ni theory, sio story. Pia sio mawe makubwa, ni asteroid, huko Mbeya kuna kimondo watu henda kushaanga pia.
Halafu sio kwamba asteriod iliangukia dinosaurs ikawaponda ikwamaliza bali na matokeo mabaya ya hali ya hewa yaliyosababishwa na hiyo asteroid ndio iliyopelekea kupotea kwa viumbe wengi wakiwemo dinosaurs.
 
hayo mawe yalio waangukia akina dinosaurios yako wapi?
Hayakuwaangukia bali kuanguka kwa asteroids duniani kulivuruga tabianchi/hali ya hewa iliyopelekea viumbe wengi wakiwemo Dinosaurs kufa na kupotea kabisa.
 
Ushahidi wa masalia unaonyesha tembo hawakuwepo wakati huo.
Sasa viumbe wengine walitokea wapi?

Na walikujaje duniani?

Kama kipindi cha Dinosaurs kulikuwa hakuna viumbe wengine wowote, Tembo na wanyama wengine wote walianzaje na waliwezaje kuwepo duniani?
 
Sasa viumbe wengine walitokea wapi?

Na walikujaje duniani?

Kama kipindi cha Dinosaurs kulikuwa hakuna viumbe wengine wowote, Tembo na wanyama wengine wote walianzaje na waliwezaje kuwepo duniani?
Kwan dinosaurs walitokea wapi?
 
Naona hiko kimondo cha Mecca wamekiwekea na jicho kabisa...
 
Ni theory, sio story. Pia sio mawe makubwa, ni asteroid, huko Mbeya kuna kimondo watu henda kushaanga pia.
Halafu sio kwamba asteriod iliangukia dinosaurs ikawaponda ikwamaliza bali na matokeo mabaya ya hali ya hewa yaliyosababishwa na hiyo asteroid ndio iliyopelekea kupotea kwa viumbe wengi wakiwemo dinosaurs.
Viumbe wanaotajwa kupotea sana kutokana na Asteroids sanasana ni Dinosaurs, Je hao viumbe wengine ni viumbe vipi hao?

Wataje.

Viumbe wengine waliwezaje kuhimili matokeo mabaya ya hali ya hewa waka survive?

Dinosaurs walishindwaje kuhimili matokeo hayo mabaya ya hali ya hewa kama viumbe wengine ili na wao wa survive?
 
Back
Top Bottom