Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

The guilty are afraid
Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.

Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!

Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.

Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.
 
Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.

Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Wasiwasi ndio akili mkuu!
 
Negativity at its best. Yaani mtu kuishabikia timu yetu ya taifa akiwa na rangi tofauti na ya kwetu imekuwa tatizo mpaka tudhanie ana nia ovu na nchi yetu ? Somo kubwa toka kwake ni kuwa tujifunze uzalendo na tuthamini vyetu hata kama havina hadhi kubwa. Haya ndio masomo makubwa najifunza toka kwake.
 
mwenyeweee anasema niite bongo zozo au Kaka usiniite mzungu.
 
Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.

Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!

Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.

Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.


🤣🤣🤣🤣toka juzi nakumbuka ile comment yako nacheka hahhaha na leo umeirudia tena hhhahahaahhaahhaahahahahah uwiii
 
Ni attention seeker nadhani!

Anataka kua maarufu tu kama wengine!

Kama kuna upelelezi thats wait to be seen

Cha ajabu ni beberu ila CCM wanamkumbatia kinoma,halafu tukitoka hapo nje ccm hao hao wanasema hatupendi mabeberu!

These niggas are walking contradictions!
asante sana kwa mtazamo wako, sio hao wanaotoa mapovu ya omo
 
Negativity at its best. Yaani mtu kuishabikia timu yetu ya taifa akiwa na rangi tofauti na ya kwetu imekuwa tatizo mpaka tudhanie ana nia ovu na nchi yetu ? Somo kubwa toka kwake ni kuwa tujifunze uzalendo na tuthamini vyetu hata kama havina hadhi kubwa. Haya ndio masomo makubwa najifunza toka kwake.
huo ni mtazamo wako siupingi
 
Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
Undercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.
 
Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
 
Undercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.
HAHAHA, Nati zimekata, daaah sawa mkuu
 
Back
Top Bottom