Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
The guilty are afraid
Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.
Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!
Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.
Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.