Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante mkuu, japo naonekana zwazwa ila mimi najiuliza sana,hawa watu wanamambo yao mengi sana kama kina Carl peters waliweza kufika na kupeleka taarifa tukaja kutawaliwa why sio hawa wa sasa,Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
Hahaha naona Asante Kwasi unaingia kwenye eneo la hatari... Sio muda tutasikia 'OKWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII....."Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.
Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!
Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.
Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.
huwa anaenda hadi Newcastle kushabikia siku ikiwa inacheza na vyombo vya habari vinamuhoji, akili ya mtu mweusi ni ile inayowaza ngono mwanamke mwenye makalio makubwa anapopitaMbona kikwete Ni shabiki wa Newcastle United au na yeye ana Nia ovu..
Akili ya mtu mweusi ni ya kuvukia barabara tu
bado unaendelea kudhihirisha uwezo wako wakufikiri kuwa ni mdogo, any way endelea kujifurahishaMaktaba nitakuta kitabu kimeandikwa Kuhusu Bongozozoo?? Acha ujinga wewe hakuna mzungu atapotezaa muda kuwazuga wabongo kuwa anawaspy kwa kwenda uwanjani na kupiga kelele insta... Nchi yenyewe hii ya kiboyaa data gani wazungu waitake wasipate mpaka waanzs kupoteza mudaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Agent wa CIA anaichunguza sizole country kama tz kwa lipi yaan?
waeleweshe na wewe wapiga kelele, yaani mapenzi ya Taifa stars yaje kipindi hiki, amekaa Bongo muda gani..?, hiyo Taifa stars ilikuwa haichezi, mbona hatukumuona kipindi cha Marcio MaximoNimewahi kumsikia akijibu swali kuwa anafanya baishara ya hela za zamani.. Hakuna mapenzi ya haraka haraka hivyo.. Jamaa lazma kutakuwa na mchongo anautafuta
Kwa hiyo Usalama wasijue we ndio ujue?!Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
hii naona imejibu kila kituWaafrika mna shida sana
Mpaka kwenye bio yenu mnatangaza sijui Manchester damu mara Liverpool forever ooh Arsenal mpaka kaburini
Wengine mpaka mnajitoa uhai walishindwa game, mnavaa jerseys zao mnaziweka kwenye magari, nyumbani, kazini, pikipiki
Ila sasa balaa linakuja hao mnaowapapatikia wakigeuzia kibao
Hata wenyewe wanashangaa mnavyowazimikia na huenda wakawa na maswali kama yako
sema wewe, sema akili za vijana wengi kwa sasa zinapenda Udaku tu, mambo yanayofikirisha hawataki, wao waweke bando wakaangalie you tube EBITOKEWabongo kwa kuji- undermine, yaan kweli nchi yetu haina chochote cha kuwanyima mabeberu usingizi? Am not sure buddy
Wewe ndiye uliye na nia iliyojificha! Haya tuambie.Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu