Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.
Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!
Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.
Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.
Utafiti wa Havard University uliitimisha kwamba "Africans are predisposed to be less intelligent"
Mwandishi wa haya maandishi anathibitisha utafiti wa Havard kwa vitendo kwamba ni kweli.
Wasiwasi ndio akili mkuu!Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.
Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!
Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.
Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.
asante sana kwa mtazamo wako, sio hao wanaotoa mapovu ya omoNi attention seeker nadhani!
Anataka kua maarufu tu kama wengine!
Kama kuna upelelezi thats wait to be seen
Cha ajabu ni beberu ila CCM wanamkumbatia kinoma,halafu tukitoka hapo nje ccm hao hao wanasema hatupendi mabeberu!
These niggas are walking contradictions!
huo ni mtazamo wako siupingiNegativity at its best. Yaani mtu kuishabikia timu yetu ya taifa akiwa na rangi tofauti na ya kwetu imekuwa tatizo mpaka tudhanie ana nia ovu na nchi yetu ? Somo kubwa toka kwake ni kuwa tujifunze uzalendo na tuthamini vyetu hata kama havina hadhi kubwa. Haya ndio masomo makubwa najifunza toka kwake.
Undercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
Agent wa CIA anaichunguza sizole country kama tz kwa lipi yaan?Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
HAHAHA, Nati zimekata, daaah sawa mkuuUndercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.