Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

asante mkuu, japo naonekana zwazwa ila mimi najiuliza sana,hawa watu wanamambo yao mengi sana kama kina Carl peters waliweza kufika na kupeleka taarifa tukaja kutawaliwa why sio hawa wa sasa,
kuna mzungu mwanamke alishawahi kukaa maeneo ya Malagarasi muyovosi, polini akitoa msaada Maliasili kuhifadhi Ardhi Oevu, alikaa kwa miaka kadhaa baadae akasepa na mambo yake wenzake walikuwa wanakuja na ndege straight mpaka eneo moja linaitwa Urambo then wanaelekea kule ambako kuna mambo yao yaliachwa muda mrefu sana,

any way, watakaonipinga waendelee
 
Hahaha naona Asante Kwasi unaingia kwenye eneo la hatari... Sio muda tutasikia 'OKWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII....."
 
Mbona kikwete Ni shabiki wa Newcastle United au na yeye ana Nia ovu..


Akili ya mtu mweusi ni ya kuvukia barabara tu
huwa anaenda hadi Newcastle kushabikia siku ikiwa inacheza na vyombo vya habari vinamuhoji, akili ya mtu mweusi ni ile inayowaza ngono mwanamke mwenye makalio makubwa anapopita
 
bado unaendelea kudhihirisha uwezo wako wakufikiri kuwa ni mdogo, any way endelea kujifurahisha
 
Nimewahi kumsikia akijibu swali kuwa anafanya baishara ya hela za zamani.. Hakuna mapenzi ya haraka haraka hivyo.. Jamaa lazma kutakuwa na mchongo anautafuta
waeleweshe na wewe wapiga kelele, yaani mapenzi ya Taifa stars yaje kipindi hiki, amekaa Bongo muda gani..?, hiyo Taifa stars ilikuwa haichezi, mbona hatukumuona kipindi cha Marcio Maximo
 
Kwa hiyo Usalama wasijue we ndio ujue?!
 
hii naona imejibu kila kitu
 
Wabongo kwa kuji- undermine, yaan kweli nchi yetu haina chochote cha kuwanyima mabeberu usingizi? Am not sure buddy
sema wewe, sema akili za vijana wengi kwa sasa zinapenda Udaku tu, mambo yanayofikirisha hawataki, wao waweke bando wakaangalie you tube EBITOKE
 
Wewe ndiye uliye na nia iliyojificha! Haya tuambie.
 
Reactions: naa
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…