Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Mnalazimisha mlichokaririshwa!
Yeye amekaririshwa wewe umetumwa. Hakuna afya,tujadili hoja heshimu mtazamo wa mwenzako,ushabiki hauna maana. Unapenda kusikia yanayokufurahisha tu. Unataka watu wawaze ktk hali ya kufanana.Haiwezekani.
 
Haya jadili hoja nakushangaa wewe uliyevamia!
Yeye amekaririshwa wewe umetumwa. Hakuna afya,tujadili hoja heshimu mtazamo wa mwenzako,ushabiki hauna maana. Unapenda kusikia yanayokufurahisha tu. Unataka watu wawaze ktk hali ya kufanana.Haiwezekani.
 
Kwanza aumtambui kama Magufuli ni Rais.
Na ata akitoka atakae kuja pia atakua ni CCM.
Kama unauchungu saana basi anza kwanza na Mbowe mwenyekiti wa kudumu wa CDM aachie wengine nafasi yake.
 
Hili Jukwaa ni la watu wote.Umepost humu ili watu wasome na wachangie.

Akili umeacha wapi? Au hunazo ,nisije kuhukumu kwa kitu ambacho hujawahi kuwa nacho.
Kwani umezuiwa na nani kuposti naona kama una dalili zile za homoni kua juu joto limepanda umetaka hoja toa hoja!
 
Kwanza aumtambui kama Magufuli ni Rais.
Na ata akitoka atakae kuja pia atakua ni CCM.
Kama unauchungu saana basi anza kwanza na Mbowe mwenyekiti wa kudumu wa CDM aachie wengine nafasi yake.
Binti kwa nini usiende kumkorogea uji mmeo???
 
Magufuli anatakiwa kwenda vzr na hawa wabunge.Leo wanampigia mapambio na kujifanya wamwongezee muda asije kudhani wanampenda..Siku atakayotoka madarakani ndo ataona hali halisi ilivyo
 
Back
Top Bottom