Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Nimeshakupuuza km hata huna kumbukumbu ya ulichopost.Nitakuwa nakuonea tu.
Nafikiri wewe kama humiliki nyumba nyegezi basi itakua unayo mshindo iringa si kwa kuvamia watu namna hiyo bila ya sababu!
 
Msimamo hataongeza muda lkn Wanaruhusiwa kuendelea kujadili na hatimaye wanaweza kumlazimisha atake asitake.

Wamejipanga vzr sana hawa watu.
Kawaruhusu kujadili kitu asichotaka Rais!Je,Katiba waliyoapa kuilinda inasemaje kuhusu ukomo wa Urais?Kama Rais hataki wanajadili ili iweje?Hawapotezi muda wa kujadiliana mambo yenye Tija kwa Nchi?
Maajabu hayatakaa yaishe huko CCM. Tumewakabidhi bucha...
 
Back
Top Bottom