Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Ina maana vurugu za kina Nape na Kina Kinana zile unadhan walikuwa wanagombea nini?

Kinana unadhan alijiuzulu Ukatibu Mkuu wa Chama kupinga jambo gani?

Au ulitaka kifanyike nini ujue chama kimesimama?
Hakuna CHAMA. Kuna Dola.

Kungekuwa na chama Magufuli asingekuwa anawageuzageuza kama dagaa. Check ANC ya SA
 
Uko sahihi kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu , na hii njama inasimamiwa na Ndugai , huyu ndio aliyemtuma yule mbumbumbu wa Darasa la 7 kuchokonoa mada .

Bali nakuhakikishia kwamba hii njama ya kishamba haitofanikiwa
Huyo Sanga, jamani, ameishia darasa la 2. Hakufika darasa la7. Hata fomu huwa anajaziwa. Hana uwezo wa kusoma wala kuandika vizuri.
 
Hawa watu wanatest kina cha maji , Yani wanatumana kuchokonoa mada then wanakuja kurekebisha. Ni wajinga ndio wataamini kuwa hawa watu wapo tofauti.
Yaani ni kama vile mtu anajamba halafu yeye mwenyewe fasta anawasha feni.
 
Ina maana vurugu za kina Nape na Kina Kinana zile unadhan walikuwa wanagombea nini?

Kinana unadhan alijiuzulu Ukatibu Mkuu wa Chama kupinga jambo gani?

Au ulitaka kifanyike nini ujue chama kimesimama?
Magufuli amevunja katiba ya chama na ilani ya chama mara ngapi ??

Hata onyo la mdomo hakuna mwenye huo uthubutu.

Alijaribu kuonfea yule mjumbe kutoka Songwe akaishia kufokewa tu
 
Sio huyo mgonjwa wa Chattle ambaye moyo wake unaendeshwa na battery! (Ofcoz pipo uzed to die in ze rek)
Na magonjwa yote yasiotibika anaumwa yeye, ila kujifanya mzima kama sie, vipaja sasa vilivyomkauka.
 
There is no wonder, CCM is equally represented in the house kuna Lusinde, Msukuma, na lile bonge la Makambako and others hawa ni 50 % ya bunge zima. kuna akina Halima na wengine kadhaa wanaojitambua they are roughly 50%.
 
Kama yule dada mkuu wa kisarawe kashindwa kutusaidia
Basi Corona fanya yako
 
Wanafikiri watanzania milioni 60 ni wajinga, wanachotafuta watakipata safari hii. Santa, msukuma, lusinde wanatumia na wao Babati mbaya hawajitambui
 
Polepole hajakanusha chochote. Sanga kasema watamlamzimisha. Pole pole kasema yeye hataki.
 
Back
Top Bottom