Je, CCM ilisajiliwa UPYA ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi Julai 1992?

Je, CCM ilisajiliwa UPYA ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi Julai 1992?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!

Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili UPYA na kujitenga na kujishikamanisha na system?

Maana ukikiangalia chama hiki Kwa nje ni kama chama Cha siasa, lakini Kwa ndani, nionavyo ni zaidi ya hapo.

Wajuzi wa mambo watujuze ikiwa CCM ilipata usajili mpya Ili kuwa sawa na vyama vingine vya siasa, au walifanya Yale mambo ya KINYONGA kujibadili RANGI ilhali ni kinyonga yule yule?

Waonaji katika Ulimwengu Ule, Kila wakikitafuta, kinasoma kitu kingine, tuambieni mlifanyaje fanyaje? Pascal Mayalla

Karibuni🙏
 
Nani alikuwa msajili wa vyama vya siasa 1992?
 
Masjala ya msajili wa vyama vya siasa ina documentation zote ikiwemo orodha ya usajili.
 
Nambari wanieeeeeee nambari wani ni CCM
RIP CAPT.KOMBA
Hata me naanza kuliona Hilo!!

MAPINDUZI daima!!!

Halafu Kuna watu wanataka kuitoa CCM Kwa Sanduku la kura!!!
 
Salaam, Shalom!

Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili UPYA na kujitenga na kujishikamanisha na system?

Maana ukikiangalia chama hiki Kwa nje ni kama chama Cha siasa, lakini Kwa ndani, nionavyo ni zaidi ya hapo.

Wajuzi wa mambo watujuze ikiwa CCM ilipata usajili mpya Ili kuwa sawa na vyama vingine vya siasa, au walifanya Yale mambo ya KINYONGA kujibadili RANGI ilhali ni kinyonga yule yule?

Waonaji katika Ulimwengu Ule, Kila wakikitafuta, kinasoma kitu kingine, tuambieni mlifanyaje fanyaje? Pascal Mayalla

Karibuni🙏
Kinajiendesha kinyume na taratibu.
Hakijasajiliwa popote chama hiki.
Tumejiumanisha na nchi.

Yaani kupe ana afafhali
 
Salaam, Shalom!

Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili UPYA na kujitenga na kujishikamanisha na system?

Maana ukikiangalia chama hiki Kwa nje ni kama chama Cha siasa, lakini Kwa ndani, nionavyo ni zaidi ya hapo.

Wajuzi wa mambo watujuze ikiwa CCM ilipata usajili mpya Ili kuwa sawa na vyama vingine vya siasa, au walifanya Yale mambo ya KINYONGA kujibadili RANGI ilhali ni kinyonga yule yule?

Waonaji katika Ulimwengu Ule, Kila wakikitafuta, kinasoma kitu kingine, tuambieni mlifanyaje fanyaje? Pascal Mayalla

Karibuni🙏
Mfumo wa vyama vipya ilipoanzishwa mwaka 1992, na kuundwa kwa ofisi ya msajilli wa vyama vya siasa. Vyama vyote viliwasilisha nyaraka za usajili kwa msajili wa vyama vya siasa, na kupokea maelekezo ya kupata usajili na kukabidhiwa kanuni, vigezo, masharti na taratibu za kufuata ili hatimae kupata usajili wa kudumu.

Vyama vyote, ikiwa ni pamoya na CCM vilifuata utaratibu na kupata usajili wa kudumu.
 
Back
Top Bottom