Uchaguzi 2020 Je, CCM itaruhusu wanachama wake wachukue fomu za kugombea Urais kama Katiba yao inavyoelekeza?

Uchaguzi 2020 Je, CCM itaruhusu wanachama wake wachukue fomu za kugombea Urais kama Katiba yao inavyoelekeza?

Shida ya CHADEMA inalindwa na jina na nembo yake.
Lakini mifumo ya utawala ina matatizo sana.

Jina linaakisi vingine viongozi wanafanya vingine.
 
Nampongeza, lissu ajiandae kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi au kuwekewa mapingamizi mahakamani.
Hakuna kesi yoyote inayoweza kumzuia Lissu kugombea urais , halafu lingine ni hili suala la Lissu laweza kuigharimu ccm ikazikwa bila kufa , kunahitajika uangalifu kuliko kawaida , huyu lissu kuomba urais siyo mjinga
 
Hivo Ni vyama karibu vyote ikiwemo ccm Mkuu.msikilize polepole mwanaccm kugombea urais marufuku
Nikweli,ila CCM kidoogo wanaweza kukaa na kuamua jambo kiutawala.

Lakini kwa.chadema wao ukiangalia hata wabunge wao tangu enzi za chacha wangwe.mwenyezi mungu amulehemu.
Ugomvi wao ni uleule wa ubinafsi kwa viongozi wajuu.
Wanajiangalia wao wenyewe.
Lakini sijawahi kusikia ccm wabunge wanalia njaa au kulalamikia ukanda kwenye mgawanyo vipato.

Sijawahi kusikia ccm wanalia njaa wabungewao.
 
Hivo Ni vyama karibu vyote ikiwemo ccm Mkuu.msikilize polepole mwanaccm kugombea urais marufuku
Ukiangalia kwa chama cha CUF nao nembo ya bendera na jina viko vizuri kuliko ccm lakini sasa hata vikao vyao wanajionyesha kabisa sura yao tofauti.
Utakuta MAKANZU NA BALAGASHIA kana kwamba hao ni kinanani.

Maana yake washavuluga picha nzima ya jina na nembo yao.

Hovyo kabisa.
 
Wabunge Wa ccm wanavumilia sana, ninachowasifu wanawaheshimu viongozi wao hats wakinyanyaswa.Chadema kila MTU kambale, nimeangalia wale kina silinde
 

Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.

Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.

Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?

[emoji116]
JamiiForums197242600.jpg
 

Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.

Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.

Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?

Mkuu unauliza jibu, hivi hujui kuwa Membe alionyesha nia tu na akapigwa
FB_IMG_1589782972465.jpg
 

Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.

Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.

Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?

Ccm aliyekuwa tayari kum challenge Magufuli ni Jemedari Membe peke yake. Waliobaki wote wamefyata mikia
 
Samahani wana jf naomba mnieleweshe maana sijui kila kitu

Hivi Rais wa sasa wa marekani D.Trump alipambanishwa na wagombea mwingine ndani ya chama cha Republican ili kugombania urais kupitia chama cha Republican.

Au George Bush alipogombea kwa mara ya pili 2004 kupitia Republican alishindanishwa na wagombea wengine
Au Barack Obama 2012 alipokuwa anagombea mara ya pili alipitishwa tu au alipambana na wengine ndani ya Democratic
Mifano haifanani hata kidogo

Tafuta mifano relevant ili upate majibu relevant
 
Shida ya CHADEMA inalindwa na jina na nembo yake.
Lakini mifumo ya utawala ina matatizo sana.

Jina linaakisi vingine viongozi wanafanya vingine.
CHADEMA ni next level ona hiyo akisi ya mwanga kwenye bendera inayopeperushwa na damu changa juu ya ukuta
IMG_20200531_072737_186.jpg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom