Mkuu hata mimi kesho nakwenda kuchukua kadi Lumumba na mtaani kwangu nahakikisha wote ni wana CCM.Wakifanya hivyo naacha ulozi nafunga kilinge najiunga na ccm kugombea nafasi nyeti
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata mimi kesho nakwenda kuchukua kadi Lumumba na mtaani kwangu nahakikisha wote ni wana CCM.Wakifanya hivyo naacha ulozi nafunga kilinge najiunga na ccm kugombea nafasi nyeti
Jr[emoji769]
Hivo Ni vyama karibu vyote ikiwemo ccm Mkuu.msikilize polepole mwanaccm kugombea urais marufukuShida ya CHADEMA inalindwa na jina na nembo yake.
Lakini mifumo ya utawala ina matatizo sana.
Jina linaakisi vingine viongozi wanafanya vingine.
Hakuna kesi yoyote inayoweza kumzuia Lissu kugombea urais , halafu lingine ni hili suala la Lissu laweza kuigharimu ccm ikazikwa bila kufa , kunahitajika uangalifu kuliko kawaida , huyu lissu kuomba urais siyo mjingaNampongeza, lissu ajiandae kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi au kuwekewa mapingamizi mahakamani.
Nikweli,ila CCM kidoogo wanaweza kukaa na kuamua jambo kiutawala.Hivo Ni vyama karibu vyote ikiwemo ccm Mkuu.msikilize polepole mwanaccm kugombea urais marufuku
Ukiangalia kwa chama cha CUF nao nembo ya bendera na jina viko vizuri kuliko ccm lakini sasa hata vikao vyao wanajionyesha kabisa sura yao tofauti.Hivo Ni vyama karibu vyote ikiwemo ccm Mkuu.msikilize polepole mwanaccm kugombea urais marufuku
[emoji116]
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Hahahahahahahahaha.......Wabunge Wa ccm wanavumilia sana, ninachowasifu wanawaheshimu viongozi wao hats wakinyanyaswa.Chadema kila MTU kambale, nimeangalia wale kina silinde
Mkuu unauliza jibu, hivi hujui kuwa Membe alionyesha nia tu na akapigwa
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Aiseeee[emoji116]View attachment 1467882
katiba inasemaje ?[emoji116]View attachment 1467882
Ccm aliyekuwa tayari kum challenge Magufuli ni Jemedari Membe peke yake. Waliobaki wote wamefyata mikia
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Mifano haifanani hata kidogoSamahani wana jf naomba mnieleweshe maana sijui kila kitu
Hivi Rais wa sasa wa marekani D.Trump alipambanishwa na wagombea mwingine ndani ya chama cha Republican ili kugombania urais kupitia chama cha Republican.
Au George Bush alipogombea kwa mara ya pili 2004 kupitia Republican alishindanishwa na wagombea wengine
Au Barack Obama 2012 alipokuwa anagombea mara ya pili alipitishwa tu au alipambana na wengine ndani ya Democratic
Vitendo hukidhi haja maridhawa kuliko manenoOhoooooo !!!!!
Unisubiri mataaMkuu hata mimi kesho nakwenda kuchukua kadi Lumumba na mtaani kwangu nahakikisha wote ni wana CCM.
CHADEMA ni next level ona hiyo akisi ya mwanga kwenye bendera inayopeperushwa na damu changa juu ya ukutaShida ya CHADEMA inalindwa na jina na nembo yake.
Lakini mifumo ya utawala ina matatizo sana.
Jina linaakisi vingine viongozi wanafanya vingine.
Mara ngapikuna kila dalili katiba ya chama chao itakiukwa
Sawa,CHADEMA ni next level ona hiyo akisi ya mwanga kwenye bendera inayopeperushwa na damu changa juu ya ukutaView attachment 1467926
Jr[emoji769]