Uchaguzi 2020 Je, CCM itaruhusu wanachama wake wachukue fomu za kugombea Urais kama Katiba yao inavyoelekeza?

Uchaguzi 2020 Je, CCM itaruhusu wanachama wake wachukue fomu za kugombea Urais kama Katiba yao inavyoelekeza?

Hivo Ni vyama karibu vyote ikiwemo ccm Mkuu.msikilize polepole mwanaccm kugombea urais marufuku
Kuwa muelewa. Customs huzaa kitu kinaitwa customary law. Kwa hiyo toka 1984 mpaka 2020 hii desturi imeshakuwa kama sheria. Acheni wivu pambaneni na Chadema inayokufa.
 
Haahaa polepole kaweka mgombea wake mfukoni, anazuia wana ccm wengine kuomba ridhaa ya chama kugombea urais.kisingizio mila na desturi kinyume na katiba.mbaya zaidi msajiri yupo kiimya.
Polepole hajazuia watu kugombea. Ila desturi ndani ya Ccm zaidi ya miaka 36 imeshakuwa kama sheria. Wana Ccm kwa moyo mweupe huwa wanamuachia aliyepo madarakani kupeperusha kibenderaa.
 
Samahani wana jf naomba mnieleweshe maana sijui kila kitu

Hivi Rais wa sasa wa marekani D.Trump alipambanishwa na wagombea mwingine ndani ya chama cha Republican ili kugombania urais kupitia chama cha Republican.

Au George Bush alipogombea kwa mara ya pili 2004 kupitia Republican alishindanishwa na wagombea wengine
Au Barack Obama 2012 alipokuwa anagombea mara ya pili alipitishwa tu au alipambana na wengine ndani ya Democratic
Ukishaelewa kwamba sio lazima kuiga Marekani kwa kila upuuzi utaelewa mambo mengi sana ya msingi.
 
Nimepata amani ya moyo kusikia T. A. Lissu yu mbioni kuandika barua ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Rais. Mungu amwongoze na kila lililo la kheri kwake na chama.
 
Ni hatari kwa mkuu wa idara ya propaganda ya chama kikuu cha upinzani kujikita katika thread za kuipaisha CCM
Ndio mana tunaamini CCM itatawala miaka 100, wapinzani wetu wapo bize kutukodolea macho badala ya kujenga saccos yao.
Jibu hoja mkuu,
Mswaki husafishia meno kinywani na siyo makalioni
 
Wakifanya hivyo naacha ulozi nafunga kilinge najiunga na CCM kugombea nafasi nyeti.

Jr[emoji769]


Tema mate chini kwani wapo watu wengi tu kama akina Musiba, Dovutwa, Shibuda, Mrema, Cheyo, Mbatia etc ambao huishi kwa nyota, na wao CCM nasema lazima wafanye tendo la ku justify kuwa kuna demokrasia hivyo atatafutwa mmoja wao toka ndani ya nyumba sio lazima awe kama Dr Slaa au hao wengine akaomba na dunia ikatangaziwa na hapo ndio lengo litakuwa limetimizwa na wao kuendelea na plan zao kama Polepole alivyopanga na naomba utunze uzi huu na utakuja niambia
 

Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.

Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.

Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?

Wanawaogopa waliowaita mfu,je wakija waliohai si watatamabi dunia ioasuke na kuwameza.Kweli CCM ni waoga wa hata kivuli chao.Wamekuwa stressed to the maximum, the guilty are afraid.
Muziki wa wapinzani umewapagawisha ile mbaya.Mechi mpo uwanja wa nyumbani, refa wenu,mashabiki pomoni,kanuni zote na sheria mnatengeneza lakini bado mnaweweseka.Mikutano ya kisiasa mnaruhusu tarehe ngapi ya 2020?
Hapa duniani omba usiwe mwoga,utapata taabu sana.Tunayoyashuhudia yanathibitisha.
 
Moyo mweupe means hakuna watia nia, je wakijitokezamtawaruhusu? Vipi Membe aliyetangaza nia ya kugombea na mizengwe mliomfanyia hakuijua desturi hiyo ya miaka 36? Hivi mtu kafanya mambo mengi na makubwa for 5yrs now? Mnaogopaje kumpambanisha na Membe na wengineo ndani ya chama?
Mko na hofu gani ndani ya chama?
Membe hana ushawishi wowote. Wala hajawahi kutangaza nia ila ni uzushi na propoganda chafu za Chadema. Membe dharau zake kwa viongozi ndio zilimfanya atimuliwe..
Hii desturi imeshakuwa kama sehemu ya utaratibu wa Ccm. Hivyo hamna haja ya kuuvuruga. Pambani na Chadema yenu inayokufa.
 
Polepole hajazuia watu kugombea. Ila desturi ndani ya Ccm zaidi ya miaka 36 imeshakuwa kama sheria. Wana Ccm kwa moyo mweupe huwa wanamuachia aliyepo madarakani kupeperusha kibenderaa.
Hoja za kijinga sana unaleta hapa , Mlivyotaka kumuua Membe sababu yake ilikuwa nini ? au Mangula alipewa sumu kwa sababu zipi ?
 
Hoja za kijinga sana unaleta hapa , Mlivyotaka kumuua Membe sababu yake ilikuwa nini ? au Mangula alipewa sumu kwa sababu zipi ?
Ulichojibu kinahusiana nini na desturi za kumuachia aliyepo madarakani aendelee kugombea? Au ndio 0 brain
 
Hoja za kijinga sana unaleta hapa , Mlivyotaka kumuua Membe sababu yake ilikuwa nini ? au Mangula alipewa sumu kwa sababu zipi ?
Membe alitaka kuuliwa? Mangula kupewa sumu nenda kawaulize polisi.
Hoja hapa ni desturi ya Ccm kuwa wanamuachia aliyepo madarakani kumaliza ngwe ya pili. Ni suala la kawaida ndani ya Ccm. Nyie pambaneni na ishu ya ubadhilifu wa bil 8 kwanza.
 
Shida ya CHADEMA inalindwa na jina na nembo yake.
Lakini mifumo ya utawala ina matatizo sana.

Jina linaakisi vingine viongozi wanafanya vingine.

Huo ni mfumo wa chama chao tafuta chama kizuri ujiunge achana nao hao wakiharibu ndio mafanikio yenu kisha weka tume huru tuwapime
 
Nikweli,ila CCM kidoogo wanaweza kukaa na kuamua jambo kiutawala.

Lakini kwa.chadema wao ukiangalia hata wabunge wao tangu enzi za chacha wangwe.mwenyezi mungu amulehemu.
Ugomvi wao ni uleule wa ubinafsi kwa viongozi wajuu.
Wanajiangalia wao wenyewe.
Lakini sijawahi kusikia ccm wabunge wanalia njaa au kulalamikia ukanda kwenye mgawanyo vipato.

Sijawahi kusikia ccm wanalia njaa wabungewao.

Ni kweli sasa ww chukua form ya kugombea urais
 
Membe alitaka kuuliwa? Mangula kupewa sumu nenda kawaulize polisi.
Hoja hapa ni desturi ya Ccm kuwa wanamuachia aliyepo madarakani kumaliza ngwe ya pili. Ni suala la kawaida ndani ya Ccm. Nyie pambaneni na ishu ya ubadhilifu wa bil 8 kwanza.
huna hoja wewe kapuku , endelea kulipwa elfu 7 ili ujikimu
 
Back
Top Bottom