zigii
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 515
- 211
uone au waambie wabunge wake watetee wananchi ndio utawajua vizuriNi kweli sasa ww chukua form ya kugombea urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uone au waambie wabunge wake watetee wananchi ndio utawajua vizuriNi kweli sasa ww chukua form ya kugombea urais
Demokrasia ni upuuzi ambao Wa-Afrika hatutakiwi kuushadidia.Demokrasia imeanzia huko
Hawawezi kwa sababu wanajua huyu aliyepo hana mvuto na hakubaliki katika mazingira huru na haki, hivyo lazima abebwe.Wakifanya hivyo naacha ulozi nafunga kilinge najiunga na CCM kugombea nafasi nyeti.
Jr[emoji769]
Jibu hoja sio kuleta hasira. Nani alitaka kumuua Membe? Na umeshaulizia ishu ya mzee Mangula Polisi? Na desturi ya kistaarabu ya Ccm kuachiana kijiti kwa amani baada ya miaka kumi inawahusu nini?huna hoja wewe kapuku , endelea kulipwa elfu 7 ili ujikimu
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Hahahahahahaha........Ni kweli sasa ww chukua form ya kugombea urais
Hivi kumbe bado hajafukuzwa ? itakuwa damu ya Mangula imemuokoaSijui Membe kama halmashauri kuu haitaridhia kufukuzwa uanachama. Mwingine hayupo.
Hivi kumbe bado hajafukuzwa ? itakuwa damu ya Mangula imemuokoa
Hapana kamati kuu itachagua watatu tu I guess
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Alafu picha kapiga kama analia[emoji16]Hilo shati la Mangula hapo juu ndio sare mpya?
Unaongelea CCM hii hii ya akina Wakudadavuwa , USSR , Kawe Alumni , Bia yetu , Rejao na MATAGA wengine? Ama kuna CCM nyingie ya sayari ya Mars>
Hili ni swali tu ndugu zangu na wala halina uhusiano na jambo lolote lile.
Maana tumeanza kuona vyama vingine vya siasa vikiruhusu watia nia kujitokeza na kujitangaza.
Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Jimmy Carter alipambanishwa na akina Edward KennedySamahani wana jf naomba mnieleweshe maana sijui kila kitu
Hivi Rais wa sasa wa marekani D.Trump alipambanishwa na wagombea mwingine ndani ya chama cha Republican ili kugombania urais kupitia chama cha Republican.
Au George Bush alipogombea kwa mara ya pili 2004 kupitia Republican alishindanishwa na wagombea wengine
Au Barack Obama 2012 alipokuwa anagombea mara ya pili alipitishwa tu au alipambana na wengine ndani ya Democratic
Sheria aijatamka kua ni lazma unyongwe mpaka kufa mkuu..tue tunasoma na kuelewa vizuri.Pili kwasasa watu awanyongwi kuna sababu nyingi..moja shinikizo la mashirika yanayo tetra haki za binadamu na mikataba ambayo nchi imeitilia saini/ imemwaga wino.Dunia nzima customary law zipo. Na hizi huanza na customs. Mbona sheria zetu zinasema ukiua unanyongwa mpaka kufa. Lakini marais wametengeneza desturi ya kutokunyonga?
Ubavu huo hawana. Dr Bashiru ni mbeba mizigo tu.Je, CCM nayo itafuata misingi ya demokrasia kama dunia na katiba ya nchi inavyoelekeza?
Kwa hiyo mna hamu nanyi kubadili jina au vipi ?Shida ya CHADEMA inalindwa na jina na nembo yake.
Lakini mifumo ya utawala ina matatizo sana.
Jina linaakisi vingine viongozi wanafanya vingine.
Sijakuelewa mkuu.Kwa hiyo mna hamu nanyi kubadili jina au vipi ?
Akikohoa tu anateuliwa mpya hapohapo.Haahaa polepole kaweka mgombea wake mfukoni, anazuia wana ccm wengine kuomba ridhaa ya chama kugombea urais.kisingizio mila na desturi kinyume na katiba.mbaya zaidi msajiri yupo kiimya.
Haina ubaya wowote sema mnaweweseka. Toka 1984 mpaka 2020 ni utamaduni Ccm alafu leo hii ndio mjidanganye.
Huu utamaduni umejengeka toka 1984 ndani ya Ccm leo hii ndio mhoji kweli?
Kuwa muelewa. Customs huzaa kitu kinaitwa customary law. Kwa hiyo toka 1984 mpaka 2020 hii desturi imeshakuwa kama sheria. Acheni wivu pambaneni na Chadema inayokufa.
Polepole hajazuia watu kugombea. Ila desturi ndani ya Ccm zaidi ya miaka 36 imeshakuwa kama sheria. Wana Ccm kwa moyo mweupe huwa wanamuachia aliyepo madarakani kupeperusha kibenderaa.
Utetezi wa kuvunja katiba yao wenyeweMembe alitaka kuuliwa? Mangula kupewa sumu nenda kawaulize polisi.
Hoja hapa ni desturi ya Ccm kuwa wanamuachia aliyepo madarakani kumaliza ngwe ya pili. Ni suala la kawaida ndani ya Ccm. Nyie pambaneni na ishu ya ubadhilifu wa bil 8 kwanza.