Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Mkataba wa Makubaliano (Mkataba wa awali) kati ya Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai tayari ulishapata baraka za Rais Dr. Samia Suluhu Hassan.
Kwa baraka hizo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) iliingia katika Makubaliano ya awali na kampuni ya DP World (DPW) ya Dubai February 28, 2022.
Rais Dr. Samia Suluhu Hassan pia ndiye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, CCM
Tetesi ni kwamba leo wabunge wa CCM watakutana chini ya Mwenyekiti wao Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kuweka msimamo wa pamoja kwa kikao cha kesho.
Kinachosubiriwa sasa ni azimio la Bunge kupitisha Makubaliano hayo ya awali kitakachofanyika kesho Jumamosi, je tutegemee nini? Watanganyika CCM imetuuza!
Kwa baraka hizo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) iliingia katika Makubaliano ya awali na kampuni ya DP World (DPW) ya Dubai February 28, 2022.
Rais Dr. Samia Suluhu Hassan pia ndiye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, CCM
Tetesi ni kwamba leo wabunge wa CCM watakutana chini ya Mwenyekiti wao Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kuweka msimamo wa pamoja kwa kikao cha kesho.
Kinachosubiriwa sasa ni azimio la Bunge kupitisha Makubaliano hayo ya awali kitakachofanyika kesho Jumamosi, je tutegemee nini? Watanganyika CCM imetuuza!