Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Sasa ni wakati wa kurudiwa mgombea binafsi .
2. Kuikataa ccm na matawi yske
3. Kama imeshindwa kusimamia bandari haiwezi kuongoza nchi
3. Masuala ya muungsno yabakie ccm wananchi waukatae.
Tanzania inahitaji katiba mpya, wagombea binafsi na vyama vipya. Hivi vya sasa vyote vimechoka.
Kusiwe na uchaguzi wowote bila katiba mpya.