Sasa ni wakati wa kurudiwa mgombea binafsi .
2. Kuikataa ccm na matawi yske
3. Kama imeshindwa kusimamia bandari haiwezi kuongoza nchi
3. Masuala ya muungsno yabakie ccm wananchi waukatae.
Umemruka mmoja (Magufuli).
Sasa kwa nini hoja yako iwe na mashiko?
Kwa nini Mama Samia naye asiwe kama awamu ya tano?
CCM ni ile ile au ya Samia ni tofauti kwa kuwa ni mwanamke?
Au Magufuli hakuwa CCM?