njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mbatia,selasini,komu ma nccr yao wanajisikiaje jamani maana hofu ya Lumumba no act na cdm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa kuwa '''Mabalabala ,madawa yenu ya Ukimwi yana letwa na hao hao mabeberu'''.Ndio unanifahamisha.. kila la kheri na kuzimeza sijui kuzinywa.. naamini mufamilia munasaidiana kuwuguzana pamoja.. musali.. mutakuwa salama
Lissu kiki za kuongezewa pesa na mabeberu..
Magufuli 2020💯
Wamecheza karata zao vibayaMbatia,selasini,komu ma nccr yao wanajisikiaje jamani maana hofu ya Lumumba no act na cdm
Unamjua Robert Amsterdam? Asipoe guliwa hapatatosha,Kabisa unaamini Magufuli ataenguliwa kwenye uchaguzi?
Tabia ya kumua underated Lisu itawagharimu pakubwHivi inawezekana mpangaji akamfukuza baba mwenye nyumba kwa sababu baba mwenye nyumba kagoma kudai kodi ?
Dunia inafuatilia kwa kila hatuaReconcialation itafanyika.a ujue JECHA alichofanya Kaijage anaweza pia kufanya na hakuna pa kwenda.Si rahisi kumuengua lakini tayari tume itakuwa imeingia dosari kamakweli mapingamizi yana uzito.
Tunawaeleza watu humu kuwa NEC ni Tume Huru, hawatuelewi, hivyo press release kama hizi, zinasaidia
Tume siku zote Ni ya ccm Ila mwaka huu Lisu amewabanaHawa jamaa ndio maana wanaitwa manyumbu
Leo watasema tume haifai ni ya ccm kesho watakuja kuipongeza wao hawaeleweki
Kwahio hii karatasi moja tu ndio inathibitisha kuwa ni huru ukilinganisha na mmaelfu ya malalamiko??Tunawaeleza watu humu kuwa NEC ni Tume Huru, hawatuelewi, hivyo press release kama hizi, zinasaidia
P
Sasa kwanini muanze kuipongeza tena tume wakati manyumbu kila kitu cha ccm inataiwa wapingeTume siku zote Ni ya ccm Ila mwaka huu Lisu amewabana
kila kona
hao waliisha batizwa kwa Moto kitambo!! Walibaki kutubu tuuuu!!!!!!!Hahahaha
mpwa tufurahi kwa kila hatua hadi hapo itakapotamkwa vinginevyo! So far akina Mzee Makamba, Kinana na Wazee wengine wanagongeana tano kwa furaha kama nawaona vile
Jibu au toa hoja, Lissu kawashika pabayaChadema kimegeuka kikundi cha comedy hahaha
Hii ndio mwarobaini wa mambo yoteeHuwezi kuengua muhimili uliokusimika.
Swala hapa ni katiba mpya, kuwe na tume huru isiyoweza kuingiliwa, mahakama huru, bunge huru na vyombo vya habari huru.
Otherwise, huu mchezo naamini tunashindwa asubuhi tu.
Hoyaa, kwanini unamfokea mwenzako! Hili jukwaa huru, Melo ametugombania, ukitaka kufoka nenda kule Habari Maelezo! Hapa we dare to dream and speak openly!Ubongo wako naona umechanganyika na oil chafu!
Hii ndiyo maana inatakiwa tume huru ya uchaguzi. Siyo tume inayoteuliwa na mmoja wa wagombea.Hivi inawezekana mpangaji akamfukuza baba mwenye nyumba kwa sababu baba mwenye nyumba kagoma kudai kodi ?