Uchaguzi 2020 Je, CCM watakubali maridhiano?

Uchaguzi 2020 Je, CCM watakubali maridhiano?

Ndio unanifahamisha.. kila la kheri na kuzimeza sijui kuzinywa.. naamini mufamilia munasaidiana kuwuguzana pamoja.. musali.. mutakuwa salama

Lissu kiki za kuongezewa pesa na mabeberu..

Magufuli 2020💯
Umeambiwa kuwa '''Mabalabala ,madawa yenu ya Ukimwi yana letwa na hao hao mabeberu'''.
 
Maridhiano ya nini tena, tusubiri tume iliyowekwa kisheria ije na majibu rasmi
 
Reconcialation itafanyika.a ujue JECHA alichofanya Kaijage anaweza pia kufanya na hakuna pa kwenda.Si rahisi kumuengua lakini tayari tume itakuwa imeingia dosari kamakweli mapingamizi yana uzito.
Dunia inafuatilia kwa kila hatua
 
Lisu kawashika pabaya, NEC wao wanasupport uhuni unaofanywa na ccm kwa wagombea wa ubunge na udiwani,

Sasa. Lissu kawataight ili warudi kwenye msitari, tayari wametoa onyo kwa wale waliojitangaza mapema kupitia bila kupingwa,

hata Majaliwa bado ngoma mbichi
 
Hahahaha

mpwa tufurahi kwa kila hatua hadi hapo itakapotamkwa vinginevyo! So far akina Mzee Makamba, Kinana na Wazee wengine wanagongeana tano kwa furaha kama nawaona vile
hao waliisha batizwa kwa Moto kitambo!! Walibaki kutubu tuuuu!!!!!!!
 
Back
Top Bottom