Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si unatizama kwenye TV amabazo hazioneshi habari za wapinzani ila kidoogo ITV.Hivi macho yako yanaona kama mimi? Yanaona yanayoendelea Chadema? Chama kinachoomba ridhaa ya kuongoza Tanzania kwenye uchaguzi huu. Viongozi wa Chama hicho ni kama wamemsusia kila kitu mgombea wao wa kiti cha Urais bwana Tundu Lissu na kumwacha afanye mwenyewe kila kitu.
Hakuna anayejishugulisha, anayempa sapoti wala kuonyesha ushirikiano nae wowote ule.
Tumeshuhudia mikutano yote anayotembea Lissu yuko mwenyewe tu bila kuambatana na viongozi wowote waandamizi wa kitaifa wa Chama hicho. Hatumuoni Mbowe, hatumuoni Kigaila wala hatumuoni John Mnyika. Wote wamemuacha solemba Lissu.
Nenda kwenye mikutano ya waandishi wa habari ambayo kimsingi palitegemewa awe John Mrema kama Mkuu wa Kitengo cha Itikadi na Uenezi kutoa taarifa na kuzungumzia tathmini ya uchaguzi na kampeni za Chadema lakini badala yake Lissu anazunguka mwenyewe mikutano yake yote na pakitokea jambo la kuzungumza analazimika tena huyohuyo mwenyewe Lissu kama mgombea kuzungumza na waandishi wa habari, tofauti na inavyotakiwa na hata tunavyoona kwenye vyama vingine vilivyojipambanua kama taasisi kuwa na kitengo cha uratibu wa kampeni kila mmoja. Hii ndio kali ya mwaka naiona.
Hata ratiba ya kampeni na mikutano ambayo kimsingi ilitakiwa kutolewa na idara ya Itikadi na Uenezi, Lissu anatoa mwenyewe. Kila mtu amemsusia Lissu kampeni zote. Hii ndio maana Lissu amekuwa na mlolongo wa makosa ya uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi ya kujirudia rudia kwenye kila mkutano anaoufanya jambo lililosababisha mpaka akafungiwa kufanya kampeni siku 7. Hii inatokana na ukweli kwamba hakuna anayemfunga kengere tena Lissu na kumnyosha kimaadili na kufuata sheria na taratibu mana Chama chake kimemsusia.
Sasa hapa Watanzania wanaweza kupata picha ya aina ya upinzani na vyama vyetu vya upinzani. Hao ndo tuwape nchi kweli? Watu ambao wao kwa wao tu wenyewe hawapatani na wala hawaelewani, vipi itakuwa kwa Watanzania? Yani ndani ya Chama kimoja kila mtu na lake. Mwenyekiti wa Chama na Katibu wake hakuna anayeonekana kwenye mikutano ya mgombea wao na wala hajui kinachoendelea.
Lissu sasa wamemuacha kisiwani asijue cha kufanya. Kama tulivyozoea kuona kwenye mikutano ya vyama vingine vyenye taasisi imara pakiwa na safu nzima ya uongozi wa Chama kitaifa, viongozi waandamizi na wale wa maeneo husika, kwa Lissu mambo ni tofauti kabisa. Wao kwa wao hawana connection na wala huoni tafsiri ya utaasisi wa vyama vyao. Ni kama kikundi tu cha watu fulani wajanja wajanja wameamua kuhadaa na kurubuni watu ili wapate ruzuku ya Serikali ambayo wakishaipata wamekuwa wakigawana kama mchele mbele ya kuku.
Tukawanyime kura watu hawa Oktoba 28 kwenye sanduku la kura. Nchi hii si ya kuchezea chezea na kuleta usanii. Watanzania wanataka maendeleo na si vinginevyo.
Ni Mimi Kijana Wa Newala, Mtwara.
Kumbe kupiga magoti ni tatizo??Kulikoni Mgombea wenu kupiga magoti na kuomba kura???
Mlidhani huu mchezo mwepesi kumbe mmeingia cha kiume.
TBCCCM ni mali binafsi ya mtukufu magufuliWewe si unatizama kwenye TV amabazo hazioneshi habari za wapinzani ila kidoogo ITV.
Sasa unatarajia kuonaje habari za kusaidiwa au kuto saidiwa na wenzake?
TBC inaongozana na Magufuli tuu masaa 24 .
Haha Lissu is on your neck hadi mnapiga magoti kuomba huruma za wananchi mliowaburuza for 5 years.Kumbe kupiga magoti ni tatizo??
Lakini kwa Mila zetu,Kupiga magoti ni ishara ya heshima na Unyenyekevu pekee.
Mkuu kiasi km unapoint baadhi ya maeneo lakini sentensi ya mwisho kabisa ndio umeharibu.Hivi macho yako yanaona kama mimi? Yanaona yanayoendelea Chadema? Chama kinachoomba ridhaa ya kuongoza Tanzania kwenye uchaguzi huu. Viongozi wa Chama hicho ni kama wamemsusia kila kitu mgombea wao wa kiti cha Urais bwana Tundu Lissu na kumwacha afanye mwenyewe kila kitu.
Hakuna anayejishugulisha, anayempa sapoti wala kuonyesha ushirikiano nae wowote ule.
Tumeshuhudia mikutano yote anayotembea Lissu yuko mwenyewe tu bila kuambatana na viongozi wowote waandamizi wa kitaifa wa Chama hicho. Hatumuoni Mbowe, hatumuoni Kigaila wala hatumuoni John Mnyika. Wote wamemuacha solemba Lissu.
Nenda kwenye mikutano ya waandishi wa habari ambayo kimsingi palitegemewa awe John Mrema kama Mkuu wa Kitengo cha Itikadi na Uenezi kutoa taarifa na kuzungumzia tathmini ya uchaguzi na kampeni za Chadema lakini badala yake Lissu anazunguka mwenyewe mikutano yake yote na pakitokea jambo la kuzungumza analazimika tena huyohuyo mwenyewe Lissu kama mgombea kuzungumza na waandishi wa habari, tofauti na inavyotakiwa na hata tunavyoona kwenye vyama vingine vilivyojipambanua kama taasisi kuwa na kitengo cha uratibu wa kampeni kila mmoja. Hii ndio kali ya mwaka naiona.
Hata ratiba ya kampeni na mikutano ambayo kimsingi ilitakiwa kutolewa na idara ya Itikadi na Uenezi, Lissu anatoa mwenyewe. Kila mtu amemsusia Lissu kampeni zote. Hii ndio maana Lissu amekuwa na mlolongo wa makosa ya uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi ya kujirudia rudia kwenye kila mkutano anaoufanya jambo lililosababisha mpaka akafungiwa kufanya kampeni siku 7. Hii inatokana na ukweli kwamba hakuna anayemfunga kengere tena Lissu na kumnyosha kimaadili na kufuata sheria na taratibu mana Chama chake kimemsusia.
Sasa hapa Watanzania wanaweza kupata picha ya aina ya upinzani na vyama vyetu vya upinzani. Hao ndo tuwape nchi kweli? Watu ambao wao kwa wao tu wenyewe hawapatani na wala hawaelewani, vipi itakuwa kwa Watanzania? Yani ndani ya Chama kimoja kila mtu na lake. Mwenyekiti wa Chama na Katibu wake hakuna anayeonekana kwenye mikutano ya mgombea wao na wala hajui kinachoendelea.
Lissu sasa wamemuacha kisiwani asijue cha kufanya. Kama tulivyozoea kuona kwenye mikutano ya vyama vingine vyenye taasisi imara pakiwa na safu nzima ya uongozi wa Chama kitaifa, viongozi waandamizi na wale wa maeneo husika, kwa Lissu mambo ni tofauti kabisa. Wao kwa wao hawana connection na wala huoni tafsiri ya utaasisi wa vyama vyao. Ni kama kikundi tu cha watu fulani wajanja wajanja wameamua kuhadaa na kurubuni watu ili wapate ruzuku ya Serikali ambayo wakishaipata wamekuwa wakigawana kama mchele mbele ya kuku.
Tukawanyime kura watu hawa Oktoba 28 kwenye sanduku la kura. Nchi hii si ya kuchezea chezea na kuleta usanii. Watanzania wanataka maendeleo na si vinginevyo.
Ni Mimi Kijana Wa Newala, Mtwara.
Mnyika ameonyesha udhaifu mkubwa sana katika nafadi yake kama Katibu wa chama!propaganda zenye akili zimeisha?
Mataga mmepoteana hadi unaanzisha mada na kujijibu mwenyewe 🤣🤣🤣
Yeye na wewe nani anaishi maisha mazuri?Nani watoto wake wanapata mahitaji bora;makazi,malazi,chakula na starehe.Lissu laana inamtafuna
Ipi hiyo ambayo inakuacha salama ukibweka humu? Umeacha kuipigia ccm kampeni na kugeuka mpiga ramli? Jitahidi, huenda ukaanza kila kuku za kina polepole watakapokuijia kutaka kujua nyota zao zinasomaje!Lissu laana inamtafuna
"Gongo yenu" umefilisika kichwani, hakuna laana mbaya na ngumu kuishi nayo kama hiyo katika zama hizi...Asalaam Waleykum.Laana ya usaliti inamtafuna lissu, msaliti mwisho wake mbaya
Hajaweza kususiwa katika kipindi amiwa mgonjwa,mbali na hila zote zilizofanywa na waovu,juu ya haki take ya kuishi,na zile za kupata matibabu,na zile za stahukizake za kisheria,ndio Leo unaota watu wake,Watanzania wamsusie.Jaribu kuota Tena .ndoto yako imekuwa sii sahihi.Hivi macho yako yanaona kama mimi? Yanaona yanayoendelea Chadema? Chama kinachoomba ridhaa ya kuongoza Tanzania kwenye uchaguzi huu. Viongozi wa Chama hicho ni kama wamemsusia kila kitu mgombea wao wa kiti cha Urais bwana Tundu Lissu na kumwacha afanye mwenyewe kila kitu.
Hakuna anayejishugulisha, anayempa sapoti wala kuonyesha ushirikiano nae wowote ule.
Tumeshuhudia mikutano yote anayotembea Lissu yuko mwenyewe tu bila kuambatana na viongozi wowote waandamizi wa kitaifa wa Chama hicho. Hatumuoni Mbowe, hatumuoni Kigaila wala hatumuoni John Mnyika. Wote wamemuacha solemba Lissu.
Nenda kwenye mikutano ya waandishi wa habari ambayo kimsingi palitegemewa awe John Mrema kama Mkuu wa Kitengo cha Itikadi na Uenezi kutoa taarifa na kuzungumzia tathmini ya uchaguzi na kampeni za Chadema lakini badala yake Lissu anazunguka mwenyewe mikutano yake yote na pakitokea jambo la kuzungumza analazimika tena huyohuyo mwenyewe Lissu kama mgombea kuzungumza na waandishi wa habari, tofauti na inavyotakiwa na hata tunavyoona kwenye vyama vingine vilivyojipambanua kama taasisi kuwa na kitengo cha uratibu wa kampeni kila mmoja. Hii ndio kali ya mwaka naiona.
Hata ratiba ya kampeni na mikutano ambayo kimsingi ilitakiwa kutolewa na idara ya Itikadi na Uenezi, Lissu anatoa mwenyewe. Kila mtu amemsusia Lissu kampeni zote. Hii ndio maana Lissu amekuwa na mlolongo wa makosa ya uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi ya kujirudia rudia kwenye kila mkutano anaoufanya jambo lililosababisha mpaka akafungiwa kufanya kampeni siku 7. Hii inatokana na ukweli kwamba hakuna anayemfunga kengere tena Lissu na kumnyosha kimaadili na kufuata sheria na taratibu mana Chama chake kimemsusia.
Sasa hapa Watanzania wanaweza kupata picha ya aina ya upinzani na vyama vyetu vya upinzani. Hao ndo tuwape nchi kweli? Watu ambao wao kwa wao tu wenyewe hawapatani na wala hawaelewani, vipi itakuwa kwa Watanzania? Yani ndani ya Chama kimoja kila mtu na lake. Mwenyekiti wa Chama na Katibu wake hakuna anayeonekana kwenye mikutano ya mgombea wao na wala hajui kinachoendelea.
Lissu sasa wamemuacha kisiwani asijue cha kufanya. Kama tulivyozoea kuona kwenye mikutano ya vyama vingine vyenye taasisi imara pakiwa na safu nzima ya uongozi wa Chama kitaifa, viongozi waandamizi na wale wa maeneo husika, kwa Lissu mambo ni tofauti kabisa. Wao kwa wao hawana connection na wala huoni tafsiri ya utaasisi wa vyama vyao. Ni kama kikundi tu cha watu fulani wajanja wajanja wameamua kuhadaa na kurubuni watu ili wapate ruzuku ya Serikali ambayo wakishaipata wamekuwa wakigawana kama mchele mbele ya kuku.
Tukawanyime kura watu hawa Oktoba 28 kwenye sanduku la kura. Nchi hii si ya kuchezea chezea na kuleta usanii. Watanzania wanataka maendeleo na si vinginevyo.
Ni Mimi Kijana Wa Newala, Mtwara.
Ni rais mtarajiwa wa kijiwe cha JF. Ameishapita huyo wana jina washambatiza.Lissu hawezii kuwa Rais wa nchi hii hata kidogo
Vipi kijana wa Newala, korosho ulilipwa?Hivi macho yako yanaona kama mimi? Yanaona yanayoendelea Chadema? Chama kinachoomba ridhaa ya kuongoza Tanzania kwenye uchaguzi huu. Viongozi wa Chama hicho ni kama wamemsusia kila kitu mgombea wao wa kiti cha Urais bwana Tundu Lissu na kumwacha afanye mwenyewe kila kitu.
Hakuna anayejishugulisha, anayempa sapoti wala kuonyesha ushirikiano nae wowote ule.
Tumeshuhudia mikutano yote anayotembea Lissu yuko mwenyewe tu bila kuambatana na viongozi wowote waandamizi wa kitaifa wa Chama hicho. Hatumuoni Mbowe, hatumuoni Kigaila wala hatumuoni John Mnyika. Wote wamemuacha solemba Lissu.
Nenda kwenye mikutano ya waandishi wa habari ambayo kimsingi palitegemewa awe John Mrema kama Mkuu wa Kitengo cha Itikadi na Uenezi kutoa taarifa na kuzungumzia tathmini ya uchaguzi na kampeni za Chadema lakini badala yake Lissu anazunguka mwenyewe mikutano yake yote na pakitokea jambo la kuzungumza analazimika tena huyohuyo mwenyewe Lissu kama mgombea kuzungumza na waandishi wa habari, tofauti na inavyotakiwa na hata tunavyoona kwenye vyama vingine vilivyojipambanua kama taasisi kuwa na kitengo cha uratibu wa kampeni kila mmoja. Hii ndio kali ya mwaka naiona.
Hata ratiba ya kampeni na mikutano ambayo kimsingi ilitakiwa kutolewa na idara ya Itikadi na Uenezi, Lissu anatoa mwenyewe. Kila mtu amemsusia Lissu kampeni zote. Hii ndio maana Lissu amekuwa na mlolongo wa makosa ya uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi ya kujirudia rudia kwenye kila mkutano anaoufanya jambo lililosababisha mpaka akafungiwa kufanya kampeni siku 7. Hii inatokana na ukweli kwamba hakuna anayemfunga kengere tena Lissu na kumnyosha kimaadili na kufuata sheria na taratibu mana Chama chake kimemsusia.
Sasa hapa Watanzania wanaweza kupata picha ya aina ya upinzani na vyama vyetu vya upinzani. Hao ndo tuwape nchi kweli? Watu ambao wao kwa wao tu wenyewe hawapatani na wala hawaelewani, vipi itakuwa kwa Watanzania? Yani ndani ya Chama kimoja kila mtu na lake. Mwenyekiti wa Chama na Katibu wake hakuna anayeonekana kwenye mikutano ya mgombea wao na wala hajui kinachoendelea.
Lissu sasa wamemuacha kisiwani asijue cha kufanya. Kama tulivyozoea kuona kwenye mikutano ya vyama vingine vyenye taasisi imara pakiwa na safu nzima ya uongozi wa Chama kitaifa, viongozi waandamizi na wale wa maeneo husika, kwa Lissu mambo ni tofauti kabisa. Wao kwa wao hawana connection na wala huoni tafsiri ya utaasisi wa vyama vyao. Ni kama kikundi tu cha watu fulani wajanja wajanja wameamua kuhadaa na kurubuni watu ili wapate ruzuku ya Serikali ambayo wakishaipata wamekuwa wakigawana kama mchele mbele ya kuku.
Tukawanyime kura watu hawa Oktoba 28 kwenye sanduku la kura. Nchi hii si ya kuchezea chezea na kuleta usanii. Watanzania wanataka maendeleo na si vinginevyo.
Ni Mimi Kijana Wa Newala, Mtwara.
Majungu hayo!Nchi ina miaka 59 kuelekea 60 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, CCM badala ya kuleta maendeleo wamechukua pesa zote za viwanda zinatumika kudhoofisha kuihujumu chadema kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji mwingi na unyama wa kila aina, hawataki kuleta maendeleo, hata maendeleo kidogo yaliyopo yamejaa ufisadi mwingi 10% kila kona CCM ni ile ile ukoo wa panya hakuna mwema wala malaika wote ni wapigaji, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa mengi Duniani na pengine ingekuwa na kura ya veto lakini chini ya CCM ya uchakachuaji inazidi kudidimia zaidi .
Wewe unaposikia watu wanasema Lissu ni sawa sawa na wabunge 1000 wa ccm huwa unaelewa nini? Kama mtu aliyesuswa anawakimbiza hadi mnaomba msaada wa tume na police,je hao wengine wakiingia ulingoni si ndo mtaanza Kuzika wanaccm kwa presure?Hivi macho yako yanaona kama mimi? Yanaona yanayoendelea Chadema? Chama kinachoomba ridhaa ya kuongoza Tanzania kwenye uchaguzi huu. Viongozi wa Chama hicho ni kama wamemsusia kila kitu mgombea wao wa kiti cha Urais bwana Tundu Lissu na kumwacha afanye mwenyewe kila kitu.
Hakuna anayejishugulisha, anayempa sapoti wala kuonyesha ushirikiano nae wowote ule.
Tumeshuhudia mikutano yote anayotembea Lissu yuko mwenyewe tu bila kuambatana na viongozi wowote waandamizi wa kitaifa wa Chama hicho. Hatumuoni Mbowe, hatumuoni Kigaila wala hatumuoni John Mnyika. Wote wamemuacha solemba Lissu.
Nenda kwenye mikutano ya waandishi wa habari ambayo kimsingi palitegemewa awe John Mrema kama Mkuu wa Kitengo cha Itikadi na Uenezi kutoa taarifa na kuzungumzia tathmini ya uchaguzi na kampeni za Chadema lakini badala yake Lissu anazunguka mwenyewe mikutano yake yote na pakitokea jambo la kuzungumza analazimika tena huyohuyo mwenyewe Lissu kama mgombea kuzungumza na waandishi wa habari, tofauti na inavyotakiwa na hata tunavyoona kwenye vyama vingine vilivyojipambanua kama taasisi kuwa na kitengo cha uratibu wa kampeni kila mmoja. Hii ndio kali ya mwaka naiona.
Hata ratiba ya kampeni na mikutano ambayo kimsingi ilitakiwa kutolewa na idara ya Itikadi na Uenezi, Lissu anatoa mwenyewe. Kila mtu amemsusia Lissu kampeni zote. Hii ndio maana Lissu amekuwa na mlolongo wa makosa ya uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi ya kujirudia rudia kwenye kila mkutano anaoufanya jambo lililosababisha mpaka akafungiwa kufanya kampeni siku 7. Hii inatokana na ukweli kwamba hakuna anayemfunga kengere tena Lissu na kumnyosha kimaadili na kufuata sheria na taratibu mana Chama chake kimemsusia.
Sasa hapa Watanzania wanaweza kupata picha ya aina ya upinzani na vyama vyetu vya upinzani. Hao ndo tuwape nchi kweli? Watu ambao wao kwa wao tu wenyewe hawapatani na wala hawaelewani, vipi itakuwa kwa Watanzania? Yani ndani ya Chama kimoja kila mtu na lake. Mwenyekiti wa Chama na Katibu wake hakuna anayeonekana kwenye mikutano ya mgombea wao na wala hajui kinachoendelea.
Lissu sasa wamemuacha kisiwani asijue cha kufanya. Kama tulivyozoea kuona kwenye mikutano ya vyama vingine vyenye taasisi imara pakiwa na safu nzima ya uongozi wa Chama kitaifa, viongozi waandamizi na wale wa maeneo husika, kwa Lissu mambo ni tofauti kabisa. Wao kwa wao hawana connection na wala huoni tafsiri ya utaasisi wa vyama vyao. Ni kama kikundi tu cha watu fulani wajanja wajanja wameamua kuhadaa na kurubuni watu ili wapate ruzuku ya Serikali ambayo wakishaipata wamekuwa wakigawana kama mchele mbele ya kuku.
Tukawanyime kura watu hawa Oktoba 28 kwenye sanduku la kura. Nchi hii si ya kuchezea chezea na kuleta usanii. Watanzania wanataka maendeleo na si vinginevyo.
Ni Mimi Kijana Wa Newala, Mtwara.
Hao ndio miungu wako, rais wa Tanzania anawajibika kwa wapiga kura wake sio wewe kinyago.Tatizo lenu Mnafikiri yanayofanywa na CCM Ndiyo Utaratibu, stupid...tunafahamu mgombea wa CCM hawezi kukutana na waandishi wa habari kwa Sababu He is such a thug and coward, hawezi kujieleza wala kujibu maswali ya waandishi Hasa media za nje