Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Uzi huu tusaidiane kutambua last moments za wapendwa wetu huwa zinakuwaje au watu tunaowafahamu. Hususan pale anapokata roho. Nitaelezea kiss kimoja nilichoshuhudia.

Nilikuwa namuuguza ndugu yangu hospitali moja ya mkoa enzi hizo tunalala na wagonjwa mahospitalini. Kitanda opposite na mimi alikuwako mzee mmoja anamuuguza kijana mmoja wa miaka kama 17 hivi au zaidi kidogo.

Yule mzee akamuona yule kijana anahangaika anatapatapa akajua huyu anakata roho. Alichofanya yule mzee akakaa nyuma ya mabega ya yule kijana hivyo kijana akawa amemlalia mzee mapajani. Yule mzee akaanza kummassage macho yule kijana kwa kuyafumba. Taratibu yule kijana akakata roho na kufariki. Sitaisahau siku hii ilikuwa mwaka 1993/4.
 
Mtateseka nikiwa nimekufa lakini siyo nikiwa hai, 12 hours before his death, then tukaenda mtoni doing our laundry with him, as he insisted that we must do it bse the next day we were about to embark a journey.

Usiku alisema twende tukakale mwanangu then he died.

I miss you mshua , I wish that heaven have visiting hours , so I could come by and ask your advice
 
Mtateseka nikiwa nimekufa lakini siyo nikiwa hai, 12 hours before his death, then tukaenda mtoni doing our laundry with him, as he insisted that we must do it bse the next day we were about to embark a journey.

Usiku alisema twende tukakale mwanangu then he died.

I miss you mshua , I wish that heaven have visiting hours , so I could come by and ask your advice
Alikua anaumwa au nae alipewa polladium?
 
Uzi huu tusaidiane kutambua last moments za wapendwa wetu huwa zinakuwaje au watu tunaowafahamu. Hususan pale anapokata roho. Nitaelezea kiss kimoja nilichoshuhudia.

Nilikuwa namuuguza ndugu yangu hospitali moja ya mkoa enzi hizo tunalala na wagonjwa mahospitalini. Kitanda opposite na mimi alikuwako mzee mmoja anamuuguza kijana mmoja wa miaka kama 17 hivi au zaidi kidogo.

Yule mzee akamuona yule kijana anahangaika anatapatapa akajua huyu anakata roho. Alichofanya yule mzee akakaa nyuma ya mabega ya yule kijana hivyo kijana akawa amemlalia mzee mapajani. Yule mzee akaanza kummassage macho yule kijana kwa kuyafumba. Taratibu yule kijana akakata roho na kufariki. Sitaisahau siku hii ilikuwa mwaka 1993/4.
Mkuu tueleze last moments ya mpendwa wako hata mmoja kwanza
 
Alikua anaumwa au nae alipewa polladium?
Aliumwa Sana mkuu , ilifikia hatua alikuwa kama na ukichaa hivi .

Tulikuwa tukiishi somewhere ila Ilibidi turudi Kijijini , baadae ya kifo chake ugomvi wa mali ulianza damn .
Nlikuwa mdogo kipindi hicho na dada yangu alikuwa na miaka 11 .

Nilipofikisha umri wa miaka kumi na sita nilipenda yalipokuwa makazi yake , nilikutana na baadhi ya marafiki zake ambao walinieleza kila kitu .

Ilikuwa ni vita ya kugombania mali alizochuma yeye mwenyewe.
 
Uzi huu tusaidiane kutambua last moments za wapendwa wetu huwa zinakuwaje au watu tunaowafahamu. Hususan pale anapokata roho. Nitaelezea kiss kimoja nilichoshuhudia.

Nilikuwa namuuguza ndugu yangu hospitali moja ya mkoa enzi hizo tunalala na wagonjwa mahospitalini. Kitanda opposite na mimi alikuwako mzee mmoja anamuuguza kijana mmoja wa miaka kama 17 hivi au zaidi kidogo.

Yule mzee akamuona yule kijana anahangaika anatapatapa akajua huyu anakata roho. Alichofanya yule mzee akakaa nyuma ya mabega ya yule kijana hivyo kijana akawa amemlalia mzee mapajani. Yule mzee akaanza kummassage macho yule kijana kwa kuyafumba. Taratibu yule kijana akakata roho na kufariki. Sitaisahau siku hii ilikuwa mwaka 1993/4.
Inahuzunisha sana.
 
Back
Top Bottom