Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Uzi huu tusaidiane kutambua last moments za wapendwa wetu huwa zinakuwaje au watu tunaowafahamu. Hususan pale anapokata roho. Nitaelezea kiss kimoja nilichoshuhudia.
Nilikuwa namuuguza ndugu yangu hospitali moja ya mkoa enzi hizo tunalala na wagonjwa mahospitalini. Kitanda opposite na mimi alikuwako mzee mmoja anamuuguza kijana mmoja wa miaka kama 17 hivi au zaidi kidogo.
Yule mzee akamuona yule kijana anahangaika anatapatapa akajua huyu anakata roho. Alichofanya yule mzee akakaa nyuma ya mabega ya yule kijana hivyo kijana akawa amemlalia mzee mapajani. Yule mzee akaanza kummassage macho yule kijana kwa kuyafumba. Taratibu yule kijana akakata roho na kufariki. Sitaisahau siku hii ilikuwa mwaka 1993/4.
Nilikuwa namuuguza ndugu yangu hospitali moja ya mkoa enzi hizo tunalala na wagonjwa mahospitalini. Kitanda opposite na mimi alikuwako mzee mmoja anamuuguza kijana mmoja wa miaka kama 17 hivi au zaidi kidogo.
Yule mzee akamuona yule kijana anahangaika anatapatapa akajua huyu anakata roho. Alichofanya yule mzee akakaa nyuma ya mabega ya yule kijana hivyo kijana akawa amemlalia mzee mapajani. Yule mzee akaanza kummassage macho yule kijana kwa kuyafumba. Taratibu yule kijana akakata roho na kufariki. Sitaisahau siku hii ilikuwa mwaka 1993/4.