GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Mungu alizaa mtoto?Yesu ni Mwana wa Mungu
Ana mke?
Wapi kasema ana mwana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu alizaa mtoto?Yesu ni Mwana wa Mungu
Mungu alizaa mtoto?
Ana mke?
Wapi kasema ana mwana?
Kweli kabisa Magufuli anakumbukwa na watanzania wengi wanaougulia machungu ya vita ya Urusi na YukreinWanakataa kwa nguvu zote lakini ukweli ni kwamba wanamkumbuka sana tu
Wewe utakumbukwa na nani?atakumbukwa na mazuzu tu
Jisemee nafsi yako dada!!Wewe utakumbukwa na nani?
😅😅😅Mungu gan na yeye ndio mnadai ndio mungu ??
NI SAHIHI ALLAH NI MMOJA HANA MSHIRIKAHaya mambo ya dini wewe waachie wafia dini, kule kwingine nako kuna kauli mbiu hakuna mwenyezi Mungu isipokuwa Allah.
Kasome BIBLE..Mungu alizaa mtoto?
Ana mke?
Wapi kasema ana mwana?
Pole sana mkuuAliumwa Sana mkuu , ilifikia hatua alikuwa kama na ukichaa hivi .
Tulikuwa tukiishi somewhere ila Ilibidi turudi Kijijini , baadae ya kifo chake ugomvi wa mali ulianza damn .
Nlikuwa mdogo kipindi hicho na dada yangu alikuwa na miaka 11 .
Nilipofikisha umri wa miaka kumi na sita nilipenda yalipokuwa makazi yake , nilikutana na baadhi ya marafiki zake ambao walinieleza kila kitu .
Ilikuwa ni vita ya kugombania mali alizochuma yeye mwenyewe.
Tatizo lako January una uroho sana wa mali za umma.jamaa alikukaba haswa.punguza chuki kwa mtu asiyekuwepo duniani tenaatakumbukwa na mazuzu tu
Wewe hulioni tatizo hapo?NI SAHIHI ALLAH NI MMOJA HANA MSHIRIKA
Weka aya za bible zinzoeleza hivyo tuelimike mkuuKasome BIBLE..
We una liona?Wewe hulioni tatizo hapo?
Hakuna Mungu isipokuwa Mungu, sasa hapo unaelewa nini?We una liona?
Nafsi yako itakukumbuka?Jisemee nafsi yako dada!!
kuna viumbe wanaabudiwa,watu waliojiita mungu,kuna masanamu yanayoitwa mungu watu wanayaabudu,kuna yesu mnamuita mungu.Hakuna Mungu isipokuwa Mungu, sasa hapo unaelewa nini?
Haya baki na allah wako na sisi tubaki na Yehova wetu.kuna viumbe wanaabudiwa,watu waliojiita mungu,kuna masanamu yanayoitwa mungu watu wanayaabudu,kuna yesu mnamuita mungu.
Allah ni Mwenyezimungu mkuu tofauti na hao ndio maana ya ile kauli mkuu.
Kwa kiswahili Allah ni nani?kuna viumbe wanaabudiwa,watu waliojiita mungu,kuna masanamu yanayoitwa mungu watu wanayaabudu,kuna yesu mnamuita mungu.
Allah ni Mwenyezimungu mkuu tofauti na hao ndio maana ya ile kauli mkuu.
Alisema nireteeni gwajimaNajaribu kuwaza akiwa kitandani Mzena dakika za mwisho alizungumza nini?