Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Mimi ni Mtu wa Afya Nimeshuhudia Mara nyingi mtu akikata Roho mbele yangu.

1..Nikiwa wodi ya wanawake mwaka 2018 kuna Client aliugua Sana Kwa Muda mrefu na Kiutaaramu Tukiweza kujua Huyu ni ngumu kutoboa Labda Mungu Tu..siku nimeingia Night nakuta client ana Furaha Tofauti na Siku zote aisee kufika saa nane Usiku Tayari Nimeshapeleka mwochwali.

2.Huyu alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha sita ameanguka kwenye Chumba cha mtihani wa Taifa kaja Kituo cha Afya chetu tukaanza Huduma za Kwanza Faster Sana ..Ila Hapa Napo kutoboa Tulihisi ngumu Kwa watu wa Afya wanaelewa hii Baada ya Kuhakikisha fluid kama sita za IV fluconazole nimezitembeza nikasema ngoja nikanywe chai kurudi client ananiambia naomba tuombe alikata Moto mbele yangu huyu Nilimfumba macho na mdomo mwenyewe Ila niliumia Sana Hasa dogo Amepotea ndoto zake mapema hawa mabinti wanaua Sana wadogo zetu japo kuanzia form five aligoma Kutumia dawa kijana wa watu na Sijui Nani alimpa.

Aisee matukio ni MENGI WATU wa Afya tunakutana na mengi na ndio maana Tunakuwa na Roho Fulani tunazijua Wenyewe
 
Mimi ni Mtu wa Afya Nimeshuhudia Mara nyingi mtu akikata Roho mbele yangu.

1..Nikiwa wodi ya wanawake mwaka 2018 kuna Client aliugua Sana Kwa Muda mrefu na Kiutaaramu Tukiweza kujua Huyu ni ngumu kutoboa Labda Mungu Tu..siku nimeingia Night nakuta client ana Furaha Tofauti na Siku zote aisee kufika saa nane Usiku Tayari Nimeshapeleka mwochwali.

2.Huyu alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha sita ameanguka kwenye Chumba cha mtihani wa Taifa kaja Kituo cha Afya chetu tukaanza Huduma za Kwanza Faster Sana ..Ila Hapa Napo kutoboa Tulihisi ngumu Kwa watu wa Afya wanaelewa hii Baada ya Kuhakikisha fluid kama sita za IV fluconazole nimezitembeza nikasema ngoja nikanywe chai kurudi client ananiambia naomba tuombe alikata Moto mbele yangu huyu Nilimfumba macho na mdomo mwenyewe Ila niliumia Sana Hasa dogo Amepotea ndoto zake mapema hawa mabinti wanaua Sana wadogo zetu japo kuanzia form five aligoma Kutumia dawa kijana wa watu na Sijui Nani alimpa.

Aisee matukio ni MENGI WATU wa Afya tunakutana na mengi na ndio maana Tunakuwa na Roho Fulani tunazijua Wenyewe
Dah!!!, Kweli kabisa Mkuu ukiwa Daktari lazima ukute na mengi.Mungu awabariki sana wataalamu wetu wa Afya.
 
Mimi ni Mtu wa Afya Nimeshuhudia Mara nyingi mtu akikata Roho mbele yangu.

1..Nikiwa wodi ya wanawake mwaka 2018 kuna Client aliugua Sana Kwa Muda mrefu na Kiutaaramu Tukiweza kujua Huyu ni ngumu kutoboa Labda Mungu Tu..siku nimeingia Night nakuta client ana Furaha Tofauti na Siku zote aisee kufika saa nane Usiku Tayari Nimeshapeleka mwochwali.

2.Huyu alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha sita ameanguka kwenye Chumba cha mtihani wa Taifa kaja Kituo cha Afya chetu tukaanza Huduma za Kwanza Faster Sana ..Ila Hapa Napo kutoboa Tulihisi ngumu Kwa watu wa Afya wanaelewa hii Baada ya Kuhakikisha fluid kama sita za IV fluconazole nimezitembeza nikasema ngoja nikanywe chai kurudi client ananiambia naomba tuombe alikata Moto mbele yangu huyu Nilimfumba macho na mdomo mwenyewe Ila niliumia Sana Hasa dogo Amepotea ndoto zake mapema hawa mabinti wanaua Sana wadogo zetu japo kuanzia form five aligoma Kutumia dawa kijana wa watu na Sijui Nani alimpa.

Aisee matukio ni MENGI WATU wa Afya tunakutana na mengi na ndio maana Tunakuwa na Roho Fulani tunazijua Wenyewe
Poleni na hongereni sana kwa kazi ngumu
 
Kifo kinatisha sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mwanafalsafa wa zamani wa Kigiriki aliyejulikana kwa jina la EPICURUS aliwahi kusema hivi kuhusu Kuogopa kifo; "Usiogope kifo kwa kuwa bado unaishi hivyo bado hakijakupata,na ukifa utakuwa umeshakufa huwezi kufa tena ". Huyu jamaa alitaka kumaanisha kuwa huwezi Kuogopa kifo ili hali hakijakupata bado,sasa unaogopaje kitu ambacho hujawahi kutana nacho?,na kikikupata unakuwa umeshakufa hivyo huwezi kufa tena.
 
Mwanafalsafa wa zamani wa Kigiriki aliyejulikana kwa jina la EPICURUS aliwahi kusema hivi kuhusu Kuogopa kifo; "Usiogope kifo kwa kuwa bado unaishi hivyo bado hakijakupata,na ukifa utakuwa umeshakufa huwezi kufa tena ". Huyu jamaa alitaka kumaanisha kuwa huwezi Kuogopa kifo ili hali hakijakupata bado,sasa unaogopaje kitu ambacho hujawahi kutana nacho?,na kikikupata unakuwa umeshakufa hivyo huwezi kufa tena.
Nimeuchukua huu msemo mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Amen! Ni hali mbaya sana ambayo mtu anaweza kuipitia,kuna mwanangu mdogo anaongea kama cherahani,kila muda ananiambia"Baba nipe pochi yangu mi nataka kwenda hoskwitali(hospitali) kumsalimia mamaa" hapo ndiyo ananianzishia msiba upya.
So sad
 
Mimi ni Mtu wa Afya Nimeshuhudia Mara nyingi mtu akikata Roho mbele yangu.

1..Nikiwa wodi ya wanawake mwaka 2018 kuna Client aliugua Sana Kwa Muda mrefu na Kiutaaramu Tukiweza kujua Huyu ni ngumu kutoboa Labda Mungu Tu..siku nimeingia Night nakuta client ana Furaha Tofauti na Siku zote aisee kufika saa nane Usiku Tayari Nimeshapeleka mwochwali.

2.Huyu alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha sita ameanguka kwenye Chumba cha mtihani wa Taifa kaja Kituo cha Afya chetu tukaanza Huduma za Kwanza Faster Sana ..Ila Hapa Napo kutoboa Tulihisi ngumu Kwa watu wa Afya wanaelewa hii Baada ya Kuhakikisha fluid kama sita za IV fluconazole nimezitembeza nikasema ngoja nikanywe chai kurudi client ananiambia naomba tuombe alikata Moto mbele yangu huyu Nilimfumba macho na mdomo mwenyewe Ila niliumia Sana Hasa dogo Amepotea ndoto zake mapema hawa mabinti wanaua Sana wadogo zetu japo kuanzia form five aligoma Kutumia dawa kijana wa watu na Sijui Nani alimpa.

Aisee matukio ni MENGI WATU wa Afya tunakutana na mengi na ndio maana Tunakuwa na Roho Fulani tunazijua Wenyewe
Watu wa afya,ni km hawaigopi,unaweza fikiri ni katili Ila ni jinsi kazi zenu zilivyo.endeleeni kufanya kazi ,kazi yenu ni njema
 
Mungu gan na yeye ndio mnadai ndio mungu ??
Watu mmeelewa ila wagumu kuelewa. Sio kwamba hujui,unajua huyo ni MUNGU MWANA. Hapo alikuwa anamaanisha mkuu,ambaye ni babaake pia.
 
Dah. Mungu wangu. Pole sana capt Tamar
Tukiwa kwenye harakati za kumuuguza mke wangu mpendwa,Mama alikuwa msaada mkubwa kwangu na kwa mke wangu,siku hiyo nimetoka hospitali kumuona mke wangu,nafika nyumbani nikaambiwa mama ananiita kwake,nikaenda na kumkuta ana huzuni sana,akaniuliza tu mgonjwa anaendeleaje?nikamwambia anaendelea vizuri sana,akaniambia "moyo wangu unaniuma sana nimeshindwa kwenda kumuona,miguu yangu haifanyi kazi kabisa,ila naamini tu Mungu ATANIKUTANISHA naye siku moja" niliondooka kwake saa tano usiku,tukaagana,akaenda kulala na mimi nikaenda kwangu,siyo mbali sana! Usiku wa kama saa nane nikapigiwa simu na mtu aliyekuwa hospitali alipokuwa amelazwa mke wangu!akaniambia hali ya mke wangu imekuwa mbaya ghafla,hivyo kama nitaweza niende asubuhi,hospitali yenyewe ilikuwa mkoa mwingine, nikakosa amani kabisa! Kufika saa kumi hivi usiku nikapigiwa simu tena! Roho ikapasuka paah!! Kuicheki ni mdogo wangu anayeishi na mama,nikapokea,akawa analia huku akiniambia "njoo nyumbani haraka" nikatoka mbio,nikafika na kumkuta mdogo wangu nje ana haha na kulia,nika muuliza kuna nini?akanikumbatia huku akilia na kuniambia niingie ndani,nikaingia mbio,nikaenda haraka chumbani kwa mama! Nikamkuta amelala huku anakoroma kwa sauti ya chini kabisa nikajaribu kkumwamsha kwa kumtikisa! Hakujibu,wala hakuamka,Akaondoka hivyo!! Tukaandaa mazishi na kumzika hapo hapo nyumbani huku mke wangu akiwa bado hospitali na akiwa na hali mbaya,siku tumezika mmke wangu ni kama alipata nafuu ghafla na kuongea na dokta aniambie nimpe mama simu aongee naye,nikamwambia mama ametoka kidoogo,akasisitiza sana,maana siku mama yangu anazikwa mimi nilienda hospitali asubuhi na mke wangu akawa anaongea kwa tabu akinilaumu kwa kumnyima kuongea na mama,akasema kuna kitu anataka amwambie mama ili mmama aniambie mimi,akasema "mimi nakufa,ila kuna jambo nataka nimwambie mama kwa ajili yako, basi tukamzika mama!! Mke wangu hakujua kuwa mama amefariki hadi siku moja alipoambiwa na mgonjwa mwingine aliyefika hospitalini akkitokea huku tunakoishi siku hiyo mke wangu alilia sana,akaniita,nikaenda,akalalamika kwa nini Mungu amemchukua Mama aliyekuwa mzima na mwenye aliyempenda sana na kumuacha yeye akiteseka kitandani kwa miaka!! Nimekuwa na wakati mgumu toka hapo ndugu zangu! Wiki mbili baada ya kumzika mama mke wangu mpenzi naye akafariki!! Lile neno alillotaka kumwambia mama aliniambia mimi mwishoni,nikamzika nyumbani pembeni ya mama aliyependa na waliopendana sana!! Mimi bado nipo kwenye msiba mzito!! Ni wiki tatu tu zimepita tangu nimzike mke wangu,mke wangu aliugua saratani ya ziwa(breast cancer) naandika huku machozi yananimwagika.
 
Poleni sana wafiwa. Hakuna kitu kinauma kama kuondokewa na uwapendao. Ni kumbukumbu isiyofutika akilini..... Mimi mwenyewe nikikumbuka nakosa ata nguvu ya kuelezea. Acha tuu
 
Back
Top Bottom