Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 242
- 363
Mimi ni Mtu wa Afya Nimeshuhudia Mara nyingi mtu akikata Roho mbele yangu.
1..Nikiwa wodi ya wanawake mwaka 2018 kuna Client aliugua Sana Kwa Muda mrefu na Kiutaaramu Tukiweza kujua Huyu ni ngumu kutoboa Labda Mungu Tu..siku nimeingia Night nakuta client ana Furaha Tofauti na Siku zote aisee kufika saa nane Usiku Tayari Nimeshapeleka mwochwali.
2.Huyu alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha sita ameanguka kwenye Chumba cha mtihani wa Taifa kaja Kituo cha Afya chetu tukaanza Huduma za Kwanza Faster Sana ..Ila Hapa Napo kutoboa Tulihisi ngumu Kwa watu wa Afya wanaelewa hii Baada ya Kuhakikisha fluid kama sita za IV fluconazole nimezitembeza nikasema ngoja nikanywe chai kurudi client ananiambia naomba tuombe alikata Moto mbele yangu huyu Nilimfumba macho na mdomo mwenyewe Ila niliumia Sana Hasa dogo Amepotea ndoto zake mapema hawa mabinti wanaua Sana wadogo zetu japo kuanzia form five aligoma Kutumia dawa kijana wa watu na Sijui Nani alimpa.
Aisee matukio ni MENGI WATU wa Afya tunakutana na mengi na ndio maana Tunakuwa na Roho Fulani tunazijua Wenyewe
1..Nikiwa wodi ya wanawake mwaka 2018 kuna Client aliugua Sana Kwa Muda mrefu na Kiutaaramu Tukiweza kujua Huyu ni ngumu kutoboa Labda Mungu Tu..siku nimeingia Night nakuta client ana Furaha Tofauti na Siku zote aisee kufika saa nane Usiku Tayari Nimeshapeleka mwochwali.
2.Huyu alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha sita ameanguka kwenye Chumba cha mtihani wa Taifa kaja Kituo cha Afya chetu tukaanza Huduma za Kwanza Faster Sana ..Ila Hapa Napo kutoboa Tulihisi ngumu Kwa watu wa Afya wanaelewa hii Baada ya Kuhakikisha fluid kama sita za IV fluconazole nimezitembeza nikasema ngoja nikanywe chai kurudi client ananiambia naomba tuombe alikata Moto mbele yangu huyu Nilimfumba macho na mdomo mwenyewe Ila niliumia Sana Hasa dogo Amepotea ndoto zake mapema hawa mabinti wanaua Sana wadogo zetu japo kuanzia form five aligoma Kutumia dawa kijana wa watu na Sijui Nani alimpa.
Aisee matukio ni MENGI WATU wa Afya tunakutana na mengi na ndio maana Tunakuwa na Roho Fulani tunazijua Wenyewe