Je, dawa za meno zinazogawiwa mashuleni zinaharibu homoni za watoto wa kiume?

Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Badala ya kuwapa dawa za meno na miswaki, wawajengee madarada au wanunue madawati. Ndio yaleyale waarabu badala ya Kuwasaidia kujenga darasa au kununua hata madawati kadhaa, wao wanawasaidia kwa kuwapa nyama na mchele
 
Hahahahahaahahahaah seng kweli wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…