Je, dawa za meno zinazogawiwa mashuleni zinaharibu homoni za watoto wa kiume?

Je, dawa za meno zinazogawiwa mashuleni zinaharibu homoni za watoto wa kiume?

Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Badala ya kuwapa dawa za meno na miswaki, wawajengee madarada au wanunue madawati. Ndio yaleyale waarabu badala ya Kuwasaidia kujenga darasa au kununua hata madawati kadhaa, wao wanawasaidia kwa kuwapa nyama na mchele
 
Yaan kama milipigwa Pfizer, moderna , J&J , jiandaeeni kupumuliwa, no matter how!!

Kitakachowatofautisha ni miguno wakat mnapumuliwa...

Wale wa Pfizer miguno yenu ni Ile ashiiiiiiiiiiiiii utaniuaaa wee mbaba..


Wale wa Moderna , miguno ni Hiiiiiii hiiiiiiii hiiiiiii


Wale J&J miguno yenu ni ohooooo hapohapo hapooo pelekaa pelekaaaaa baby



Mtapumuliwa tu 🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaahahahaah seng kweli wew
 
Back
Top Bottom