Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

😁😁
1722856824671.jpg
 
Nyie mlikua mazombi msio weza kufikiri wala kuhoji na ni wakengeufu mlio kana imani za asili za wazee wetu,hatuwaamini wala kuwasikiliza we follow our own path now relax.
Sisi tulipitia kipindi ambacho ukiulizwa unaitwa nani ukasema , kijekitile au naitwa isike au naitwa katitu basi hii kwetu ilikuwa kosa ilibidi uitwe juma, au ima hii nikimaanisha majina ya kigeni
kwa mujibu wa kitabu kipi ulichosoma ??
wewe shida yako ni nikitabu tu?
 
Sisi tulipitia kipindi ambacho ukiulizwa unaitwa nani ukasema , kijekitile au naitwa isike au naitwa katitu basi hii kwetu ilikuwa kosa ilibidi uitwe juma, au ima hii nikimaanisha majina ya kigeni

wewe shida yako ni nikitabu tu?

Ndicho kitabu ulichosoma hicho ??
 
Ungesoma kile nilichokiandika awali ungefuatilia comments zangu.


From Venus Star: God is anything which is beyond of your intelligent abilities. Mungu ni kitu chochote kilicho juu ya uwezo wako wa akili

Mtoto wangu mchanga ananiona mimi ni Mungu
Mungu ni concept iliyotokana na curiosity ya watu kutaka kujibu philosophical issues kuhusu existence.

It vary according to culture
Hujajibu swali langu shetani kaumbwa na Nani???
 
Hujajibu swali langu shetani kaumbwa na Nani???
Sasa mzee unaniuliza swali hilo, mambo ya kitu kuumbwa na mimi wapi na wapi? Nadhani utakuwa umekosea. Mtafute mtu sahihi wa kukujibi swali hili. Mimi sihusiki na mambo ya uumbaji.
 
Ungesoma kile nilichokiandika awali ungefuatilia comments zangu.


From Venus Star: God is anything which is beyond of your intelligent abilities. Mungu ni kitu chochote kilicho juu ya uwezo wako wa akili

Mtoto wangu mchanga ananiona mimi ni Mungu
Mungu ni concept iliyotokana na curiosity ya watu kutaka kujibu philosophical issues kuhusu existence.

It vary according to culture
Kwa maelezo yako habari za mungu ni hadithi za watu tu?

Kwamba kila jamii inautaratibu wake dhidi ya mungu iliyojiwekea kwa hiyo sio kweli kwamba mungu niwa wote?
 
Kwa maelezo yako habari za mungu ni hadithi za watu tu?

Kwamba kila jamii inautaratibu wake dhidi ya mungu iliyojiwekea kwa hiyo sio kweli kwamba mungu niwa wote?
Mungu wala si wa jamii, Mungu ni personal. Ukitaka ku share na wengine Mungu wako well and good.

Wakristo na waislam wanamuabudu Mungu wa Ibrahim
 
Mungu wala si wa jamii, Mungu ni personal. Ukitaka ku share na wengine Mungu wako well and good.

Wakristo na waislam wanamuabudu Mungu wa Ibrahim
Tafsiri yako "existence of god imetokana na curiosity ya watu" inamtanguliza mtu, then mungu ndiyo anafuata.

Inakinzana na mungu wa waislam na wakristo, ambaye kwa mujibu wao, yeye ndiye aliyeumba mtu.

Kwa kiswahili rahisi.

Kwa tafsiri yako, mtu alimuumba mungu. Wakati mungu wa Ibrahim alimuumba mtu.

Huoni hiyo contradiction mkuu?
 
Tafsiri yako "existence of god imetokana na curiosity ya watu" inamtanguliza mtu, then mungu ndiyo anafuata.

Inakinzana na mungu wa waislam na wakristo, ambaye kwa mujibu wao, yeye ndiye aliyeumba mtu.

Kwa kiswahili rahisi.

Kwa tafsiri yako, mtu alimuumba mungu. Wakati mungu wa Ibrahim alimuumba mtu.

Huoni hiyo contradiction mkuu?
Hakuna sehemu nimesema mtu amemuumba Mungu. Soma vizuri nilichokiandika.

Kuna maswali magumu binadamu anajiuliza anakosa amajibu.

So kutokana na kukosa majibu na anaona vitu vilivyopangika anakuwa na majibu ya kiimani, kuwa yupo anayetuzidi sisi anefanya haya.
 
Hakuna sehemu nimesema mtu amemuumba Mungu. Soma vizuri nilichokiandika.

Kuna maswali magumu binadamu anajiuliza anakosa amajibu.

So kutokana na kukosa majibu na anaona vitu vilivyopangika anakuwa na majibu ya kiimani, kuwa yupo anayetuzidi sisi anefanya ha

Hakuna sehemu nimesema mtu amemuumba Mungu. Soma vizuri nilichokiandika.

Kuna maswali magumu binadamu anajiuliza anakosa amajibu.

So kutokana na kukosa majibu na anaona vitu vilivyopangika anakuwa na majibu ya kiimani, kuwa yupo anayetuzidi sisi anefanya haya.
Bado unarudi palepale. Watu wamemuunda mungu through their curiosity.

Inamaana watu wasingekuwepo curiosity zao zisingekuwepo.

Mungu asingekuwepo pia.

Kipi kigumu kuelewa hapo?
 
Bado unarudi palepale. Watu wamemuunda mungu through their curiosity.

Inamaana watu wasingekuwepo curiosity zao zisingekuwepo.

Mungu asingekuwepo pia.

Kipi kigumu kuelewa hapo?
Sasa mzee unataka mimi nielewe au wewe uelewe? Maana ndiye mimi niliyeleta mada uwepo wa Mungu kutokana na curiosity

Wewe ndiye unatakiwa uitafakari na kudadavua mawazo yangu
 

Ningependa kujua, je, inawezekana kuwa Rais wa nchi wakati wewe si Raia wa nchi hiyo?

Pia ningependa kufahamu, Mungu ni wa dini gani? Je, ni Muislamu au Mkristo?

Kwa nini Masheikh na Wachungaji husema kwamba dini haiwezi kukufikisha Mbinguni?

Kama Dini haziwezi kutupeleka Mbinguni, basi kwa nini zipo? Kama Mungu yuko upande wa Wakristo, kwa nini hawapendelei?

Na kama Mungu ni wa Waislamu, kwa nini nao hawapendelei? Je, inamaanisha nini kusema kwamba Mungu ni wa kila mtu?

Kwa nini alitufanya tofauti kwa rangi? Na kwa nini alitufanya tofauti hata kwa jinsi tunavyoishi duniani au kwa kipato?

Kwanini aliumba shida na matatizo?

Na kusema kwamba alituumba kwa mfano wake, ningependa kujua, kama sisi ni mfano wa Mungu, je, hii inamaanisha kwamba Mungu anakula chakula, anaenda chooni, na pia anakabiliana na matatizo kama sisi?

Kama jibu ni hapana, kwa nini sisi, ambao ni mfano wa Mungu, tunateseka hivi wakati yeye ana uwezo mkubwa wa kutusaidia?
Nasubiri wataalam wa hili jambo waje kukidadavua
 
Ndicho kitabu ulichosoma hicho ??
Sio hicho tu nimesoma vingi sana... nimesoma kitabu cha mwakiswa, jinsi yakuwa tajiri, nikasoma kitabu cha mwakasege 'jinsi ya kuomba' nikasoma kitabu cha wazungu kinaitwa biblia ,jinsi ya kwenda mbinguni, nikasoma kitabu cha waarabu jinsi mohamed alivyoishi na maswahaba wake, sikuishia hapo nilisoma vitabu vvya physics,chemistry,mathematics, biology, nk: hapa saivi nasoma kitabu eriki shigongo, kifo ni haki yangu.
 
Dini ni njia tu kama ambavyo naweza fika kenya kupitia Tanga,Tarakea ama Namanga
 
Back
Top Bottom