Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Speculations zimekuwa nyingi kuelekea 2025 - 2030.

Muhimu Mungu taupe kibali cha Uzima, mtakuja kuona msiyoyatarajia.

Home ya Uchaguzi Loading..............
Kama leo watu wanawaza uchaguzi badala ya kuwaza kukamilisha mipango ya maendeleo, basi kama Nchi swala la maendeleo tutalisikia kwenye CNN, Aljazeera, BBC, France 24, etc.
 
Hao watu nyeti ndiyo akina nani!? Maana nchi hii kila kitengo ni nyeti!!!
 
Philip Isdory Mpango atastaafu na Samia wake, wote washachoka 'wanazeeka pamoja'

Anayefuata baada ya Samia waulize TEC
Mnawaonea sana TEC.m..

Pamoja na nguvu yao kubwa ya kiimani lakini mambo ya tawala na siasa ni tofauti nao....hawako 100p....
 
Hatoki KKKT tena? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…