Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
CCM mwisho wake 2025.
 
Akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Kama n kwel bc nadhan anafaa kuwa rais, wafanyakazi wengi wa serikalini wanawaza kupandishiwa mishahara tuu lkn ufanisi wa kazi upo duni au hauongezeki
 
Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Hivi nyinyi mna mfumo?
 
Kiburi cha AFYA na UZIMA....

Siku ni mwaka.....

Badala ya kulijenga taifa chini ya Samia tunakaa kufikiria "Mapenzi dhaifu ya nafsi" [emoji1787][emoji1787]

Nilitegema TUAINISHE hulka ,tabia na uwezo wa atakayepokea kijiti baada ya mh.Rais Samia amin...

Na si hivi kumtaja MTU kabisa.......

#Mama Anaupiga Mwingi[emoji120]
#SiempreJMT[emoji120]
 
Speculations zimekuwa nyingi kuelekea 2025 - 2030.

Muhimu Mungu atupe kibali cha Uzima, mtakuja kuona msiyoyatarajia.

Home ya Uchaguzi Loading..............
Samia ataanza kipindi chake kwa kwanza 2025. Cha pili 2030. Anamaliza 2035. Sasa hivi anamalizia daiwaka aliyoachiwa
 
Kama n kwel bc nadhan anafaa kuwa rais, wafanyakazi wengi wa serikalini wanawaza kupandishiwa mishahara tuu lkn ufanisi wa kazi upo duni au hauongezeki
Idara zingine ni mzigo kwa mlipakodi.


Nimewahi kushuhudia gari la zimamoto likifika kwenye eneo linaloungua kumbe gari likawa halina maji; wananchi walitaka kulichoma moto.
 
Back
Top Bottom