Kama Zina fanana na jiwe basi watanzania ndiye wanayempenda...Check post ya Rais anayeoendwa Tanzania kisha rudi hapaHuyo akili zake na jiwe zinafanana
Hafai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Zina fanana na jiwe basi watanzania ndiye wanayempenda...Check post ya Rais anayeoendwa Tanzania kisha rudi hapaHuyo akili zake na jiwe zinafanana
Hafai.
Rais wa Tanzania ni chaguo la Mungu tu na siyo matakwa ya binadamu. Ukiacha J K Nyerere Rais wa kwanza, kila ambaye alisemwa sana hajawahi kupata hiyo nafasi hiyo.Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Naunga mkono hoja.he seems to be a good leader.Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Hao TEC ndio wenye mamlaka ya kutuchagulia Rais?...nani kawapa?Ungewauliza kuanzia mwaka gani?
Kwa mujibu wa TEC ..Mpango ndo anatakiwa aanze mwaka 2025...
Labda swali lako la atakuwa Mzee Sana mwaka 2030 wameshindwa kukujibu sababu wanajua wao vipi mwaka 2025 watafanya ...kumtoa Samia...
Au labda tayari wanafanya?
Pengine waraka ni sehemu ya hiyo mikakati?
Sukuma gang you need to quitKama Zina fanana na jiwe basi watanzania ndiye wanayempenda...Check post ya Rais anayeoendwa Tanzania kisha rudi hapa
Kikwete alitajwa na kujiandaa na akawa Rais kweli.Rais wa Tanzania ni chaguo la Mungu tu na siyo matakwa ya binadamu. Ukiacha J K Nyerere Rais wa kwanza, kila ambaye alisemwa sana hajawahi kupata hiyo nafasi hiyo.
Mungu akitaka uwe Rais utakuwa tu. Akina Lowassa, Membe na Maalim Seif walishupaa sana kutaka kuwa mRais wants na Znz lakini waliishia wapi?
Kama utakuwa na kumbukumbu nzuri utakumbuka kuwa akina Sumaye, Kigoda na Mwandosya walikuwa wametajwa sana kuliko yeye hadi siku moja kabla ya kikao cha NEC cha 2005.Kikwete alitajwa na kujiandaa na akawa Rais kweli.
Hao watu nyeti ndiyo akina nani!? Maana nchi hii kila kitengo ni nyeti!!!
Uchaguzi hauna faida kwa nchi hii zaidi ya kupoteza Kodi zetuUmeona eeee, kwa hiyo tuachane na harakati za uchaguzi maana zinatupa gharama na kutupotezea muda achili mbali madhira yake na zile taharuki zake.
NimekuelewaAcha kuwatukana watz labda Kama kuna msiba mwingine
Mmemponza jamaa Hadi tetesi za huko zikanushwe kuwa anaumwa!!Katika mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine. Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Kumbe anayefuata sio Lissu? 😀Philip Isdory Mpango atastaafu na Samia wake, wote washachoka 'wanazeeka pamoja'
Anayefuata baada ya Samia waulize TEC
Wewe unajua kama jirani yako alilala niaa?Manjozi ya mtoa mada Dr mpango atakuwa mzee mno, pia ni hatari kwa mfumo uliopo, Jamaa haangaliagi hata jirani kalalaje kala au kulala njaa 😁😁😁
That's how economics works, unaongeza mishahara inaleta inflation unaweka tax unaondoa ile excess disposable income. Hata JPM alibana mishahara na matumizi mwishowe hela ikapungua kwenye mzunguko so ajira zikafa makusanyo yakashuka.Ok, mmepandishiwa mishahara, nini kimebadilika kwenye maisha yenu?
Vilio vimeongezeka kuliko wakati wa yule aliyewanyima nyongeza, japo sitetei kunyimwa stahiki zenu. Tozo kila utakapokanyaga.