Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Rais wa Tanzania ni chaguo la Mungu tu na siyo matakwa ya binadamu. Ukiacha J K Nyerere Rais wa kwanza, kila ambaye alisemwa sana hajawahi kupata hiyo nafasi hiyo.

Mungu akitaka uwe Rais utakuwa tu. Akina Lowassa, Membe na Maalim Seif walishupaa sana kutaka kuwa mRais wa Tz na Znz lakini waliishia wapi?
 
Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Naunga mkono hoja.he seems to be a good leader.
 
Ungewauliza kuanzia mwaka gani?
Kwa mujibu wa TEC ..Mpango ndo anatakiwa aanze mwaka 2025...
Labda swali lako la atakuwa Mzee Sana mwaka 2030 wameshindwa kukujibu sababu wanajua wao vipi mwaka 2025 watafanya ...kumtoa Samia...

Au labda tayari wanafanya?
Pengine waraka ni sehemu ya hiyo mikakati?
Hao TEC ndio wenye mamlaka ya kutuchagulia Rais?...nani kawapa?
 
Rais wa Tanzania ni chaguo la Mungu tu na siyo matakwa ya binadamu. Ukiacha J K Nyerere Rais wa kwanza, kila ambaye alisemwa sana hajawahi kupata hiyo nafasi hiyo.

Mungu akitaka uwe Rais utakuwa tu. Akina Lowassa, Membe na Maalim Seif walishupaa sana kutaka kuwa mRais wants na Znz lakini waliishia wapi?
Kikwete alitajwa na kujiandaa na akawa Rais kweli.
 
Kwahiyo... Huu uzi umeletwa ili tujiandae kisaikolojia?
Mtoa mada nimekusoma..

Ila achane hayo mambo...!!
 
Katika mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine. Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Mmemponza jamaa Hadi tetesi za huko zikanushwe kuwa anaumwa!!

Mimi nadhani thread kama hizi humuumiza mlengwa kisaikolojia na kiakili!!
 
Ok, mmepandishiwa mishahara, nini kimebadilika kwenye maisha yenu?

Vilio vimeongezeka kuliko wakati wa yule aliyewanyima nyongeza, japo sitetei kunyimwa stahiki zenu. Tozo kila utakapokanyaga.
That's how economics works, unaongeza mishahara inaleta inflation unaweka tax unaondoa ile excess disposable income. Hata JPM alibana mishahara na matumizi mwishowe hela ikapungua kwenye mzunguko so ajira zikafa makusanyo yakashuka.

So kila kitu kifanywe systematically sio zero sum game
 
Sheria ya tanzania ni kuanzia miaka 41 na kuendelea haina kikomo labda itumike busara
 
Back
Top Bottom