Elections 2010 Je, Dr. Willibrod Slaa atatufaa?

Duuh hii kali sana.bwana Slaa ni kama samaki mdogo ndani ya bahari.sera yake ni EPA tu.kazi ya Professor Lipumba kaaiba na kuifanya yake.
 
Hatuna haja na mtu anayetaka watz wote tuwe walevi. Kama anataka pombe iwe divai kanisani kwake apeleke special request serikalini awe exempted kwenye kodi!

Tatizo letu wanachadema tukiguswa pabaya tunaanza kudiscuss watu badala ya hoja!

Dokta Slaa ameonyesha weledi wa hali ya juu kudisplay sifa hizi kwa muda mfupi sana


Duuh hii kali sana.bwana Slaa ni kama samaki mdogo ndani ya bahari.sera yake ni EPA tu.kazi ya Professor Lipumba kaaiba na kuifanya yake.


Pumba
 
Nataraji si hulka wala mazowea ya Dr. Slaa kuandika bila ya paragraph na kanuni nyengine sahihi za uandishi.

manake kwa Rais mtarajiwa kuandika kwa namna kama hii inatisha.

:confused2:

nani ambaye yuko kwenye campaign anaweza kuja kukujibu hapa, dr slaa anajitahidi sana ukizingatia anatumia mkono mmoja kwenye keyboard.
hana mda wa kukaa na kuanza kuedit kitu cha JF yupo very busy sasa hivi
fikirieni kidogo majuku aliyokuwa nayo na mkono wake mmoja
 
Du kweli ujinga wetu faida yao,we padri umeona epa tuu yote slaa aliyofanya hujayaona ?tunasubiri tuone mgonjwa wenu akifika moshi atatumie ambulance gani maana zote za pale zimenunuliwa na ndes pesa(ndesamburo-chadema)sasa kama hafanyi kampeni bila ambulance ngoja tuone moshi
 

Another chick with no head crossing the road!
 

tunamshukuru kwa juhudi zake za kufika hapa kuja kujibu maswala ya wananchi na pia kutoa fursa zaidi ya kuendelea kuulizwa masuala hayo.

Tungemshukuru zaidi kama angetumia dakika chache zaidi kutuletea ujumbe ambao ni rahisi kusomeka na kueleweka.

Naamini kuandika herufi kubwa na ndogo kwenye sentensi kwa kutumia mkono mmoja (nilidhani amekwisha poa though) ni kazi ngumu kidogo hasa ukiwa busy na masuala mengine muhimu, lakini kubofya enter/return sidhani kama ingelimchukulia muda wa ziada au kumuwia vigumu kufanya kwa kutumia mkono mmoja.

kikawaida Dk Slaa huwa hatumii paragraph, japo kuwa kanuni nyengine za kiuandishi huwa anazitumia, tungelimuomba atusaidie wasomaji kwa kutuwekea paragraph ili ujumbe wake aliouandika katika wakati huo finyu alionao, ueleweke kirahisi.
 
Du kweli jamaa hatufai.pia Dr.amekiri mwenyewe kuwa mgombea mwenza ni darasa la saba(elimu ya kujua kusoma na kuandika).Je huyu atamudu kuwa Makamu wa RAIS?!
 
Mgombea mwenza ana wasifa gani? nasikia ni std 7, ya shule gani? Dr Slaa akiwa Rais akawa hayupo nchini, Huyo ndiye atakayekaimu nafasi ya Rais.mmmmm sijui ZINDUKA.
 
Naomba kuhukumiwa kwa kusema ukweli.

Dr. Slaa ni Mpinzani Mzuri sana, Dr. Slaa ni Auditor Mzuri... lakini on his own sio Kiongozi mzuri... Zitto kuna wakati alitoa sifa moja kubwa na JK ambayo Dr. Slaa hanayo... nayo ni tolerance... kuwa na subira... ukiongoza nchi na kukurupuka... my friend....

Lingine muhimu sana kwa Dr. Slaa na Wapinzani wengi ni madikteta... na hapa ndipo wanatofautiana sana na JK... JK needs people to be free to air-out their views...

Well simfagilii JK, bale naweka tu mambo kama ninavyoyaona.

Otherwise nakuunga mkono na sera zako (za CHADEMA) kuondoa ofisi ya mkuu wa mkoa... ila wakati unaeleza usiongelee watu sana, maana du Rais mtarajiwa, mafisadi, mafisadii, je wakiisha.... please ongelea taasisi zaidi.
 


Kamwambie aliyekutuma kuwa Wadanganyika wote siyo wajinga!!!!!
 
1. Uvumilivu gani wa Kikwete wakati amewaadhibu wale wote waliokuwa kwenye kambio dhidi yake wakati wa mchakato wa kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM mwaka 2005?

2.Kama udikteta unaozungumzia wa Dk.Slaa ni ule wa kutaka Zitto aondoe jina lake wakati akitakka uenyekiti wa kiTaifa, nadhani unachanganya kati ya udikteta na uwezo wa kufanya maamuzi magumu hata kama ni kmatwakwa ya wengi, kwa huu ni uongozi!


 

ungetaka isiwe na makosa ingebidi slaa aipeleke kwa mtu wa kuiedit, kwanza imenishangaza sana slaa kupata mda wa kusoma hii na kujibu, sasa wewe unataka iwe edited
marais huwa wanaongea na watu wengine ndio wanaandika na kedit, unadhani kikwete anaandika habari.......

slaa endelea hivyo hivyo wanaotaka kuelewa wataelewa wasiotaka wamuulize kiongozi mwingine wasubirie majibu miaka mitano hijayo
 

Kama JK ameweza kuwa rais na waTZ tunalizika naye, then nakuhakikishia kuwa mTZ yeyeto mwenye akili timamu anawe kuongoza nchi. yetu. Ninikueleza hivyo kwa kujua kuwa JK siyo kiongozi period!!!
 
Nataraji si hulka wala mazowea ya Dr. Slaa kuandika bila ya paragraph na kanuni nyengine sahihi za uandishi.

manake kwa Rais mtarajiwa kuandika kwa namna kama hii inatisha.

:confused2:
katumia mobile. pia ana haraka zake na hana muda wa kutosha kujibu hoja. pia uelewe kuwa kawaheshimu sana wanajamvi hadi kufikia hatua ya kujibu hoja. kwa hilo inabidi umpe tano
 

Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…