Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandish Bollen Ngetti aliandika"mtu huwezi kuamka tu usingizini na na kutaka kuchaguliwa kuwa rais wa nchi hasa kwa nchi changa kama hizi za dunia ya tatu ( na Tanzania ikiwemo) bali yapo mazingira yanayomuandaa mtu ndani na nje ya nchi kuwa mkuu wa nchi.
Maji yana glucose nini?
Yana walinzi wasioonekana kutoka kwa sheikh wake. Yahya.Maji yana glucose nini?
Hoja yako iko wapi? Unaongea kama mtu anayetoka usingizini! Vipi kuhusu rais wako mtembeza bakuli kila kukicha wakati pesa ya nchi inaliwa na mafisadi. Mazingira gani yalitumika kumwandaa huyo mgombea wenu ambaye kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita amefanya virtualy hakuna! Si elimu si barabara, si vita vya ufisadi si rushwa, si kilimo! Uswahili swahili tu ndio ulitawala! Halafu wewe na upofu wako unamwona kafanya tena sana!Mwandish Bollen Ngetti aliandika"mtu huwezi kuamka tu usingizini na na kutaka kuchaguliwa kuwa rais wa nchi hasa kwa nchi changa kama hizi za dunia ya tatu ( na Tanzania ikiwemo) bali yapo mazingira yanayomuandaa mtu ndani na nje ya nchi kuwa mkuu wa nchi.
Tueleze yupi anafaa Mziray au Lipumba auWa TLP manake kikwete bado kuzikwa na hivi alivyochelewa kwenda kubadirisha damu sijui itakuwaja tueleze basi yupi anafaa,ridhiwani au salma naona miraji undali road upanga areaMwandish Bollen Ngetti aliandika"mtu huwezi kuamka tu usingizini na na kutaka kuchaguliwa kuwa rais wa nchi hasa kwa nchi changa kama hizi za dunia ya tatu ( na Tanzania ikiwemo) bali yapo mazingira yanayomuandaa mtu ndani na nje ya nchi kuwa mkuu wa nchi.
au huwa kanakuwa ni kaaaaamzinga hako! kuongea uongo inahitaji kidoogo uzimue eeh!
Teh teh tehau huwa kanakuwa ni kaaaaamzinga hako! kuongea uongo inahitaji kidoogo uzimue eeh!
wapi mmeshawahi ona malaria sugu ameandika umombo?
Mwandish Bollen Ngetti aliandika"mtu huwezi kuamka tu usingizini na na kutaka kuchaguliwa kuwa rais wa nchi hasa kwa nchi changa kama hizi za dunia ya tatu ( na Tanzania ikiwemo) bali yapo mazingira yanayomuandaa mtu ndani na nje ya nchi kuwa mkuu wa nchi.
Hivi mbona hawa jamaa wote, Kalunguine, Tandale one, Kadogoo, Malaria Sugu, and The list Go.
Mbona hoja zao hazina hata Chembe ya mshiko. Quality yake iko chini sana. What kind of people are they? hawa hawajaishia Class seven wakaenda Computer course Kwli? wapi mmeshawahi ona malaria sugu ameandika umombo?
Arguments nyingine bwana!!!!!!!! ndo mchango wako huu? Kweli Tz acha iendelee kutafunwa tu, kama ndo kuargue hivi!Hana uzoefu wa kuongoza Nchi.