Je, duniani kote Mchezaji mahiri Siku ya Kuagwa na Klabu yake huanzia Benchi na kuishia Kumwagiwa tu Maji 'Vumbi' ya Kandoro?

Je, duniani kote Mchezaji mahiri Siku ya Kuagwa na Klabu yake huanzia Benchi na kuishia Kumwagiwa tu Maji 'Vumbi' ya Kandoro?

mchukuenii sasa maana mkude ni bora kuliko wenu wote 4 vpl
Mkude ni mwananchi kiushabiki ila ndo alikuwa simba kikazi, na kama Yanga Coach Nabi atalizika naye basi hana shaka kusajiliwa pale Jangwani
 
mtoa mada ni kama m*l*ya wa pale sinza makaburini... kila kitu anapita nacho mpaka unaanza kuushangaa utimamu wa akili yake
 
Back
Top Bottom