Je, Firauni (Pharaoh) alikuwa Mweusi au Mweupe?

Je, Firauni (Pharaoh) alikuwa Mweusi au Mweupe?

Kwani Pharaoh ni jina la mtu au ni Cheo? Navyojua mimi Pharao ni Cheo saa utasemaje Pharaoh alikuwa mweusi au mweupe? Ni Sawa na Kusema Rais wa Tanzania alikuwa Mweusi au Mweupe? (Alafu hili swali lije kuulizwa Mwaka 5030!
Anamzunguzia farao wa kipindi cha Musa.aliyepambana nae.acha wale was zamani[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ma "Pharaoh" wapo wengi si mmoja, kuna weusi, njano, kijani, samawati, weupe, wekundu, - you name it.

So what?

Tunataka kubaguana mpaka kwa mafirauni?

Ndio walikuwa wengi lakini wote walikuwa weusi tii.
 
Huyu ndio firauni?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Wengi wao walikuwa wanawake
 
We angalia hata walivyochongwa kwenye mapiramid sura na pua kubwa za Mtu mweusi. Sema Mzungu hataki kukubali hilo ndio maana Ana ukakasi ukimuuliza swali la miaka 3500 tu iliyopita but atasema Ana majibu ya billions of years back
Mzungu si mtu wa kumuamini kabisa, watakwambia hata mlima Kilimanjaro uligunduliwa na Mzungu.Huko kwenye dini ndo usiseme porojo nyingi lkn ukisema utaambiwa mpagani[emoji57]
 
Anamzunguzia farao wa kipindi cha Musa.aliyepambana nae.acha wale was zamani[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Awe Specific,Maana kila bara kuna rangi za aina zote,Wapo wazungu wana ngozi nyeusi na pia wapo wa-africa wana ngozi nyeupe....Wanaijeria weusi tii walizaa mtoto Mzungu(Kwa maana ya ngozi,macho,nywele).
 
Hayupo mwenye uhakika coz tuliopo hapa wote hatukuwahi kumuona,na pia hata ukijua alikua wa rangi gani afu ndo inakuaje yani?
 
Wengi wao walikuwa wanawake
Inawezekana.lakini wa Musa alikuwa mwanaume.na alikuwa na mke anaitwa Asia.lakini firaun huyu hakuwa na mtoto.walipo muokota Musa.mkewe akampenda Huyo mtoto amuasili hawakujua kama atakuja kuwa adui was firauni.
 
Awe Specific,Maana kila bara kuna rangi za aina zote,Wapo wazungu wana ngozi nyeusi na pia wapo wa-africa wana ngozi nyeupe....Wanaijeria weusi tii walizaa mtoto Mzungu(Kwa maana ya ngozi,macho,nywele).
Yeye anasema huyu.
b29bac445d409446c42c623cfa3d0289.jpg
aliyezamishwa na jeshi lake.katika bahari ya shamu.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hayupo mwenye uhakika coz tuliopo hapa wote hatukuwahi kumuona,na pia hata ukijua alikua wa rangi gani afu ndo inakuaje yani?
937357d67e4a3fa9d344594cd40faca0.jpg
hapana.mwili wa firauni upo hadi Leo.mungu amemuweka kuwa ni ukumbusho wa watu wajao[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Habari za Jioni Wakuu,

Naomba nitumie kiswahili na kiingereza ili kueleweka zaidi.

Mimi naji'consider ni atheist nayeamini zaidi katika facts more than hearsay , ila kuna swali limekua likinitatiza na kunivunja moyo kuhusu science.

Tafuta utafutavyo, Google uwezavyo lakini hutapata jibu straight. Je Firauni(Pharaohs ) of ancient Egypt walikua watu wenye rangi nyeusi au watu weupe?

Mzungu atakuambia ulimwengu (The Universe) ulivyoanza miaka billion 13.7 iliyopita. Atakuambia hadi rangi waliokuwa nayo Dinosaurs miaka million 65 iliyopita. Watakuambia hadi kuhusu kinachoendelea kwenye galaxies billions of light years away from us.

Lakini hawawezi kujibu swali ambalo linamuulizia mtu aliyeishi miaka 3500 iliyopita.

Wakuu mwenye jibu la uhakika kuweka conspiracy theories aside na emotions aside. Je Firauni(Pharaoh) alikuwa mtu mweusi au mweupe?
What do you mean by black or white? African were and still are of varied skin colour tones. So, clarify the words black & white.
 
on science base, binadamu wa mwanzo walikuwa weusi, soma 'human evolution'. farao na mafirauni wametajwa ktk historia isiyo zidi miaka 5000 iliopita. ni muda ambao binadamu ni hawa tuliopo, tofauti ni ya idadi tu lakini hakuna mabadiriko ya kuonekana yametokea. hivo hata rangi ni hiyo ya sasa, waupe.
 
Inawezekana.lakini wa Musa alikuwa mwanaume.na alikuwa na mke anaitwa Asia.lakini firaun huyu hakuwa na mtoto.walipo muokota Musa.mkewe akampenda Huyo mtoto amuasili hawakujua kama atakuja kuwa adui was firauni.
No...Alikuwa na watoto ukikumbuka yale mapigo kumi, Pigo la mwisho kijana wake wa kwanza alikufa....
 
Pharaohs ruled in dynasties. Basically after death the body was embalmed I.e mummified. Because egyptians believed in the immortality of the soul...the afterlife. Strikingly the same belief is found in the modern christian denominations. So u can conclude that Christianity is baptized paganism.
 
Back
Top Bottom