Je, Firauni (Pharaoh) alikuwa Mweusi au Mweupe?

Je, Firauni (Pharaoh) alikuwa Mweusi au Mweupe?

Wewe Chizi (kifupi cha Chizi Maarifa ) huna maarifa yoyote!!
Unajuwa kitu inaitwa colonization of mind!!

Kwanza lazima uwaze hao mafarao walikuwa na historia ipi!? Ambayo mwanao akiijuwa as black atajiamini kuwa hata blacks wanauwezo!!

Wazungu kuvunja zile pua kwenye pharaonic statues na kuanzisha madai kuwa farao alikuwa mzungu sio wapumbau !!

Mara moja moja tumia kichwa kufikiri!!!

Tafuta kitabu kinaitwa [HASHTAG]#African[/HASHTAG] saga by willium Dubois
Sisi waafrika tuna majanga makubwa sanamkuu,hatujui kuwa kama leo wakisema ukweli kuwa Wamisri walikuwa weusi hii itakuwa na maana kwamba mtu mweusi aliwahi kuitawala dunia kupitia Egypt Empire na hii itamuinua kiroho [siyo kidini] na kimwili kwa kiwango kikubwa sana.....

Hilo haliishii hapo bali litapelekea safari nyingine kubwa kabisa ya kuufunua ukweli wa kutisha kuwa Yesu na Waisraeli walikuwa weusi kwasababu kuu mbili za haraka haraka...

1;Isingewezekana Yesu mweupe [kama wao wanavyotaka watu waamini] aende akajifiche katikati ya watu weupe wakati Herode akimtafuta amuuwe yeye na wazazi wake weupe...

2;Haiwezekani ndugu zake Yusuph washindwe kumtambua nduigu yao ambaye ni mweupe [kama wao wanavyotaka sisi tuamini] wakati wameenda Misri kufuata chakula wakati wa njaa iliyoikumba dunia wakati ule...

Jambo hili ni pigo kubwa sana maana litakwenda hadi kuwafanya Waisraeli kuwa siyo hawa tunaowajua leo bali ni wengine kabisa na ni miongoni mwa watu weusi,hii ni hasara ya hatari kabisa ambayo watu walioamua kuudanganya ulimwengu hawatataka kukubali kabisa itokee....

Ikishakuwa hivi fikiria tu ni kwa namna ipi mtu mweusi atapata nguvu za ndanbi na nje?

Ngoja niseme jambo moja kubwa....

Ili uweze kumtawala mtu ni lazima umfanye awe duni kuanzia ndani yake hadi nje.Sisi watu weusi tupo namna hii,tunaamini tulilaaniwa kutoka kwenye kizazi cha Nuhu,tunaamini hakuna chema hata kimoja tulichowahi kukifanya hapa duniani kwasababu tunaamini sisi ni watu tusiokuwa na akili kabisa.Haya na mengine mengi yametufanya tuwe hivi leo,tunajidharau hatujipendi kabisa....

Hii na nyingine ni mipango maalum kwaajili ya kumtawala mtu mweusi na hata alichokisema Donald Trump kwenye kampeni kuhusu mtu mweusi ni muendelezo tu wa harakati zile zile za zamani sana....

Unaweza kujiuliza ni kwanini mtu mweusi ashambuliwe namna hii kila kona ya dunia? Kwanini yeye tu aonekane duni? kwanini bara la mtu mweusi ndilo lionekane duni zaidi kuliko yote?

Kimsingi mtu unayemuogopa na kumuona bora mara nyingi utakuwa unamtengenezea majungu ya kila aina,ukiangalia hata mitaani kwetu wale ambao wamefanikiwa ndiyo wanatangazwa kuwa na tabia mbayambaya bila ushahidi wowote,mabinti wazuri husemwa wanaringa n.k.Haya yote hayawafuati hawa kwa bahati mbaya bali ubora wao ndiyo unawafanya watu wawaogope na kusababisha waanze kushambuliwa....

Mtu mweusi ndiyo binadamu bora kabisa na wanajua kabisa akipata nguvu zake za asili hakuna ambaye atasimama mbele yake,jambo hili dunia haitaki kabisa lkitokee na ndiyo maana historia yake inafichwa maana itamrudishia nguvu zake za nje na ndani....

Leo ikijulikana kuwa Misri ya kale ilikuwa yua mtu mweusi...
Leo ikijulikana kuwa Yesu alikuwa mweusi...
Leo ikajulikana kuwa Waisraeli walikuwa weusi....
Leo ikijulikana kuwa mwanadamu wa kwanza kwa maana ya Adam alikuwa mweusi...
N.k n.k,unadhani ni kwa kiwango kipi dunia itabadilika kabisa na kuanza kumuona mtu mweusi katika namna nyingine kabisa?

Halafu mtu anakuja hapa anaponda tu eti mtu kuhoji suala hili ni ujinga,sijui nani mjinga hapa kati ya anayeitafuta historia yake akitaka kujijua na yule anayetaka kwenda kikondoo tu.....
 
Halafu mtu anakuja hapa anaponda tu eti mtu kuhoji suala hili ni ujinga,sijui nani mjinga hapa kati ya anayeitafuta historia yake akitaka kujijua na yule anayetaka kwenda kikondoo tu.....
Nikushukuru Mkuu Eiyer kwa bandiko lako lililotukuka, Kuna watu wapuuzi ati mtu anahoji "kwani ukimjua Farao ni nani utapata faida gani"? Hajui kuwa ukiujua ukweli unawekwa huru.
 
Nikushukuru Mkuu Eiyer kwa bandiko lako lililotukuka, Kuna watu wapuuzi ati mtu anahoji "kwani ukimjua Farao ni nani utapata faida gani"? Hajui kuwa ukiujua ukweli unawekwa huru.
Siku moja nilikuwa natazama filamu ya X-Men sikumbuki ni toleo la ngapi lakini nadhani ni la 3 hivi,kuna jamaa mmoja mweusi sana alisema "wale wanaoijua historia ya kweli ndiyo wenye nguvu na wanatumia historia hiyo hiyo kuwatawala wengine kiroho na kimwili" aliendelea kuongea mengine lakini niishie hapo.....

Hawa wenzetu wanajua sana maana ya historia,wanajua kama hutajua historia yako umejimaliza maana utadanganywa kuhusu wewe kama tunavyodanganywa sisi leo na kusababisha yote haya.Siku ukweli wa historia ya mtu mweusi itakapokuwa wazi vita vyote vya kijuinga vya wenyewe kwa wenyewe hapa Afrika na matatizo mengine yote yataisha kwa usiku mmoja na dunia itageuka juu chini.....

Hata hili jambo la kudharau historia ya mtu limeletwa kwa makusudi maalum.Mtu anaona ni jambo la kijinga sana kujielewa na kujua alipotoka,wanasahau kwamba asiyejua alipotoka hata anakoenda hatapajua.Leo tunadharau sana yote ya maana halafu tunafanya ya kijinga....

Historia ina thamani sana kuliko fedha wala almasi....
 
mind colonization starts with how you think. ukianza kufikiri kwa kutegemea rangi au ukitaka support ili ujiamini ujue wewe una weakness tayar. mtoto wangu hatokuwa mpumbavu kiasi kwamba mpaka ajue kuwa pharao alikuwa mweusi ndo aanze kujiamini.

yeye ataanzia pale alipo na kusonga mbele. sasa hawa puuzi wengine wanaolazimisha vinasaba ili wapate pa kuanzia watachukua miaka mill kadhaa wakati wenzao wameshapita kuwa pale watakapokuwepo. nimekuuliza farao walikuwa weusi so what?

wewe endelea kutafuta rangi ya farao..ukija kuipata angalia maendeleo ya wazungu. mnapoteza muda kwa vitu vidogo sana na kujipa moyo kuwa ndo mnaendelea. wazungu don need to shout white is beauty kma blacks wanavyokazana kupiga kelele balck is beauty, hii yoteinaonesha kutojiamini.

Wewe Chizi (kifupi cha Chizi Maarifa ) huna maarifa yoyote!!
Unajuwa kitu inaitwa colonization of mind!!

Kwanza lazima uwaze hao mafarao walikuwa na historia ipi!? Ambayo mwanao akiijuwa as black atajiamini kuwa hata blacks wanauwezo!!

Wazungu kuvunja zile pua kwenye pharaonic statues na kuanzisha madai kuwa farao alikuwa mzungu sio wapumbau !!

Mara moja moja tumia kichwa kufikiri!!!

Tafuta kitabu kinaitwa [HASHTAG]#African[/HASHTAG] saga by willium Dubois
 
mind colonization starts with how you think. ukianza kufikiri kwa kutegemea rangi au ukitaka support ili ujiamini ujue wewe una weakness tayar. mtoto wangu hatokuwa mpumbavu kiasi kwamba mpaka ajue kuwa pharao alikuwa mweusi ndo aanze kujiamini.

yeye ataanzia pale alipo na kusonga mbele. sasa hawa puuzi wengine wanaolazimisha vinasaba ili wapate pa kuanzia watachukua miaka mill kadhaa wakati wenzao wameshapita kuwa pale watakapokuwepo. nimekuuliza farao walikuwa weusi so what?

wewe endelea kutafuta rangi ya farao..ukija kuipata angalia maendeleo ya wazungu. mnapoteza muda kwa vitu vidogo sana na kujipa moyo kuwa ndo mnaendelea. wazungu don need to shout white is beauty kma blacks wanavyokazana kupiga kelele balck is beauty, hii yoteinaonesha kutojiamini.
Pole mkuu, wewe haikusaidii. Mimi inanisaidia ndo maana nimeuliza.
 
mind colonization starts with how you think. ukianza kufikiri kwa kutegemea rangi au ukitaka support ili ujiamini ujue wewe una weakness tayar. mtoto wangu hatokuwa mpumbavu kiasi kwamba mpaka ajue kuwa pharao alikuwa mweusi ndo aanze kujiamini.

yeye ataanzia pale alipo na kusonga mbele. sasa hawa puuzi wengine wanaolazimisha vinasaba ili wapate pa kuanzia watachukua miaka mill kadhaa wakati wenzao wameshapita kuwa pale watakapokuwepo. nimekuuliza farao walikuwa weusi so what?

wewe endelea kutafuta rangi ya farao..ukija kuipata angalia maendeleo ya wazungu. mnapoteza muda kwa vitu vidogo sana na kujipa moyo kuwa ndo mnaendelea. wazungu don need to shout white is beauty kma blacks wanavyokazana kupiga kelele balck is beauty, hii yoteinaonesha kutojiamini.
Maendeleo ni Hesabu kali sawa na Unyonge wetu. Usipojua Hesabu zitufungazo kuendeleza Unyonge wetu, kuota maendeleo ni ndoto za mchana.
Anaita sasa.
 
Siku moja nilikuwa natazama filamu ya X-Men sikumbuki ni toleo la ngapi lakini nadhani ni la 3 hivi,kuna jamaa mmoja mweusi sana alisema "wale wanaoijua historia ya kweli ndiyo wenye nguvu na wanatumia historia hiyo hiyo kuwatawala wengine kiroho na kimwili" aliendelea kuongea mengine lakini niishie hapo.....

Hawa wenzetu wanajua sana maana ya historia,wanajua kama hutajua historia yako umejimaliza maana utadanganywa kuhusu wewe kama tunavyodanganywa sisi leo na kusababisha yote haya.Siku ukweli wa historia ya mtu mweusi itakapokuwa wazi vita vyote vya kijuinga vya wenyewe kwa wenyewe hapa Afrika na matatizo mengine yote yataisha kwa usiku mmoja na dunia itageuka juu chini.....

Hata hili jambo la kudharau historia ya mtu limeletwa kwa makusudi maalum.Mtu anaona ni jambo la kijinga sana kujielewa na kujua alipotoka,wanasahau kwamba asiyejua alipotoka hata anakoenda hatapajua.Leo tunadharau sana yote ya maana halafu tunafanya ya kijinga....

Historia ina thamani sana kuliko fedha wala almasi....
Umeongea kitu kikubwa sana mkuu

Cc. Chizi Maarifa
 
Sisi waafrika tuna majanga makubwa sanamkuu,hatujui kuwa kama leo wakisema ukweli kuwa Wamisri walikuwa weusi hii itakuwa na maana kwamba mtu mweusi aliwahi kuitawala dunia kupitia Egypt Empire na hii itamuinua kiroho [siyo kidini] na kimwili kwa kiwango kikubwa sana.....

Hilo haliishii hapo bali litapelekea safari nyingine kubwa kabisa ya kuufunua ukweli wa kutisha kuwa Yesu na Waisraeli walikuwa weusi kwasababu kuu mbili za haraka haraka...

1;Isingewezekana Yesu mweupe [kama wao wanavyotaka watu waamini] aende akajifiche katikati ya watu weupe wakati Herode akimtafuta amuuwe yeye na wazazi wake weupe...

2;Haiwezekani ndugu zake Yusuph washindwe kumtambua nduigu yao ambaye ni mweupe [kama wao wanavyotaka sisi tuamini] wakati wameenda Misri kufuata chakula wakati wa njaa iliyoikumba dunia wakati ule...

Jambo hili ni pigo kubwa sana maana litakwenda hadi kuwafanya Waisraeli kuwa siyo hawa tunaowajua leo bali ni wengine kabisa na ni miongoni mwa watu weusi,hii ni hasara ya hatari kabisa ambayo watu walioamua kuudanganya ulimwengu hawatataka kukubali kabisa itokee....

Ikishakuwa hivi fikiria tu ni kwa namna ipi mtu mweusi atapata nguvu za ndanbi na nje?

Ngoja niseme jambo moja kubwa....

Ili uweze kumtawala mtu ni lazima umfanye awe duni kuanzia ndani yake hadi nje.Sisi watu weusi tupo namna hii,tunaamini tulilaaniwa kutoka kwenye kizazi cha Nuhu,tunaamini hakuna chema hata kimoja tulichowahi kukifanya hapa duniani kwasababu tunaamini sisi ni watu tusiokuwa na akili kabisa.Haya na mengine mengi yametufanya tuwe hivi leo,tunajidharau hatujipendi kabisa....

Hii na nyingine ni mipango maalum kwaajili ya kumtawala mtu mweusi na hata alichokisema Donald Trump kwenye kampeni kuhusu mtu mweusi ni muendelezo tu wa harakati zile zile za zamani sana....

Unaweza kujiuliza ni kwanini mtu mweusi ashambuliwe namna hii kila kona ya dunia? Kwanini yeye tu aonekane duni? kwanini bara la mtu mweusi ndilo lionekane duni zaidi kuliko yote?

Kimsingi mtu unayemuogopa na kumuona bora mara nyingi utakuwa unamtengenezea majungu ya kila aina,ukiangalia hata mitaani kwetu wale ambao wamefanikiwa ndiyo wanatangazwa kuwa na tabia mbayambaya bila ushahidi wowote,mabinti wazuri husemwa wanaringa n.k.Haya yote hayawafuati hawa kwa bahati mbaya bali ubora wao ndiyo unawafanya watu wawaogope na kusababisha waanze kushambuliwa....

Mtu mweusi ndiyo binadamu bora kabisa na wanajua kabisa akipata nguvu zake za asili hakuna ambaye atasimama mbele yake,jambo hili dunia haitaki kabisa lkitokee na ndiyo maana historia yake inafichwa maana itamrudishia nguvu zake za nje na ndani....

Leo ikijulikana kuwa Misri ya kale ilikuwa yua mtu mweusi...
Leo ikijulikana kuwa Yesu alikuwa mweusi...
Leo ikajulikana kuwa Waisraeli walikuwa weusi....
Leo ikijulikana kuwa mwanadamu wa kwanza kwa maana ya Adam alikuwa mweusi...
N.k n.k,unadhani ni kwa kiwango kipi dunia itabadilika kabisa na kuanza kumuona mtu mweusi katika namna nyingine kabisa?

Halafu mtu anakuja hapa anaponda tu eti mtu kuhoji suala hili ni ujinga,sijui nani mjinga hapa kati ya anayeitafuta historia yake akitaka kujijua na yule anayetaka kwenda kikondoo tu.....
Mkuu salute!!
Kilaza maarifa pita hapa upate maarifa make huna kabisa!! FaizaFoxy naomba mchango wako katika hili mama. mzurimie baki kwanza huko MUM huku huwezi.
 
Back
Top Bottom