Je, Firauni (Pharaoh) alikuwa Mweusi au Mweupe?

Je, Firauni (Pharaoh) alikuwa Mweusi au Mweupe?

Ancient egypty ilikuwa ya watu weusi na hata Leo hii southern Egypt imejaa black Egyptians hao waarabu walikuja during ottoman empire walikimbia huko kwao, hats ukiangalia zile sanamu kwenye pyramids utagundua ni za watu weusi ndiomaana pua zao zimevunjwa ili kuondoa uhalisia, tafuta documentary inaitwa power of melanin humo researchers wamefunguka untold stories na kile usichofundishwa shule
 
Na mimi naomba nitumie nafasi hii ya pekee kuuliza kaswali kazuuri. Je Adam and Eve nao walikua weupe ama weusi? Na kama walikua weupe vipi walizaa watoto weusi? Na kama walikua weusi vipi walizaa watoto weupe? Tukipata jibu hilo labda tunaweza kufuatilia mpaka kukipata kizazi cha Firauni
 
Habari za Jioni Wakuu,

Naomba nitumie kiswahili na kiingereza ili kueleweka zaidi.

Mimi naji'consider ni atheist nayeamini zaidi katika facts more than hearsay , ila kuna swali limekua likinitatiza na kunivunja moyo kuhusu science.

Tafuta utafutavyo, Google uwezavyo lakini hutapata jibu straight. Je Firauni(Pharaohs ) of ancient Egypt walikua watu wenye rangi nyeusi au watu weupe?

Mzungu atakuambia ulimwengu (The Universe) ulivyoanza miaka billion 13.7 iliyopita. Atakuambia hadi rangi waliokuwa nayo Dinosaurs miaka million 65 iliyopita. Watakuambia hadi kuhusu kinachoendelea kwenye galaxies billions of light years away from us.

Lakini hawawezi kujibu swali ambalo linamuulizia mtu aliyeishi miaka 3500 iliyopita.

Wakuu mwenye jibu la uhakika kuweka conspiracy theories aside na emotions aside. Je Firauni(Pharaoh) alikuwa mtu mweusi au mweupe?
Endelea kuwaamini haohao wazungu waliokuletea na Imani yako ya atheism
 
MTU akiongea kiingereza anaonekana Wa maaana !UNCUSHI UNCACHAD !![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] coated from late Mwl .Nyerere!
 
Waafrika tumeacha kufuatilia mambo ya msingi tumebaki kuhangaika na vitu vidogo sana kuonesha kuwa akili za waafrika wengi zinahangaika na mambo madogo sana yasiyo na tija kwao.
Mfano kama mmoja wa mafarao hao alikuwa mweusi sisi inatusaidia nini? Kwa wazungu/waarabu/wahindi n.k kusema Alikuwa mweupe imewasaidia nini?
Mfano leo tukafaham alikuwa mweusi tii itatusaidia nini?
Tunahangaika na mambo madogo sana.wenzetu wanavumbua madawa,teknolojia n.k sisi tunakaa hapa karne hii kubishania rangi. Karne hii?
Wakitengeneza magari,ndege,simu n.k hapo sisi tunashindwa hata kuwaza namna ya kutengeneza dawa za kutusaidia na malaria.
 
Waafrika tumeacha kufuatilia mambo ya msingi tumebaki kuhangaika na vitu vidogo sana kuonesha kuwa akili za waafrika wengi zinahangaika na mambo madogo sana yasiyo na tija kwao.
Mfano kama mmoja wa mafarao hao alikuwa mweusi sisi inatusaidia nini? Kwa wazungu/waarabu/wahindi n.k kusema Alikuwa mweupe imewasaidia nini?
Mfano leo tukafaham alikuwa mweusi tii itatusaidia nini?
Tunahangaika na mambo madogo sana.wenzetu wanavumbua madawa,teknolojia n.k sisi tunakaa hapa karne hii kubishania rangi. Karne hii?
Wakitengeneza magari,ndege,simu n.k hapo sisi tunashindwa hata kuwaza namna ya kutengeneza dawa za kutusaidia na malaria.
Sikuwa nimepanga kuandika chochote kwenye thread hii kutokana na aina ya watu waliokuwa wanachangia hapa lakini, kutokana na hiki ulichoandika hapa nalazimika kuandika chochote.....

Wewe na wengine ni mfano wa namna ambayo Waafrika tumezamishwa kwenye tope zito kabisa ambalo sidhani kama tutakuja kujiokoa humo.Wengi sana tunadharau historia na tunadhani kwamba tunaweza kusonga mbele kama kondoo tu....

Wenzako wanakuambia "yoyote anayejua yaliyopita basi anaweza kuiongoza kesho yake" [the one who know the past control the future"] kuna nyingine inasema kama ukiweza kuijua historia yako unaweza kujua yatakayotokea baadaye.....

Mtu mweusi ana hasara kubwa kwa kudharau hiostoria yake,hebu jiulize,ni gharama ngapi zimetumika ku edit historia ya mtu mweusi? Eti kugundua madawa,wewe unazungumzia kugundua madawa wakati mababu zetu walijua sawa ambazo ni salama kwa mwanadamu miaka 2500 iliyopita huko halafu wewe leo unaona hiki ndicho cha maana sana....

Hivi unajua ni kwanini waliamua kuedit historia ya dunia nzima ikawa kama ilivyo? Au nao ni wajinga kama unavyofikiria hapa kirahisi rahisi tu?

Sijui katuloga nani kwakweli.....
 
Nijuavyo.. Ni hiv faraoh ni cheo cha mtawala wa misri ya kale.Na walipita watawala wengi ktk cheo hiki, kwa majina yao....faraoh remeses II NDIYE anatajwa kuwa ni faraoh akiykua akiitawala misri pindi moses anazaliwa .So sina uhakika na rangi ya ngz ambao Alikua nayo.
 
Waafrika tumeacha kufuatilia mambo ya msingi tumebaki kuhangaika na vitu vidogo sana kuonesha kuwa akili za waafrika wengi zinahangaika na mambo madogo sana yasiyo na tija kwao.
Mfano kama mmoja wa mafarao hao alikuwa mweusi sisi inatusaidia nini? Kwa wazungu/waarabu/wahindi n.k kusema Alikuwa mweupe imewasaidia nini?
Mfano leo tukafaham alikuwa mweusi tii itatusaidia nini?
Tunahangaika na mambo madogo sana.wenzetu wanavumbua madawa,teknolojia n.k sisi tunakaa hapa karne hii kubishania rangi. Karne hii?
Wakitengeneza magari,ndege,simu n.k hapo sisi tunashindwa hata kuwaza namna ya kutengeneza dawa za kutusaidia na malaria.
Wewe Chizi (kifupi cha Chizi Maarifa ) huna maarifa yoyote!!
Unajuwa kitu inaitwa colonization of mind!!

Kwanza lazima uwaze hao mafarao walikuwa na historia ipi!? Ambayo mwanao akiijuwa as black atajiamini kuwa hata blacks wanauwezo!!

Wazungu kuvunja zile pua kwenye pharaonic statues na kuanzisha madai kuwa farao alikuwa mzungu sio wapumbau !!

Mara moja moja tumia kichwa kufikiri!!!

Tafuta kitabu kinaitwa [HASHTAG]#African[/HASHTAG] saga by willium Dubois
 
Habari za Jioni Wakuu,

Naomba nitumie kiswahili na kiingereza ili kueleweka zaidi.

Mimi naji'consider ni atheist nayeamini zaidi katika facts more than hearsay , ila kuna swali limekua likinitatiza na kunivunja moyo kuhusu science.

Tafuta utafutavyo, Google uwezavyo lakini hutapata jibu straight. Je Firauni(Pharaohs ) of ancient Egypt walikua watu wenye rangi nyeusi au watu weupe?

Mzungu atakuambia ulimwengu (The Universe) ulivyoanza miaka billion 13.7 iliyopita. Atakuambia hadi rangi waliokuwa nayo Dinosaurs miaka million 65 iliyopita. Watakuambia hadi kuhusu kinachoendelea kwenye galaxies billions of light years away from us.

Lakini hawawezi kujibu swali ambalo linamuulizia mtu aliyeishi miaka 3500 iliyopita.

Wakuu mwenye jibu la uhakika kuweka conspiracy theories aside na emotions aside. Je Firauni(Pharaoh) alikuwa mtu mweusi au mweupe?
pharao ni title ya mtawala wa misri ya enzi hizo, (pharao = mfalme, rais,...........) na bila shaka walikuwepo ma pharao wengi.
 
Walishafanya DNA testing google majibu Ni marefu ila hawakuwa wazungu wala watu weusi
 
Back
Top Bottom