Kiongoz wadau wa serious wapo kibao we ukianza wadau utawaona tu.....so keep it up tusongeSijataja pesa apo kwanza huwa nafundisha bure ila kwa watu serious alafu trding aifundishwi kwa kuchat inatakiwa series za zoom discussion n.k. sio unashare material hakuna anaetrade hata mmoja
Mi ndo nko field najifunza, ila so far ina make so much senseAkiwepo atajitag....but waweza kutoa vionjo kidogo il wana waone utamu wa hiyo strategy yako
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]Tredaz njooni mtoe ushuhuda namna mlivyojenga magorofa kupitia forex
NakaziaChukua jembe kalime.
Ndiyo Ukweli WenyeweUmaskini unatokaje kwenye bahati nasibu?
😁😅😂😄😅😆😆😅😅Bila Shaka Yoyote Ule Moto Toka Juu Umelamba Ile Sadaka, Umelamba Yale MaweView attachment 2416410
Risk ya robot kumbuka kama mtaji wako mdogo utalamba ile sadaka,utalamba yale mawe [emoji23]
Mnyama mmoja hv kutoka MalaysiaAhmed Danial?
Ahaaaahaaaaaa
Uvuvi ni kamari. Tendering ni kamari. Uchimbaji madini ni kamari. Hata kufungua biashara ni kamari. Kikubwa kanuni za mchezoMkuu achana na hii kitu inaitwa forex
Utapigwa tu
Utarudi hapa kufutwa machizi
Watu wasikurembe
Hiyo ni mojawapo ya biashara zenye asili ya kitapeli kamari y ajabu sana
NARUDIA TENA
Achana na hiyo forex
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Huyo anatrade demo,sio risk taker.Mkuu huwez kua na $500 hapaf baada ya miez sita ukawa na $800 hapo itakua anacheza bro kwa hiyo kwa cku anapata $2 halaf anaridhka wakat mtaji wake ni mkubwa..[emoji23][emoji119]
Umesema vizuri, hii kitu inahitaji kupata elimu kwanza, kudhibiti tamaa ni msingi mku wa mafanikio. Kwa bahati mbaya wabongo sisi ni wavivu kusoma.ELIMU ELIMU ELIMU,
Forex ni Biashara ambayo kufanikiwa kwake kunategemea mambo mengi saaana.
1. Je umesoma na kuelewa.
2. Je umetrade Kwa miaka mingapi , uzoefu.
3. Je huna papara.
4. Je unataka mafanikio ya haraka?
5. Unajisikiaje ukipoteza hela.
6. Je unajisikiaje ukipatia trade.
7. Je wewe ni mvumilivu hukati Tamaa.
8.......
9.....
10......
Unatakiwa ukae kwenye Game at least 2 years kidogo utaanza kuona uhalisia wa hii business.
Kumbuka kwenye Forex mtaji siyo Tatizo kikubwa ni knowledge.
Mfano mtu mwenye uelewa mzuri anaweza kuwa na $500 baada ya Miezi sita ikasoma $800
Mtu anayejua juujuu anaweza kuwa na $4000 baada ya Miezi sita akabakiwa na $ 2300
Forex inahitaji mda mwingi wa kujifunza pia unatakiwa uwe na kaxi nyingine ya kukupatia kipato kama ndo unaanza.
Kamwe usichukue signal Kwa mtu yoyote Yule, tengeneza strategy Yako ambayo ndo itakuwa msahafu Katika safari Yako ya trading.
All strategies are good, except we have bad Forex traders who trade with emotions.
Nakuthibitishia mafanikio yapo ila inahitaji mda mrefu kuyafikia pia itategemea na traits zako maana most of the time the market moves against normal human thinking. That is why 95% loose money in this game.
Kila la heri
Well said, tena uvuvi ni kamali ya hatari sanaUvuvi ni kamari. Tendering ni kamari. Uchimbaji madini ni kamari. Hata kufungua biashara ni kamari. Kikubwa kanuni za mchezo
daaahKwamba $500. Baada ya Miezi sita unakuwa na $5000? Aha ha haa
Nikuulize swali unaongea nadharia au Una trade real Account.? Na account yako ina bei Gani mpaka sasa?
Mind you strategy nyingi zina profit margin ya 45% hapo umeijtahifi Sana.
Kwenye Forex Hakuna daily profit utakuwa unadaganya watu,
Safari yangu ya forex sijawahi kuona set up kila siku, na kama Una trade real Account utakubaliana nami always win trades are small compared to losing trade.
Kama una strategy Hata ya Ku double dólar 500 Kwa miezi 2 naiomba Hapá kila mtu aone Tafadhali nami nitumie utakuwa unenisaidia sana
Kinacholeta Faida kwenye Forex ni R:R, labda kama tunaongea hapá kufurahisha jukwaa na kuvutia watu..
Nakuhakikishia Forex ni Biashara hatari na ngumu mno ukiwa na Tamaa pamoja na papara.
Kama dola 500, baada ya Miezi 6 unakuwa na dolar 5000 Kila mtu Angekuwa tajiri.
Maanake hiyo dola 5000 baada ya Miezi 6 mingine unakuwa Hata na dolar 60000, baada ya mwaka dolar 240,000. Achana na nadharia za kilimo cha matikiti boss.
habr kiongzSijataja pesa apo kwanza huwa nafundisha bure ila kwa watu serious alafu trding aifundishwi kwa kuchat inatakiwa series za zoom discussion n.k. sio unashare material hakuna anaetrade hata mmoja