Je, funga ya Waislamu ni kula na kunywa tu?

Eating festival sherehe ya kula ramadhani inaendeleaje?
 
Ni kuchagua tu timing ya kula,unafunga Halafu unamnunia asiyefunga, halafu usiku unaamka kula? Nikifunga siku arobaini, Ni uji tu ndiyo unaingia kinywani mwangu
 
Lengo la funga NI waja kujifunza tabia njema KUWA WACHAMUNGU

Hivyo Aliefunga atakiwa afunge macho yake
Masikio yake
Ulimi wake n.k
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم
من لا يدع قول زور والعمل به فليس لله أن يترك طعامه و شرابه
Yule asieacha maneno mabaya na vitendo viovu (wakati amefunga) basi Allah Hana haja na kuacha Kula kwake na kinywa kwake
 
Bajeti ya chakula kwa mwezi wa ramadhani ni kubwa mara dufu kuliko miezi mingine halafu eti ni mwezi wa funga .
 
Bajeti ya chakula kwa mwezi wa ramadhani ni kubwa mara dufu kuliko miezi mingine halafu eti ni mwezi wa funga .
Ungejua kuwa huwa hatufungi Kula Tu wala usingeshughulishwa na haya mambo ya chakula hata kidogo
 
Ungejua kuwa huwa hatufungi Kula Tu wala usingeshughulishwa na haya mambo ya chakula hata kidogo
Aisee Kuna house girl apa budget yake ya kufunga imepita ya familia na yeye ni mmoja tu

Punguzeni kula waislamu jaribuni kufunga
 
Aisee Kuna house girl apa budget yake ya kufunga imepita ya familia na yeye ni mmoja tu

Punguzeni kula waislamu jaribuni kufunga
Je huwa anakula mchana WA Ramadhani au baada ya kufungua?
 
Anakula usiku mpaka saa 10 kama mchwa , mchana anakuwa anaanda Cha kula usiku
Okay,

Kwahiyo Kwanza kumbe lengo la kufunga Alisha lifanya,Kwa maana alifunga vizur Ila baadae ndio akaajia achia na maudambu udambu, kama ni hivyo hakuna Baya alilo lifanya,na kuhusu Kula usiku kucha si kweli naomba tukubaliane juu ya Hilo.
 
Okay,

Kwahiyo Kwanza kumbe lengo la kufunga Alisha lifanya,Kwa maana alifunga vizur Ila baadae ndio akaajia achia na maudambu udambu, kama ni hivyo hakuna Baya alilo lifanya,na kuhusu Kula usiku kucha si kweli naomba tukubaliane juu ya Hilo.
Anakula jioni, sasa sita na saa 10 alfajiri, issue ni vyakula special mwenyewe vingine ndo naviona mpaka vya kihindi
 
Swadakta chief
 
Anakula jioni, sasa sita na saa 10 alfajiri, issue ni vyakula special mwenyewe vingine ndo naviona mpaka vya kihindi
Sawa,

Hiyo ni ratiba binafsi kwahiyo sioni tatizo hapo....

Khs vyakula vya kihindi ni kubadilisha Radha Tu ya chakula,kwani umesikia ni haramu?
 
Ni kuchagua tu timing ya kula,unafunga Halafu unamnunia asiyefunga, halafu usiku unaamka kula? Nikifunga siku arobaini, Ni uji tu ndiyo unaingia kinywani mwangu
Point yako ni nini chief?

Kwamba wewe unakunywa uji Tu ndio Una funga kiuhalisia au ndio unadhibiti matumizi ya chakula?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…