Mtego wa panya huo, watu wanataka kuuza magari yao.Soko lipi la Klugger litakalokufa? Maana tangia hapo Kluger haijafanya vizuri sokoni
Hakuna nayomiliki hapo.Ww unamiliki gari ipi hapo mzee
Ila kwa Tanzania imefanya vizuri kiasi chake hasa kwa ndugu zetu wakinga na ..........Soko lipi la Klugger litakalokufa? Maana tangia hapo Kluger haijafanya vizuri sokoni
Mtego wa panya huo, watu wanataka kuuza magari yao.
Wakinga wanane jirani zako kuwa na Kluger haimaanishi soko kubwa. Kluger ni moja ya magari yaliyokosa soko Tanzania. Research za magari hufanyika kwenye miji mikubwa.Ila kwa Tanzania imefanya vizuri kiasi chake hasa kwa ndugu zetu wakinga na ...
Utam wake uwe na masafa ya mbali alafu gari liwe moya kidogo sisi tulitoka na breavs hapa dar hadi moshi masaa 5 kasori point ila usiku saa saba tulitoka darGari lakike, bola hata blevisi
mkuu labda ushawahi tumia kluger kwa umbali zaidi ya km 60 hivi?
maana uwe umezitumia gari zote unaweza weka hoja nzuri