Je, gari hii itaenda kuua soko la Kluger na Harrier Tanzania?

Giltami

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
1,038
Reaction score
1,623
Tuitazame hii ni SUBARU forester wengi wanaijua kama gari za vijana ila sasa mawazo hayo naona yameanza kupotea baada ya kuja hii Forester ya 2007 na kuendelea mwanzo zilikuwa bei juu sana ila naona sasa zimeshuka,Utabili wangu ni kwamba kadri uhitaji unavyokuwa mkubwa bei hasa ya gari hupanda juu.

Nin maoni yako Harrier na kluger wajipange au bado haijakushawishi.

 
Ila kwa Tanzania imefanya vizuri kiasi chake hasa kwa ndugu zetu wakinga na ...
Wakinga wanane jirani zako kuwa na Kluger haimaanishi soko kubwa. Kluger ni moja ya magari yaliyokosa soko Tanzania. Research za magari hufanyika kwenye miji mikubwa.

Ukitrap magari Magomeni hadi faya, pande zote yajae, si ajabu ukakosa Kluger hata moja. Tembelea show rooms za kitaa, nyingi hazina kabisa hata moja

Nikukumbushe pia, kuna watu wengi tu hawaijui Kluger kabisaa.
 
Gari lakike, bola hata blevisi
Utam wake uwe na masafa ya mbali alafu gari liwe moya kidogo sisi tulitoka na breavs hapa dar hadi moshi masaa 5 kasori point ila usiku saa saba tulitoka dar
 
Gari ikishakua nyu modeli inakua lonyolonyo .. gari za 2005 kushuka chini ndio gari
 
Mkuu labda ushawahi tumia kluger kwa umbali zaidi ya km 60 hivi? maana uwe umezitumia gari zote unaweza weka hoja nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…