Eco
Member
- Oct 10, 2018
- 73
- 85
Mungu atutimizie haja za mioyo yetu, chuma kinanitamanisha sana.Chuma ninachotamani kuanzia nayo life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atutimizie haja za mioyo yetu, chuma kinanitamanisha sana.Chuma ninachotamani kuanzia nayo life
Naunga mkono, hiz gari zimepoteza ladha ya forestarForester za 2006 kurudi nyuma ndio subaru,hizo za 2007 kuja juu ni upuuzi tu(kwa mtizamo wangu lkn).
Bonge la summary. 🙂🙂Boxer 4 engine: low centre of gravity
Symmetrical AWD: Stable, balanced, capable ride.
Gari ikishakua nyu modeli inakua lonyolonyo .. gari za 2005 kushuka chini ndio gar
Iko chuma ni ushua sanaMungu atutimizie haja za mioyo yetu, chuma kinanitamanisha sana.
Kwani hujaanza tu life??Chuma ninachotamani kuanzia nayo life
Kufanya vizuri sokoni si kipimo cha uzuri wa gari, bali ni kipimo cha wengi kumudu gharama ya gari husika. Kluger kwa sasa ndiyo habari ya mjini japo wengi hawawezi bei yake pamoja na gharama za kuiweka barabarani. Kluger ni gari ya heshima!Soko lipi la Klugger litakalokufa? Maana tangia hapo Kluger haijafanya vizuri sokoni
Sababu ni kwamba wengi hawamudu gharama za kununua na za kuiweka barabarani, lakini kluger ni gari zuri mno!!! Wengi wanamudu IST!!! Kuonekana IST kwa wingi barabarani kuliko kluger haimaanishi IST ni bora kuliko kluger!!! Labda niseme hivi: Ukitembelea familia 100 kwenye lunch, utakutana na maharage zaidi kuliko samaki!Wakinga wanane jirani zako kuwa na Kluger haimaanishi soko kubwa. Kluger ni moja ya magari yaliyokosa soko Tanzania. Research za magari hufanyika kwenye miji mikubwa. Ukitrap magari Magomeni hadi faya, pande zote yajae, si ajabu ukakosa Kluger hata moja. Tembelea show rooms za kitaa, nyingi hazina kabisa hata moja
Nikukumbushe pia, kuna watu wengi tu hawaijui Kluger kabisaa.
Tuliza basi kidogo ufahamu wako angalau mwenyewe ujielewe ili na wengine tukuelewe. HAKUNA MAHALI NIMESEMA KLUGGER NI GARI BAYA...nilichosema ni kuwa HAIJAFANYA VIZURI KWENYE SOKO LA TANZANIA.Kufanya vizuri sokoni si kipimo cha uzuri wa gari, bali ni kipimo cha wengi kumudu gharama ya gari husika. Kluger kwa sasa ndiyo habari ya mjini japo wengi hawawezi bei yake pamoja na gharama za kuiweka barabarani. Kluger ni gari ya heshima!!!
Nimeanza ila sina gari bossKwani hujaanza tu life??
Sawa mkuuHio Subaru Forester ukiilinganisha na Harrier au Kluger hio Subaru bado ipo chini sana wakati hizo zingine zipo juu kimtindo juu namaanisha umbali wa kutoka kwenye ardhi hadi bodi ya gari ilipo
Forester za 2006 kurudi nyuma ndio subaru,hizo za 2007 kuja juu ni upuuzi tu(kwa mtizamo wangu lkn).
Mkuu hapo kwenye suzuki umenikuna asee, hii gari iko njema mno inatulia sana barabarani,Hio gari nimeiendesha juzi tu. Ni ya best yangu plate DSF. Kiukweli ni gari ambayo nje ina muonekano wa kibabe ila ndani full plastics. Dashboard haivutii kabisa halafu pia kiti chake kiko chini sana. Kiukweli sikufeel kama niko ndani ya suv. Japo inaitwa SUV.
The next day niliendesha Suzuki Sport Grand Vitara V6 2.7ltr toka beforward DSM to Moshi. Aisee gari lina pulling kinoma yani. Linatembea balaa yani full kukata upepo. Halafu ndani liko very spacious ukikaa unakuwa juu juu yani una feel umekalia SUV kabisa. Naona Suzuki iko comfortable kuliko hio Subaru.
Hakika mkuu, yani choice ni Suzuki Grand Vitara over Subaru anyday!Mkuu hapo kwenye suzuki umenikuna asee, hii gari iko njema mno inatulia sana barabarani,
Spare zake sasa ha ha ha ni konyo na weseHakika mkuu, yani choice ni Suzuki Grand Vitara over Subaru anyday!